Uzinduzi wa tecno phantom Dubai

Uzinduzi wa tecno phantom Dubai

redcarpet

JF-Expert Member
Joined
Jul 25, 2014
Posts
236
Reaction score
207
Kama kichwa cha habari hapo juu nimekaa na na kuwaza bila jibu ni nini kimewafanya watengenezaji wa cm za tecno kwenda kufanya usinduzi wa simu zao Dubai.
Je ni kutangaza masoko au ni teknolijia yao imekuwa na kuwa na bidhaa bora kwa sasa ?
 
Kama kichwa cha habari hapo juu nimekaa na na kuwaza bila jibu ni nini kimewafanya watengenezaji wa cm za tecno kwenda kufanya usinduzi wa simu zao Dubai.
Je ni kutangaza masoko au ni teknolijia yao imekuwa na kuwa na bidhaa bora kwa sasa ?
ikifika bongo mtauziwa laki8, wajinga ndio mliwao
 
Tecno India wana soko lao kama ilivyo hapa Afrika,kwa hiyo kuzindua simu India siyo kama wame-improve,kiasi chao cha ubora ni kilekile tu cha Siku zote.
 
Back
Top Bottom