Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

On JF:

Ni muhimu sana kwa watu waliopo ktk ndoa kuwa na Family friend au waliopo kwenye mahusiano serious kuwa na marafiki wa karibu . Mwanamke uliyepo ktk mahusiano jitahidi umtambulishe rafiki wako...
3 Reactions
17 Replies
199 Views
Utafiti wangu ambao umehusisha kutembeza mkuyenge kwa wadada 56 wembamba warefu weusi na maji yakunde umebaini kuwa wadada wembamba ndiyo watamu zaidi kushinda wote. Weusi utamu na joto liko juu...
10 Reactions
54 Replies
921 Views
Imeniuma sana. Huyu bi dada kila siku kunipiga vizinga, kuomba omba unajitia ana njaa Kali Sana, hata Kodi namlipia Mimi, kila siku hata nauli ya kwenda Chuo ananiomba, najibana kadiri niwezavyo...
18 Reactions
59 Replies
625 Views
Kwa sasa inaonekana Harusi zinazofungwa makanisani siku Moja kabla ya Ndoa, Kunakuwa na matukio ya ngono za kuagana zinazofanywa na Bibi Harusi na Ma-Ex wao. Hii Ina maana Harusi zinazofungwa leo...
20 Reactions
242 Replies
4K Views
1. Do not look like your situation. Avoid announcing to everyone that you are broke. It makes it harder for people to respect you. 2. Adjust your lifestyle. Cut expenses and learn how to manage...
5 Reactions
4 Replies
182 Views
X wako ana hali gani huko alipokwenda baada ya kukusaliti? Usaliti wake umemlipa au yuko hoi anajutia anatamani kurudi tena kwako?
5 Reactions
62 Replies
729 Views
Nilikuwa nazungumza na demu fulani hivi ,sasa ni mke wa mtu alikuwa mtu wangu for two years hatukuwahi kusex, baadae tukatofautiana,kila mtu akawa na ndoa yake ingawa tumekuwa tukishirikiana...
8 Reactions
51 Replies
751 Views
waamasai ni ngombe kumi ,blanket 20,pombe ya wazee ya kubarik binti yao akiondoka.plus million moja sasa must. wasukuma nao mahar ni mili 2.mm nimepitia haya...
4 Reactions
17 Replies
242 Views
Nimewahi kuwa kwenye mahusiano ya kimapenzi na binti mmoja hivi ,mwanzo alikuwa mpole ,mtiifu na mtu wa mungu sana ,na alikuwa ananipenda sana huenda ni kwasababu alikuwa mgeni wa mapenzi,lakin...
6 Reactions
34 Replies
360 Views
Kuna principle inasema to every rule there is always an exception, hata kwenye kundi linalosifika kuwa wasumbufu wapo waliotulia mpaka utashangaa na katika wale wanaojulikana wametulia wapo ambao...
5 Reactions
27 Replies
2K Views
Jana jioni nimetoka kazini nina upwiru balaa, nikasema embu ngoja niende guest kwanza nikanunue, mimi huwa sipendi sana kwenda sehemu za starehe hivyo nikalazimika kumuagiza jamaa yangu...
12 Reactions
31 Replies
760 Views
Mkihubiriwa na watumishi wa Mungu mwache uzinzi mnakua wakali. Mnataka injili za baraka, pokea gari pokea nyumba. Tumeambiwa tusizini ili tuwe na amani katika maisha yetu. Maisha yetu...
5 Reactions
8 Replies
141 Views
Eti wakuu mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 23 ambaye sijawahi kua na mahusiano yoyote naombeni ushauri wenu,nitatokaje kwenye huu uduwanzi wa kutokuweza kutongoza ukizingatia nahitaji kua na...
4 Reactions
32 Replies
422 Views
Musiki ni therapy, burudani na njia ya kufikisha ujumbe kwenye jamii. Kuna namna nyingi za kufurahia mziki. Miaka ya karibuni imeibuka hii trend ya mabinti na wanawake kutuma video fupi za kucheza...
19 Reactions
89 Replies
2K Views
Igweeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!! Kwanza kabisa naomba niende paralle (Parallel line are the lines that NEVER MEET incase ulipitia dirishani...
37 Reactions
402 Replies
34K Views
Sisi wamaasai hayo mambo hatuyajui sisi kama ni kazi ni kazi.hatunaga maandalizi sisi ni kulima tu.
3 Reactions
33 Replies
390 Views
Mama ni mmoja tu, na upendo wake hauna kifani. Mimi babu yenu Bujibuji Simba Nyamaume na miaka yangu 64, kuna binti anahongwa na Bwana wake, tena kijana barobaro kabisa, anakuja kunipa mimi hizo...
2 Reactions
8 Replies
71 Views
Vigezo vya mwenza ninayemtafuta: Awe na watoto wasiozidi wawili. Awe na umri kati ya miaka 35 hadi 45. Awe na kazi au chanzo cha kipato cha kumwezesha kunihudumia. Awe mkazi wa Dar es Salaam. Awe...
23 Reactions
219 Replies
2K Views
Yamenifika kooni najisikia vibaya kuendelea kuigiza kwa shemeji yangu na nahisi kama na mimi naendelea kushiriki dhambi ya kuiba damu ya watu Ipo hivi nina sister yangu ambae ana mtoto wa miaka 3...
12 Reactions
123 Replies
1K Views
Mwanaume kuvaa surual za kubana ni aibu sana sasa ww ni demu unaonesha nini kama sio uchoko.mwanaume vaa bugalu vazi la heshima. nguo za kubana ni za mademu...
7 Reactions
17 Replies
238 Views
Back
Top Bottom