Speaker
JF-Expert Member
- Aug 12, 2010
- 6,324
- 2,238
Ni siku ya watu wanao tumia mkono wa kushoto (mashoto or left handed).
Nakumbuka nirafiki yangu alikua akipigwa sana na mwalimu pale
alipokua anaandika kwa kutumia mkono wa kushoto,au akinyoosha mkono
wa kushoto kujibu swali.
Pia ilinitokea majuzi tu,mtoto wa rafki yangu alipokua anapokea kitu kwa mkono
wa kushoto nilikataa na nikamlazimisha atumie wa kulia,....
Swali ni je:-
1.ni kwanini tunathamini sana kutumia mkono wa kulia (right handed) ?
Nakumbuka nirafiki yangu alikua akipigwa sana na mwalimu pale
alipokua anaandika kwa kutumia mkono wa kushoto,au akinyoosha mkono
wa kushoto kujibu swali.
Pia ilinitokea majuzi tu,mtoto wa rafki yangu alipokua anapokea kitu kwa mkono
wa kushoto nilikataa na nikamlazimisha atumie wa kulia,....
Swali ni je:-
1.ni kwanini tunathamini sana kutumia mkono wa kulia (right handed) ?