Katika thread hii tutajifunza namna ya kutengeneza application za Android "from the scratch", Japokuwa kuna "platforms" mbalimbali mtandaoni ambazo zinaweza kumsaidia mtu yoyote kuunda apps hata...
Wakuu,
Penye wengi, pana mengi pia. Jukwaa hili pamoja na kuwa na matangazo mengi, lakini wengine ni matapeli wakubwa sana. Tafadhali, tulishatoa angalizo na tunasisitiza tena:
Mnapoamua kufanya...
Habari wakuu,
Kutokana na jukwaa letu kuwa na mada nyingi nzuri japo nyingine za muda kidogo, mada maalum zinazoelezea matatizo ya kitu fulani lakini hazionekani kirahisi na kadhalika nimeomba...
Pata kujua jinsi watu wanavyounlock modem unakaribishwa kwa maswali na utasaidiwa.
BAADHI YA MASWALI YALIYOULIZWA NA WADAU KUHUSU JAMBO HILI
Wakuu Habarini!
Nimekwama Hapa Jinsi Ya Ku Unlock Hii...
Simu yangu ya htc ilipasuka kioo, nikatafuta weee, mwisho kuna mtu humu jukwaani akanitajia fundi yupo posta anaitwa sele. nikaenda kufika kaniambua kioo kipo ila bei laki, haipungui wala nini...
Hello Guys,
Najua Mobile users wa JF wanamiss vitu ving sana vya uzuri wa JF. Mfano kuweka Rangi katika Maandishi ya Post yako au Thread.
SASA KAMA UNATAKA KUWEKA rangi katika Post yako kuna...
hapa nimeweka na nitakuwa naweka kwenye uzi huu wallpapers za jamiiforums (submitted by users) ambazo mtaweza kupamba desktop za computer zenu....
pia soon zitakuja za mobile as soon as poassible...
Moja Kati ya simu Bora ya kutumia kwa mwaka 2023 Toka kampuni ya Infinix ni hii Infinix Note 30 Vip, ambayo imeachiwa June 30 mwaka huu ikiwa na feature kedekede ndani yake Leo nakuambia kadhaa...
Habari za muda huu wana jamii tech,, Ninaomba kufahamu app nzuri ya kuedit picha kwa simu maana kuna jamaa huko fb anadai anaedit kwa simu kama picha hapo chini ila anaringa kutaja jina la App...
Watafiti kutoka chuo Cha Lanzhou University nchini China wamefanikiwa kutengeneza wireless chaji ambayo ni Salama itakayoweza kupandikizwa ndani ya mwili wa binadamu katika Miaka ijayo...
Apple imetoa simu ya iPhone 14 ambayo sio Pro (iPhone 14 ya kawaida). Mwaka huu iPhone ya kawaida itakuwa na iPhone 14 Plus ambayo ina ukubwa sawa na iPhone 14 Pro Max.
iPhone 14 inafanana na...
Ni stori ya kusisimua iliyogonga vichwa vya habari inaonekana Kama hadithi za kare Babu anamwambia mjukuu wake lakini ni maisha ya uwalisia zinatengenezwa roboti zitakazo fanya maamuzi yenyewe...
Inawezekana umeweka password ya ku login Kwenye window 10 alafu ukasahau password yake Je ndo hu format window nzima ??
Hapana [emoji112] Leo nakuambia nini ufanye ikitokea kompyuta uliyonayo...
Kampuni ya Google imeleta njia rahisi ya watu kuweza kutumia mfumo wa passkey kuweza ku sign in Kwenye app mbalimbali kwa urahisi kupitia simu au kompyuta.
Rasmi mfumo wa passkey unapatikana...
Unarudi nyumbani toka kwenye mihangaiko yako unatufungua mlango kuingia ndani Tv hakuna nani kachukua hujui? Utafanyaje?
Je Kuna njia tunaweza tumia ku track Tv iliyoibiwa ? Na kumkamata mwizi...
Watumiaji wa Whatsapp kwa upande wa beta version kuanzia Kwenye android, iOS na desktop muda sio mrefu wataweza kukutana na feature mpya ya Akili bandia Kwenye Whatsapp.
Kampuni ya Meta...
Whatsap wako Kwenye Majaribio ya kuleta uwezo wa watu kuficha utambulisho wao Kwenye Whatsapp.
Whatsapp wanaongeza ulinzi kwa kuleta feature ya kuzuia watu kujua location yako wakati unatumia...
Whatsapp wanataka kuleta feature ya ๐๐๐ฒ๐ฟ๐ป๐ฎ๐บ๐ฒ kwenye akaunti zetu, itaweza kumruhusu mtumiaji kuchagua unique username yake ambayo itakua official kabisa. Kwa sasa hii feature ipo Kwenye...
Kumekua na kesi nyingi za watu kulalamika kufungiwa ๐ช๐ต๐ฎ๐๐๐ฎ๐ฝ๐ฝ zao kila mara, watu wengi wanalalamika kila wanapojaribu ku download Whatsapp na kujiunga tu wanafungiwa nini shida ?
Kuna mtu alikua...
Kuna Tetesi inasemekana Whatsapp wako kwenye majaribio ya kuweza kuleta feature yenye uwezo wa kuingia kwenye Whatsapp akaunti yako bila kutumia namba ya simu.
Feature hii itaanza kupatikana kwa...
Namna ya kutambua Kama simu Yako ni feki
Unajua unaweza kutambua simu ambayo unapenda kuitumia Kama ni feki au original kabla ujainunua ??
Hii ni moja wapo ya changamoto ya watu wengi Sana...
๐๐ฎ๐บ๐ฝ๐๐ป๐ถ ๐๐ฎ ๐ ๐ฒ๐๐ฎ inasema muda sio mrefu itaachia feature mpya kwenye Whatsapp ambayo inaitwa Channel, hii ni kama vile broadcast channel kwenye Instagram.
Whatsapp Channel ni feature mpya yenye...
Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (Tcra) imewapa tahadhari wale watu wanaotumia program mbalimbali za kuvunja sheria moja wapo kutumia mtandao wa VPN.
Watu wengi utumia mtandao wa VPN kuficha...
Tumeona feature nyingi zikitoka mwaka huu 2023 kwenye WhatsApp wanazidi kuendelea kufanya vyema sana kwenye ulimwengu wa Teknolojia.
WhatsApp wanakuja na feature mpya ya kuweza kurahisisha mambo...
Umeshawahi kujiuliza unafanyaje kutengeneza Cable za Ethernet Leo nakujuza kwa kuwa Teknolojia ni Yetu sote.
Najua unaweza kwenda kununua Cable ya Ethernet ambayo imeshatengezwa complete...
[emoji189] Meta baada ya kuachia mtandao mpya wa threads umepata watumiaji zaidi ya milioni 30 watu mbalimbali waliweza kujisajili kwenye huu mtandao.
[emoji189] Threads mtandao ambao unafanya...
Umeshawahi kutumia Ikawa slow mpaka unakereka aisee unatamani kuitupa au kununua nyingine relax Leo nakupa sababu zinazofanya kompyuta kuwa nzito [emoji108]
Kompyuta kuwa nzito usababishwq na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.