ikifika bongo mtauziwa laki8, wajinga ndio mliwaoKama kichwa cha habari hapo juu nimekaa na na kuwaza bila jibu ni nini kimewafanya watengenezaji wa cm za tecno kwenda kufanya usinduzi wa simu zao Dubai.
Je ni kutangaza masoko au ni teknolijia yao imekuwa na kuwa na bidhaa bora kwa sasa ?