First Born
JF-Expert Member
- Jul 11, 2011
- 5,310
- 1,473
Ramadhan kareem!
kama ilivyo ada watu tunapenda mambo ambayo wenzi wetu wanayapenda hasa katika suala la mapenzi.
Lakini je ushawahi kujiuliza udhaifu ulionao mwenyewe?
Haya sasa tuambiane, we unaesoma changia, kubali kuwa hujakamilika.
mi huwa kumwandaa mpenzi wangu kwa goli la kwanza huwa naona kama adhabu, tena likishatoka huwa nahisi kinyaa kuendelea kupiga mzigo, nahisi huu ndo udhaifu wangu.
we wako ni upi?
vigezo na mashati kuzingatiwa jamvini.
kama ilivyo ada watu tunapenda mambo ambayo wenzi wetu wanayapenda hasa katika suala la mapenzi.
Lakini je ushawahi kujiuliza udhaifu ulionao mwenyewe?
Haya sasa tuambiane, we unaesoma changia, kubali kuwa hujakamilika.
mi huwa kumwandaa mpenzi wangu kwa goli la kwanza huwa naona kama adhabu, tena likishatoka huwa nahisi kinyaa kuendelea kupiga mzigo, nahisi huu ndo udhaifu wangu.
we wako ni upi?
vigezo na mashati kuzingatiwa jamvini.