Jindal Singh
JF-Expert Member
- Sep 9, 2015
- 1,857
- 1,542
Salaam JF.
Jamani kuna ndugu yangu kanitumia router na Adsl box plus ethernet cable na mobile kutoka Uk, sasa nimekukuruka kutengeneza wi-fi iliniweze kusambaza lakini nimeshindwa inaonyesha kule Uk Isp wao wanatumia internet through wired sasa mimi naona huku tz ni kizunguzungu tu! Sielewi kuhusu haya makorokoro ila nahisi hizi router huwa zina option ya usb dongle yaani wireless network.
Sasa naomba mwenye uelewa wa kupata internet eidha kwa kupitia wire au wireless anielekeze jinsi ya kuunga broadband na niwezekutumia hii router (BT hub
Jamani kuna ndugu yangu kanitumia router na Adsl box plus ethernet cable na mobile kutoka Uk, sasa nimekukuruka kutengeneza wi-fi iliniweze kusambaza lakini nimeshindwa inaonyesha kule Uk Isp wao wanatumia internet through wired sasa mimi naona huku tz ni kizunguzungu tu! Sielewi kuhusu haya makorokoro ila nahisi hizi router huwa zina option ya usb dongle yaani wireless network.
Sasa naomba mwenye uelewa wa kupata internet eidha kwa kupitia wire au wireless anielekeze jinsi ya kuunga broadband na niwezekutumia hii router (BT hub