Wapi nitapa private Internet Provider?

Wapi nitapa private Internet Provider?

Bakulutu

JF-Expert Member
Joined
Nov 30, 2011
Posts
2,594
Reaction score
1,862
Habari wakuu, nahitaji kujua hivi hapa Tanzania kuna kampuni inaweza niuzia kifaa kitakacho weza nipatia Internet yangu mwenyewe mfano niko kijijini sehemu ambayo bado hakuna huduma ya Internet lakini nataka kufunga kifaa kama hicho niweze tumia mwenyewe
 
Halotel wamenisikitisha saana hili eneo lina watu wengi sana ni Mvumi wilaya ya kilosa na wamepita hapo ila hakuna Internet ukiwauliza wanakomaa ipo.
 
Halotel wamenisikitisha saana hili eneo lina watu wengi sana ni Mvumi wilaya ya kilosa na wamepita hapo ila hakuna Internet ukiwauliza wanakomaa ipo.
cheki smart sema hawa band yao ni tofauti sio 2100 hivyo sio simu nyingi zinashika mnara wao sikumbuki vizuri ila ni 850/900,

tafuta simu yenye quad band 3g cheki gsmarena simu zenye band 850 au 900 zipo nyingi tu kama huna uhakika nitajie simu zako nitakwambia kama zinazo.

cheki smart ukipata mtandao nunue modem inayokubali mtandao wao tumia. jamaa ni 20,000 tu unlimited internet kwa mwezi
 
cheki smart sema hawa band yao ni tofauti sio 2100 hivyo sio simu nyingi zinashika mnara wao sikumbuki vizuri ila ni 850/900,

tafuta simu yenye quad band 3g cheki gsmarena simu zenye band 850 au 900 zipo nyingi tu kama huna uhakika nitajie simu zako nitakwambia kama zinazo.

cheki smart ukipata mtandao nunue modem inayokubali mtandao wao tumia. jamaa ni 20,000 tu unlimited internet kwa mwezi
Ngoja kwanza nita check now, shukran sana chief!
 
Unaweza kutufafanulia hii ndio inakuwaje na inatumikaje .....???
umewahi kuona juu ya atm au kwenye ofisi na mashirika kuna dishi dogo dogo kama la tv?
DSCF0018-300x225.jpg


hilo ni dish la internet unaelekeza muelekeo fulani halafu linakupa internet.

hivyo badala ya data kupitia kwenye fiber au minara ya simu inapitia kwenye hilo dish.
 
umewahi kuona juu ya atm au kwenye ofisi na mashirika kuna dishi dogo dogo kama la tv?
DSCF0018-300x225.jpg


hilo ni dish la internet unaelekeza muelekeo fulani halafu linakupa internet.

hivyo badala ya data kupitia kwenye fiber au minara ya simu inapitia kwenye hilo dish.
Asante sana,picha imenifanya nimeelewa zaidi.
 
Back
Top Bottom