Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Threads
7.9K
Posts
231.3K
Threads
7.9K
Posts
231.3K
Today I would like to celebrate single mothers. I may not have been raised by one but the burden of single motherhood is not lost on me. One of my ex is a single mother. She has one lovely boy...
41 Reactions
2K Replies
130K Views
Ndugu zangu.. Uzi huu ni maalumu kwaajili ya kuelezea kero unazokumbana nazo kutoka kwa watoto waliozaliwa mwaka 2000 na kuendelea ,pia unatoa fursa ya kuweka maoni yako ni nini hasa kifanyike...
3 Reactions
13 Replies
190 Views
Katika vitu hutakiwi kukosea ni kuoa, ingawa pia Kuna bahati ndani yake ,ukibahatisha wife matilio utaifurahia ndoa kinyume chake ni majuto. Sasa Kuna sifa za wazi kabisa hata sisi wazee tunaziona...
6 Reactions
10 Replies
1K Views
1. Kuoga pamoja. 2. Kupiga mazoezi pamoja 3. Kula pamoja 4. Kupiga mswaki mmoja pamoja fanya haya mambo utakuja unitolee sadaka ya kujimaliza baada ya mafanikio. Usiku mwema mayo Seran
9 Reactions
107 Replies
877 Views
Katika hali isiyokuwa ya kawaida, hebu mtazame kijana huyu jinsi anavyoharibu gari alilonunua kwa mamilioni ya hela kwa sababu tu ya kutofautiana na laazizi wake: Je, wewe unaweza kuvunja gari...
8 Reactions
53 Replies
1K Views
Ndugu zangu. kwanza kabisa Nipende kumshukuru Mwenyezi Mungu kwa zawadi aliyonijalia maishani mwangu .. Pili Nipende kuwashukuru wana jf wote kwa mawazo yao na ushauri wao kuhusu changamoto...
10 Reactions
72 Replies
949 Views
Dada wa msanii Alikiba, Zabibu Kiba ameweka wazi kuwa Ex-Husband wake (Abdi Banda) ni baba bora sana kwa mwanae kwani amekuwa na mchango mkubwa sana kwenye malezi ya mtoto wao. "Sina ugomvi...
5 Reactions
12 Replies
363 Views
SABABU 10 AMBAZO HUFANYA WANANDOA KUNYIMANA TENDO LA NDOA KWA MAKUSUDI, CHANGAMOTO ZAKE NA MADHARA YAKE Katika maisha ya ndoa, tendo la ndoa sio tu suala la mwili bali pia ni daraja la ukaribu wa...
7 Reactions
16 Replies
335 Views
Mtaalamu wa saikolojia, Leonard Mgina, amesema kuwa ndoa siyo jambo linalofaa kwa kila mtu, akisisitiza kuwa baadhi ya watu wameumbwa kuishi maisha ya upweke (single) kutokana na tabia zao...
3 Reactions
6 Replies
145 Views
  • Redirect
13 Reactions
Replies
Views
Hii mada ni maalum kwa wenye kupenda asili, ukimya utulivu na wenye kujitafuta kiroho ama kujitakasa Je umeshawahi kutembelea mwituni kwenye "Crystal clear water" yanayotirika kwa utulivu na...
10 Reactions
25 Replies
392 Views
Wakuu naombeni ushauri wa kitaalam pengine Kuna changamoto ya ugomjwa inanisumbua bila Mimi kujua. Iko hivi: Mimi ni kijana wa miaka 36 na nina kitambi cha wastani flani tu. Nina mke na mtoto...
13 Reactions
89 Replies
1K Views
Wakuu, sijawahi kupitia unyonge, upweke na wasiwasi kama huu ninaopitia hivi sana. Mpenzi wangu ni mwanachuo katika chuo mkoa X, wanakatazwa kutumia simu, huwa anatumia simu za walimu wake akitaka...
9 Reactions
81 Replies
866 Views
Nikimalza la Kwanza anadai amechoka na anaogopa la pili anasema nachelewa Sana kumwaga. Nishamfatilia Sana hana michepuko wala nini na ni church girl. Nawaza kuwa na plan b Ila ana wivu balaa...
7 Reactions
73 Replies
816 Views
Hivi kwa mtu uliyempenda sana,akikuacha unaweza ukalia ama ukafeel mpweke ama ukafeel discourage
5 Reactions
30 Replies
238 Views
Habari zenu, Kama kichwa cha habari kinavojieleza, Ndio anajifunza kuongea ila nadhani kampani ya watoto wenzake anaocheza nao ndo walimuambukiza mnajua tena maisha ya uswahilini. Tunajitahidi...
4 Reactions
175 Replies
16K Views
Habar za mda huu ndugu Kuna kitu nimekuwa nikikigundua kuhusu maisha yangu kadiri ninavyozidi kukaa na kujitafakari mimi ni mtu ambaye mara nyingi napenda kuwa busy na kujishughulisha na mambo...
6 Reactions
34 Replies
394 Views
Nina hasira na huzuni kwa pamoja, naomba niende direct kwenye mada .... Akitokea Kaole Secondary School alienda kusoma Dar es salaam School of Journalism (DSJ). Mwamba akiwa mpambanaji, kama...
11 Reactions
122 Replies
2K Views
Iko askari mpumbavu aliamua kumsomesha mpenzi wake chuo kikuu alitumia takriban 800,000 za kenya baada ya kuhitimu mpenziwe alimuacha na kusema ako na elimu zaidi ya polisi. Polisi alimfuata kwake...
2 Reactions
11 Replies
321 Views
Mwanaume usijikite sana kwenye mapenzi, saka hela kwanza na kujiekeza. Usipoteze muda mwingi kutafuta mapenzi, utaumia, aliye na uwezo kuliko na atakunyang'anya demu...
1 Reactions
22 Replies
230 Views
Back
Top Bottom