July Fourth
JF-Expert Member
- May 2, 2012
- 2,240
- 795
Habari zenu wataalamu..
Nimepata tatizo baada ya kubadili laini kwenye simu (aina ya tecno j7)
inaniletea ujumbe wa
"pin..please enter the privacy password to unlock"
Nahisi niliwahi ku-activate anti-theft alafu sikumbuki pin..
Nahisi hii kitu itakuwa ni bug.
Asanteni kwa mtakaochangia hatimaye nisolve tatizo hili..
Mbarikiwe.
UPDATE
NIMEFANIKIWA KUFLASH KWA KUTUMIA SP FLASH TOOL..
sema tatizo lililop sasa hv ni kwamba kioo ni cheusi.. nikiscreenshot nasikia click sound na hata nikienda kwene pictures kupitia pc naziona screenshots. itakuwa file nililotumia ni incompatible na simu na mimi huwezo wangu umeishia hapo...
cc: Chief-Mkwawa Mwl.RCT kcamp Nyasiro @Njuwa wamavoko Ninga R Fatuma Bawazir na wengineo mtakao guswa..maana inaninyima usingizi
Nimepata tatizo baada ya kubadili laini kwenye simu (aina ya tecno j7)
inaniletea ujumbe wa
"pin..please enter the privacy password to unlock"
Nahisi niliwahi ku-activate anti-theft alafu sikumbuki pin..
Nahisi hii kitu itakuwa ni bug.
Asanteni kwa mtakaochangia hatimaye nisolve tatizo hili..
Mbarikiwe.
UPDATE
NIMEFANIKIWA KUFLASH KWA KUTUMIA SP FLASH TOOL..
sema tatizo lililop sasa hv ni kwamba kioo ni cheusi.. nikiscreenshot nasikia click sound na hata nikienda kwene pictures kupitia pc naziona screenshots. itakuwa file nililotumia ni incompatible na simu na mimi huwezo wangu umeishia hapo...
cc: Chief-Mkwawa Mwl.RCT kcamp Nyasiro @Njuwa wamavoko Ninga R Fatuma Bawazir na wengineo mtakao guswa..maana inaninyima usingizi