Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

On JF:

Huyu mwanasheria bwana mweza wa mtu kuishi ulaya ishakuwa nongwa??? Ee Mungu ni mbinu za kupatia uongozi CHAWA
0 Reactions
16 Replies
137 Views
Na hiyo ni kwa jinsia zote. Na je,ni kweli mapenzi ni uchafu na hivyo inafaa kuvumilia uchafu, harufu mbaya na kali ya mpenzi wako hasa wakati wa kunyanduana? Mungu Ibariki Tanzania.
0 Reactions
15 Replies
292 Views
Ndugu zangu. Niseme wazi leo kuwa huu ni waraka wangu wa mwisho na nikikataliwa itakuwa mwisho wa kushusha nyuzi kwa walimbwende wa humu. Toka naingia jamvini mnamo 2021 nilitokea kumwelewa...
9 Reactions
191 Replies
2K Views
Kulikoni mnasahau kusafisha mfreji wa kwenye vijambizi vyenu? Vijambizi vinatoa harufu kali na mbaya sana inayodhoofisha hamu ya kunyanduana. Yaani ukibinuka tu na kujaribu kutanua sundrudru...
26 Reactions
198 Replies
4K Views
Mwaka ule ule napata connection ya kisanga cha Mnyarwanda kabla ya hapo nawaleta kati Katika Uzi uliopita niliiongelea Vietbam nikasema itakuwa story ya siku ngingine Kifupi Vietnam nimeenda...
10 Reactions
116 Replies
3K Views
Kosa kubwa zaidi ambalo mwanaume anaweza kufanya katika ulimwengu wa leo siyo kufeli kibiashara, bali ni kumkaribisha mwanamke anayekuja kuharibu amani yake ya ndani. Maisha ya mwanaume ni uwanja...
2 Reactions
3 Replies
98 Views
Angalizo: andiko hili linaweza kuwa na lugha ngumu na Kali. Hivyo kama wewe sio mpenzi, unahasira, au ukisikia lugha ngumu unakereka, unapoteza furaha, unahisi kudhalilika au kupoteza heshima...
20 Reactions
289 Replies
4K Views
Vuna ila usisahau mbegu ya kupanda msimu ujao uvune tena Uwa silewi ila nilienda club na wana wanaopiga mitungi wana wanalewa mimi nawapa tag wa kuwachek wasizingue wakizubaa natoka club , nje...
8 Reactions
56 Replies
1K Views
Salaam/shaloom Mwanangu mmoja aliniomba nimsindikize pahala fulani so tukafika akanambia tuingie ndani tukaingia tukakalibishwa misosi mingi baada yake joto kali nikaomba nitoke nje nipunge upepo...
14 Reactions
89 Replies
3K Views
Hey everyone! Iam from Dar . I make a living selling coffee, so naturally I’m always looking for someone who can appreciate a good cup and have a conversation about it. I’m single, a little...
2 Reactions
3 Replies
55 Views
Nilikuwa nimemwelewa single mother flani yupo tunduma, so mara kazaa nilikuwa napita mtaani kwake karibu na ofisi yake anakojumlisha viazi . Ukizingatia umri wangu umeenda soon naikuta 40, umri...
12 Reactions
30 Replies
877 Views
Chozi ama machozi ni ishara ya kuumia na maumivu yaliyoshindwa kuhimili hisia za kawaida za kibinadamu... Wanawake ni mabingwa kwenye hili. Wanaume huchukuliwa Kama shupavu wasiotoa machozi yao...
19 Reactions
148 Replies
21K Views
Wadau nimekuja kwenu nikiomba msaada wa hali na mali 1.Anataka nimsaidie kupika 2.Anataka nimsaidie kufua 3.Anataka niwahi kurudi home 4.Ananidharau eti kwa vile sijui kufunga kitanda...
14 Reactions
81 Replies
728 Views
Unapoingia kwenye uhusiano wa kimapenzi na mwanamke aliyekuzidi sana umri, fedha, au uzoefu wa maisha, wengi huona tu miili miwili ikikutana au akaunti ya benki ikiongezeka. Lakini katika...
8 Reactions
29 Replies
433 Views
Kumekuwa na trend ambayo inasambaa sana kwenye mitandao ya kijamii watu wakipost picha zao walizo edit kwa Akili bandia (AI) zikiwaonyesha wakiwa miaka ya 80's . Shida haijaanza leo, bali...
4 Reactions
23 Replies
451 Views
  • Poll Poll
Wakuu Katika mihangaiko yangu, nimejikuta nimepita kwenye kijiwe nongwa kimoja. Kimekolea! Watu wamekaa wamezunguka, kila mmoja ameshikilia upande wake, na mjadala uliokuwa unaendelea ulikuwa...
3 Reactions
8 Replies
136 Views
Wanaishi pamoja kama kawaida lakini wamechokana, mama anatamani baba afe ili arithi mali, baba anatamani mama afe ili aoe dogodogo. Halafu mbaya zaidi wanaombeana vifo vya ghafla na kuugua kwa...
76 Reactions
339 Replies
44K Views
Kuna tofauti kubwa ya kuishi kama mume na mke, kuishi kama wanandoa na kuishi kwenye ndoa Ukaribu Kushare hisia njema na mbaya Kushare fikra na matamanio binafsi, ndoto na maono Uaminifu Upendo...
10 Reactions
110 Replies
7K Views
Wana JF mie sina mengi ya kusema ila nina jambo moja tu la kusema kwenu. Ugumu huu wa maisha na kushindwa kwa mipango mbalimbali ambayo tunaipanga na kuifanyia kazi hapa duniani ni majibu tosha...
8 Reactions
16 Replies
1K Views
Preamble: For the sake of humility and a long, healthy life, ni busara ndoa zikaangaliwa kwa pande mbili. Moja as perfect intimacy na mbili as disaster against humanity. Ukipata mwenza sahihi...
56 Reactions
198 Replies
11K Views
Back
Top Bottom