Bye bye whatzupp ?!
Now introducin new app called TELEGRAM with highspeed msg delivering capable to send files up to 1GB, nd also it features to share Word nd powerpoint files... group capacity...
Simu inasumbua chaji sasa sijui niweke betri ingine ama vipi? Yani nachaji usku mzima inajaa lakini ku browrse hata nusu saa haifiki limeisha daaah naikumbuka i phone5s yangu niliyoiuza ..wadau...
Computer & Mobiles Technicial Solutions
COMPUTER UPGRADE, REPAIR AND SOFTWARE INSTALLATION (MAC&WINDOWS)e.g
Installing
Windows XP, Windows 7, Windows 8, Windows 8.1 and Windows 10(Pro, Home...
Serikali ya Marekani kupitia idara ya usafirishaji [Department of Trapotation {DOT}]
Ikishirikiana Federal Aviation Administration (FAA) imepiga marufuku kwa simu za Galaxy Note 7 zitakua siyo...
Habari rafiki , naamini umzima afya na unaendelea na harakati za kuboresha maisha yako. Karibu tena katika makala hii.
Kila siku ndege zinazidi kuongezwa ukubwa kulingana na mahitaji ya binadamu...
Habari wanateknolojia, kama tujuavyo uwepo wa hub na innovation centers katika nchi au sehemu huchangia kwa kiasi kikubwa kusukuma kasi ya ugunduzi na uongezaji ufanisi wa vifaa na mifumo ya...
hi wanajamvi
yani simu ina memory storage kubwa lakn nikidownload app kutoka play store inakataa inaniambia view memory storage....kuna tatizo gan labda wakuu?
Huu mtandao nadhani hawajielewi. Ni kawaida sana kukuta mtandao umekata bila taarifa yoyote. Nimekuwa nina experience mbaya nikiwa Dar, Mbeya na Arusha. Leo nimekuja Mbeya, hakuna network...
Tecno j7 ina virus wengi. Nimejaribu kuwaondoa kwa kutumia apps ya 360 security lakini bado vipo. Nikifungua browser kwa mfano mozila au opera mini inanuambia you have 4 virus...
Au kama hivi...
Wakuu naomba mnisaidia, nikifungua mtandao wowote,hata facebook etc picha na hata maneno yanaonekana kama yamevutwa na hayaonekani kabisa.
Ninatumia komputer, sijajua ka ni virusi au ni nini...
Wakuu kwanza poleni na majukumu ya kujenga taifa lenye viwanda. nianomba mwenye link nzuri ya window activator yoyote anisaidie hasa kama una KMSAOUT LITE nimesumbuka kutafuta namna ya kui...
MAMLAKA ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) imepiga marufuku uingizaji na usambazaji wa simu za mkononi za Smartphone Samsung Galaxy note 7 kwa kuwa zina matatizo ya betri.
TCRA pia imewataka wananchi...