Teknolojia ni Yetu sote
JF-Expert Member
- Apr 28, 2020
- 445
- 754
Unarudi nyumbani toka kwenye mihangaiko yako unatufungua mlango kuingia ndani Tv hakuna nani kachukua hujui? Utafanyaje?
Je Kuna njia tunaweza tumia ku track Tv iliyoibiwa ? Na kumkamata mwizi ??
Hakuna njia ramsi ya kuweza kuifuatilia Tv yako ikitokea imeibiwa kama haijafungwa mfumo wa Gps tracker, ila unaweza kuifuatilia kutokana na app zilizopo mule ndani ikitokea muhusika ameunganisha na intaneti kwenye Tv.
Apa tutaweza kuifuatilia Tv kupitia njia Online baada ya kuibiwa Tv na kuanza kutumika kwaiyo lazima Tv iwe On na iwe imeunganishwa na intaneti.
View attachment 2685693
1) ip address
Inabidi huwe na ip address ya Tv yako Ili polisi waweze kukusaidia kuitafuta tv yako baada ya kuibiwa au kupoteza. Polisi wtakusaidia kuifuatilia au mamlaka yoyote nyingine inayohusika na kesi za utapeli , wizi kupitia Ip address ya Tv yako.
Ni muhimu huwe na
โข Tv serial number
โข Jina la Tv na model yake
โข Gharama uliyonunulia Tv pamoja na Risiti
โข ip address
View attachment 2685691
2) Google
Google wametengeneza njia kadhaa ya kuwasaidia watumiaji wake kuweza kujilinda dhidi ya uhalifu wa mitandao au mitaani nk ivyo inawapa watu nguvu ya kuweza kufuatilia vifaa vyao vilivyopotea kwa namna moja au nyingine.
View attachment 2685694
Kuna feature ya kukusaidia ku track na kutambua kifaa kilijiunganisha na kifaa chako, location yake Iko maeneo Gani mfano (Samsung smart tv)pia utaweza kujua mkoa au nchini Gani ipo nk.
Kupitia mtandao wa Netflix ni njia Rahisi ya kuweza kufuatilia Smart Tv yako iliyopotea utaweza kupata taarifa nyingi sana kupitia Akaunti yako.
Taarifa muhimu kuanzia mda na siku ambayo account yako imetumika , ip address na location ya kifaa eneo liliopo. Kwaiyo ikitokea jamaa akaingia kwenye Akaunti yako ya Netflix unaweza kumkamata.
- chukua kompyuta ingia Google tafuta Netflix ingia kwenye Akaunti na email ile ile Kisha chagua Any profile
- juu kwenye profile menu upande wa kulia mwa skrini yako chagua account Toka menu ya chini Kisha ingia setting
- chagua recent device streaming activity utaweza kuona vifaa vyote ambavyo vimeingia kwenye Akaunti yako ya Netflix utaweza kuona ip address pamoja na location.
Toa taarifa kwa watengezaji / wasambazaji wa Tv uliyopoteza au kuibiwa watakusaidia kuweza kuifunga au kuifuatilia Tv yako iliyopotea au kuibiwa.
Ebu tuambie ukibiwa Tv huwa unafanya nini kuifuatilia au umeshawahi kuibiwa Tv tuachie maoni yako? View attachment 2685692
Je Kuna njia tunaweza tumia ku track Tv iliyoibiwa ? Na kumkamata mwizi ??
Hakuna njia ramsi ya kuweza kuifuatilia Tv yako ikitokea imeibiwa kama haijafungwa mfumo wa Gps tracker, ila unaweza kuifuatilia kutokana na app zilizopo mule ndani ikitokea muhusika ameunganisha na intaneti kwenye Tv.
Apa tutaweza kuifuatilia Tv kupitia njia Online baada ya kuibiwa Tv na kuanza kutumika kwaiyo lazima Tv iwe On na iwe imeunganishwa na intaneti.
View attachment 2685693
1) ip address
Inabidi huwe na ip address ya Tv yako Ili polisi waweze kukusaidia kuitafuta tv yako baada ya kuibiwa au kupoteza. Polisi wtakusaidia kuifuatilia au mamlaka yoyote nyingine inayohusika na kesi za utapeli , wizi kupitia Ip address ya Tv yako.
Ni muhimu huwe na
โข Tv serial number
โข Jina la Tv na model yake
โข Gharama uliyonunulia Tv pamoja na Risiti
โข ip address
View attachment 2685691
2) Google
Google wametengeneza njia kadhaa ya kuwasaidia watumiaji wake kuweza kujilinda dhidi ya uhalifu wa mitandao au mitaani nk ivyo inawapa watu nguvu ya kuweza kufuatilia vifaa vyao vilivyopotea kwa namna moja au nyingine.
View attachment 2685694
Kuna feature ya kukusaidia ku track na kutambua kifaa kilijiunganisha na kifaa chako, location yake Iko maeneo Gani mfano (Samsung smart tv)pia utaweza kujua mkoa au nchini Gani ipo nk.
- fungua simu au kompyuta ingia Google
- kisha login kwenye Google Akaunti yako kupitia browser ingia kwenye Google secure.
- tafuta Tv yako kwenye list of devices,ata kama muhalifu ata log out kwenye Akaunti yako
Kupitia mtandao wa Netflix ni njia Rahisi ya kuweza kufuatilia Smart Tv yako iliyopotea utaweza kupata taarifa nyingi sana kupitia Akaunti yako.
Taarifa muhimu kuanzia mda na siku ambayo account yako imetumika , ip address na location ya kifaa eneo liliopo. Kwaiyo ikitokea jamaa akaingia kwenye Akaunti yako ya Netflix unaweza kumkamata.
- chukua kompyuta ingia Google tafuta Netflix ingia kwenye Akaunti na email ile ile Kisha chagua Any profile
- juu kwenye profile menu upande wa kulia mwa skrini yako chagua account Toka menu ya chini Kisha ingia setting
- chagua recent device streaming activity utaweza kuona vifaa vyote ambavyo vimeingia kwenye Akaunti yako ya Netflix utaweza kuona ip address pamoja na location.
Toa taarifa kwa watengezaji / wasambazaji wa Tv uliyopoteza au kuibiwa watakusaidia kuweza kuifunga au kuifuatilia Tv yako iliyopotea au kuibiwa.
Ebu tuambie ukibiwa Tv huwa unafanya nini kuifuatilia au umeshawahi kuibiwa Tv tuachie maoni yako? View attachment 2685692