Amani kwenu wa jamii.
Naomba kuelekezwa nitumie program ipi inayoweza kudownload move katika simu za smartphone itakayoonyesha zaidi ya nusu saa. nitashukuru kama nitaelekezwa,
Maana nyingi...
Habari zenu wakuu? mimi ni mwanaJF mkongwe japo kwa muda mrefu kidogo nilikuwa busy kidogo na kitabu, now I'm back. nafurahi kuona JF imekuwa improved kuanzia kwenye templates, page zinaload...
Huwa naamnini hapa tuna watalaam siyo wa Kawaida kwenye mambo ya IT.
Nimedownload Total Video Converter sasa wanataka ninunue ili kuitumia namimi sina pesa.
Tafadhali msaada mwenye ujuuzi ili...
Habarini Wadau,
Ni laptop mpya, na hii line nikiiweka kwenye simu natumia internet vizuri tu ila nahitaji kujuzwa namna ya kuconnect kwenye laptop kupitia Modem.
Hapa kwenye configuration ya...
Kuna situation huwa zinatupata tunahitaji kutumia wifi kwenye simu na laptop zetu ila tunakuwa katika eneo lisilo na wifi, leo tunajifunza jinsi ya kujitengenezea wifi hotspot zetu binafsi kwa...
Wakuu naomba Msaada, app ya fb kwenye adroid imeanza kuzingua ghafla ku log in, kama ambavyo inaonesha kwenye screen shot, kuwa tatizo ni internate, wakat net iko vizur.
Msaada wenu tafadhari
wakuu habar? simu yangu ina shiiida yaan kuna maneno CLICK EXIT yanatoke kwa chini then simu inastaki kwa sekunde 30 hvi then ndo itafanya kazi tena..nakelwa sana jaman naomba msaada wa jinsi ya...
Salamu ndugu.
Nina laptop kila nikifungua inaniambia window failed to connect to service, na kila nikiplay wimbo hauanzi kawaida sekunde za mwanzo kuna vitu kama mawingu hivi na sauti haitoki...
Habari wana JF
Kwa bahati mbaya nili format Hard drive yangu ,nikaitoa na kuweka nyingine mpya kwenye laptop,kwa sasa nataka kuitumia kama external hard drive,na ninataka ku recover documents...
Natumia win 7, nataka ku-edit 'hosts' file ndani ya 'windows' folder ukiingia 'Drive C'. Lakini kila niki-save inakataa. Inasema am not allowed. Nipeni njia wakuu. Asanteni.
wakuu wana jf wataalamu wa hizi mambo, naomba kujua naweza kupata wapi app itakayoniwezesha kusoma comic books kwenye smartphone, coz nikivifungua hivi vitabu naambiwa not supported, so msaada...
Wakuu naombeni mnifahamishe hivi vyombo vinakaaje huko juu bila kuwekwa mafuta na marekebisho mengine ili viizunguke dunia na kusaidia mawasiliano hapa duniani.
Ni kwamba huwa zinashushwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.