Kuactivate lg g4 baada ya kuselect language.

bestest

Member
Mar 8, 2013
67
8
Msaada jinsi ya kuactivate lg g4, nikiwasha inanipa option ya kuselect language, nikishaselect language inanipa option ya kuset internet connections ambayo nikiselect chochote kile inanipeleka kwenye configuring your phone kwa muda mrefuuuuu mpaka charge inaisha, tatizo ni nini na jinsi ya kutatua, naomba msaada wenu
 
Labda tafuta source ya internet labda kama vile WiFi hotspot halafu ndio ufanye hiyo initial set up.
 
Back
Top Bottom