yello masai
JF-Expert Member
- Jan 8, 2016
- 3,542
- 3,502
Habari wadau,
Haya ni moja ya makampuni ya TV ya kichina ambayo naona yanafanya vizuri sokoni kwa sasa. Nimejaribu kuzunguka kariakoo nimeona bei zake zinafanana. Hasa kwa saizi nayoitaka ya 32".
Ningeomba kufahamishwa ipi TV yenye ubora zaidi kati ya hizo.
Karibuni wadau.
Haya ni moja ya makampuni ya TV ya kichina ambayo naona yanafanya vizuri sokoni kwa sasa. Nimejaribu kuzunguka kariakoo nimeona bei zake zinafanana. Hasa kwa saizi nayoitaka ya 32".
Ningeomba kufahamishwa ipi TV yenye ubora zaidi kati ya hizo.
Karibuni wadau.