Tatizo la Simu kutoingiza chaji

Tatizo la Simu kutoingiza chaji

mangi jr

JF-Expert Member
Joined
Dec 21, 2013
Posts
291
Reaction score
250
Habari za muda wadau?

Na tatizo moja Simu yangu imegoma kuingizia chaji kwa njia ya kawaida kwa muda. Niikiweka charger kwenye soketi ya umeme haipeleki lakini nikitumia wire ya USB kuchajia kwenye TV/deki inapeleka bila tatizo. Tatizo linaweza kuwa ni nini?

Msaada Tafadhali.

Mchana mwema
 
Habari za muda wadau?

Na tatizo moja Simu yangu imegoma kuingizia chaji kwa njia ya kawaida kwa muda. Niikiweka charger kwenye soketi ya umeme haipeleki lakini nikitumia wire ya USB kuchajia kwenye TV/deki inapeleka bila tatizo. Tatizo linaweza kuwa ni nini?

Msaada Tafadhali.

Mchana mwema
badilsha charger simple thinking usb cable yako nzima
 
badilsha charger simple thinking usb cable yako nzima
Charger ninazo zaidi ya tatu na zote zimegoma kupeleka moto. Jana tu nimetoka kununua charger mpya na yenyewe imegoma na bado tatizo halijaisha.
 
Charger ninazo zaidi ya tatu na zote zimegoma kupeleka moto. Jana tu nimetoka kununua charger mpya na yenyewe imegoma na bado tatizo halijaisha.
lakini nikitumia wire ya USB kuchajia kwenye TV/deki inapeleka bila tatizo. Tatizo linaweza kuwa ni nini?: hayo ndiyo maelezo yako ya msingi huko inakkubali kucharge kunatoa 5v hapo kunakitu kinaitwa current inawezekana charger ulizo nunua current ni ndogo japo voltage inaweza kuwa sawa
 
Back
Top Bottom