Huduma za TTCL

Huduma za TTCL

wazirib28

JF-Expert Member
Joined
Dec 14, 2015
Posts
460
Reaction score
275
Habarini wanajamvi. Naomba kwa mwenyee anajua bundles na huduma zingine za mtandao wa TTCL afanye kushare nami/nasi please
 
Broandband ndio nini mkuu? Je ina 3G hiyo TTCL?
 
Broandband ndio nini mkuu? Je ina 3G hiyo TTCL?
Broadband na refer ile connection unaunganishiwa Telephone line mpaka nyumbani kwako!
Ndio ni kweli TTCL wanayo 3G kwa Mkoa wa DSM tu
Ila iko Slow hivo bora utumie 4G kama hautaki hizo wired connections
 
Ahaa basi naona nitaikosa maana nipo Dodoma na natumia simu yenye 3G.
 
Kwasababu nimetumia Voda, tigo, airtel na halotel sijaridhishwa sana na mitandao hii.. nikataka nijaribu na huu maana nilisikia ndio wanaomiliki mkonga.
 
Kwasababu nimetumia Voda, tigo, airtel na halotel sijaridhishwa sana na mitandao hii.. nikataka nijaribu na huu maana nilisikia ndio wanaomiliki mkonga.
Kumiliki Mkonga sio kigezo cha kuwa na perfomance nzuri!

kuhusu kutoridhishwa na hiyo mitandao yote kwa hapo Dodoma nakua na mashaka labda unambie unakaa Dodoma nje na mji kama Mpwapwa,kondoa n.k huko

Kutoridhika kwako ni kwa Speed au Bei?
Mitandao yote hiyo ina 3G,H,H+ kwenye simu yako bila kuamia E?
 
Mimi nipo chuoni UDOM pale mitandao yote hiyo ipo slow sana. Sijui ni sababu ya wingi wa watumiaji ama vipi. Ndio maana nikaamua kuuliza hii ili nijaribu. Ila nikiwa nje ya chuo basi voda wananifurahishaga.
 
Mimi nipo chuoni UDOM pale mitandao yote hiyo ipo slow sana. Sijui ni sababu ya wingi wa watumiaji ama vipi. Ndio maana nikaamua kuuliza hii ili nijaribu. Ila nikiwa nje ya chuo basi voda wananifurahishaga.
Voda ni kiboko ase

Hakunaga ,labda eneo la huko kutakuwa na shida
 
Mimi nipo chuoni UDOM pale mitandao yote hiyo ipo slow sana. Sijui ni sababu ya wingi wa watumiaji ama vipi. Ndio maana nikaamua kuuliza hii ili nijaribu. Ila nikiwa nje ya chuo basi voda wananifurahishaga.
Nilishasikia Similar complaints kwa hilo eneo la UDOM ila Nafikiri Halotel yaweza kua much better
Ila bado ukiona Gundu I see ningekushauri swala la kucheki na Tigo 4G maana wamefika Huko na siku hizi kuna simu za bei ya kawaida zinazo support 4G with unapozidi kucheki alternatives jaribu kuliweka na hili kwenye list
 
Nilishasikia Similar complaints kwa hilo eneo la UDOM ila Nafikiri Halotel yaweza kua much better
Ila bado ukiona Gundu I see ningekushauri swala la kucheki na Tigo 4G maana wamefika Huko na siku hizi kuna simu za bei ya kawaida zinazo support 4G with unapozidi kucheki alternatives jaribu kuliweka na hili kwenye list
Yeah sure! Halotel ndo angalau wanazidi wengine kwa pale... japo ni kama chongo kuongoza vipofu. Nina line ya tigo 4G huwa naitumia ktk moderm. Siku nikiamua kubadili simu basi lazima nichukue inayosuppory 4G.
 
Broadband na refer ile connection unaunganishiwa Telephone line mpaka nyumbani kwako!
Ndio ni kweli TTCL wanayo 3G kwa Mkoa wa DSM tu
Ila iko Slow hivo bora utumie 4G kama hautaki hizo wired connections
3G ipo baadhi(machache) ya maeneo ya Dar.


Je 4G ipo nchi nzima au dar tu?
 
Kwasababu nimetumia Voda, tigo, airtel na halotel sijaridhishwa sana na mitandao hii.. nikataka nijaribu na huu maana nilisikia ndio wanaomiliki mkonga.
Hiyo uliyotaja ni bora kuliko huo unaouliza?
 
Back
Top Bottom