Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

On JF:

Mlio owa Kuna Nini huko tuambieni mapema wakuu mana sio wakwanza huyu niwengi wakisha owa Wana Anza kuzeeka na kukonda tuambieni shida hua Nini huko
4 Reactions
22 Replies
288 Views
Dada yangu alipoteza akili zake baada ya kuingia kwenye mahusiano na mwanaume X Nasema hivi kwasababu kabla ya hapo alikuwa vizuri , alikuwa akipangilia mshahara wake kutimiza malengo yake kama...
14 Reactions
46 Replies
811 Views
Wazazi, mtoto wako wa kiume akikueleza wenzake wanamcheka kwa kua yeye bado hajawahi kufanya tendo la ndoa, utamsaidiaje?
7 Reactions
23 Replies
155 Views
Hongereni wanasimba kwa pira zuri hakika mmeonesha mwanzo mzurii. Aisee jana baada ya mechi kuisha nilikaa nisikilizie Usiku wa Bongo fleva. Nikaagiza kinywaji ili nivutie muda. Nikapiga konyagi...
9 Reactions
51 Replies
904 Views
Natumai mpo poa wadau leo ningependa kuwapa codes wanaume wenzangu waliooa na ambao hamjaoa someni hizi sheria 1.Hutakiwi kueleweka sana kwa mkeo(fanya kama upo upo tu) muache atumie nguvu kujua...
7 Reactions
43 Replies
338 Views
Jamani katika pitapita zangu nimekutana na kimwana mkenya, mwenye asili ya hukoo Nyanza. Tumeanza ku-date kama miezi 6 iliyopita. Ni mzuri wa sura na tabia yake so far ni poa. Mcha Mungu kiasi...
7 Reactions
403 Replies
83K Views
TULIOOA Watu wengi, hususan Wanaume waliozingua kwenye ndoa zao wana brag sana kuhusu uzuri wa ndoa, kama ulioa na clear purpose, huwezi kuwa unajieleza sana kuhusu maamuzi yako. Kama ndivyo...
2 Reactions
3 Replies
124 Views
Sio miguu ya bia sio makebo si smile.ngoz yao lain mno wanavutia kishezi.Afrika ina maunyama sana kwanza sauthi ni balaa tupu.
6 Reactions
17 Replies
205 Views
Uzao wa kwetu unaishia kwangu tu. Watoto kwangu hawana faida.nasitaki kuwa na mchumba lazima nife na usela wangu.
3 Reactions
22 Replies
259 Views
Huyu jamaa amebobea katika mswala ya IT ni ngosha mmoja.kutoka.mwanza kajichukulia jiko kwa raisi. Lakini kichwani yupo vizuri siyo wa mchezo mchezo ila sasa wasukuma hizi ni sifa.
9 Reactions
40 Replies
944 Views
Wataalamu?
4 Reactions
77 Replies
691 Views
Hakuna pigo linaloweza kumvunja mwanamume vipande vipande kama kujitoa kwa 100% kwa mwanamke unayemwamini na kumpenda, halafu mwisho wa siku anakunyima hata sehemu ya kulala kwenye nyumba...
9 Reactions
28 Replies
401 Views
Wajumbe naona mnavyochakarika kuuinua uchumi wa nchi na kuhakikisha mkono unaenda kinywani kongole sana.Niende moja kwa moja kwenye jambo letu. Tumekuwa tukishuhudia jinsi ambavyo...
14 Reactions
151 Replies
1K Views
Unafurahia mahusiano yako na kimapenzi, Ndoa,Urafiki,Ama unajutia.???? Kama ndiyo kwa nini ? Hapana kwa nini ? Ninyi wenye mahusiano yaliyofanikiwa ni Mambo gani/Hatua mlizopitia mpaka...
6 Reactions
360 Replies
26K Views
Kwema Wakuu! Acheni wivu! Yaani mkiona Watu wamebarikiwa jambo fulani roho mbaya zenu mbaya hazitulii. Wivu na maumivu moyoni yanawachoma. Mnaanza kuropoka mashudu yenu. Mkiona mdada mzuri tuu...
34 Reactions
337 Replies
28K Views
Kuna baadhi ya familia zina migogoro mikubwa,ndugu hawapatani hawapendani wana chuki wivu na kijicho kati yao.Wengine wanafanyiana mambo ya ajabu hata kufikia hatua ya kuendeana kwa waganga,chuki...
20 Reactions
85 Replies
10K Views
Makebo,sura,sauti,tabia,manyonyo,miguu ya bia,walking style
0 Reactions
1 Replies
71 Views
Sasa ninafuraha tele hivo vitu havitanisumbua tena.tayari nimepoteza hisia za kutaman na kupenda.asante sana mtaalam sasa nitakuwa tajiri #tagg kataa ndoa daima.
0 Reactions
10 Replies
120 Views
Ninachukia sana nataman tu nihasiwe nipoteze nguvu za kiume.nisiwe na hisia za mapenz niwe hakuna.
2 Reactions
79 Replies
746 Views
Kataa ndoa hawana stress daima hawateseki wao ni bata tuh.ila ndoa ni utapeli tuh hamna jipya #tagg kataa ndoa daima!!
1 Reactions
2 Replies
34 Views
Back
Top Bottom