BARD AI
JF-Expert Member
- Jul 24, 2018
- 3,376
- 8,120
Apple imetoa simu ya iPhone 14 ambayo sio Pro (iPhone 14 ya kawaida). Mwaka huu iPhone ya kawaida itakuwa na iPhone 14 Plus ambayo ina ukubwa sawa na iPhone 14 Pro Max.
iPhone 14 inafanana na iPhone 13 katika mwonekano.
๐ Apple imetoa aina mpya ya simu ya iPhone 14 Plus. Ina kioo chenye ukubwa wa โฆ..
๐ Ina uwezo wa kutambua mtu amepata ajali
๐ Ina uwezo wa mawasiliano ya satelite
๐ Kamera yake ina Advanced dual system ambayo ni toleo jipya la kushirikisha mfumo wa kamera mbili kuwa na ushirikiano mmoja katika kupiga picha na kurekodi. Tofauti yake sio kubwa sana katika quality ya video na picha ukiilinganisha na iPhone 13.
๐ Inatumia teknolojia mpya ya Bluetooth 5.3
๐ Inatumia chip ya A15 Bionic ambayo ni sawa na chip ya iPhone 13. Lakini GPU core za iPhone 14 zipo 5 (5-core) lakini iPhone 13 za mwaka jana zilikuwa na core 4 za GPU.
Wengi wamelalamika kuwa haina mabadiliko makubwa sana zaidi ya kuweka uwezo wa Satellite na kutambua kama mtu amepata ajali. Lakini mwonekano, kamera, chip na display ni ile ile kama ya iPhone 13.
CREDIT @itsapolloo
iPhone 14 inafanana na iPhone 13 katika mwonekano.
๐ Apple imetoa aina mpya ya simu ya iPhone 14 Plus. Ina kioo chenye ukubwa wa โฆ..
๐ Ina uwezo wa kutambua mtu amepata ajali
๐ Ina uwezo wa mawasiliano ya satelite
๐ Kamera yake ina Advanced dual system ambayo ni toleo jipya la kushirikisha mfumo wa kamera mbili kuwa na ushirikiano mmoja katika kupiga picha na kurekodi. Tofauti yake sio kubwa sana katika quality ya video na picha ukiilinganisha na iPhone 13.
๐ Inatumia teknolojia mpya ya Bluetooth 5.3
๐ Inatumia chip ya A15 Bionic ambayo ni sawa na chip ya iPhone 13. Lakini GPU core za iPhone 14 zipo 5 (5-core) lakini iPhone 13 za mwaka jana zilikuwa na core 4 za GPU.
Wengi wamelalamika kuwa haina mabadiliko makubwa sana zaidi ya kuweka uwezo wa Satellite na kutambua kama mtu amepata ajali. Lakini mwonekano, kamera, chip na display ni ile ile kama ya iPhone 13.
CREDIT @itsapolloo