Kuna nafasi nzuri sana ya kujifunza mambo mengi katika ndoa. Wanandoa unatakiwa kuwa tayari kujifunza.
Ndoa haiwezi kuimarika endapo kila mmoja kati ya wanandoa atang'ang'ania kubaki na misimamo...
Sikiliza, moja ya sifa ya mwanamke ni wana hisia sana kuliko wanaume.
Nikisema neno hisia linamaana pana sana unapaswa kufikiri kwa kina.
Intuition, beauty, mwanamke ndio chanzo cha uzuri ndani ya...
Ipo hivi jamaa yangu anaishi na mke ambaye tayari Wamejaaliwa kupata watoto wawili ,sasa anasema mwaka jana waliingia kwenye mgogoro mkubwa baada ya kugundua mke wake alikuwa akimsaliti japo huo...
Habari Wana JamiiForums.
Mimi ni kijana mwenye miaka 30 kuna mambo ya kimahusiano yanayonisibu Kwa sasa nadhani yapo nje ya uwezo wangu kama sitapata mshauri mzuri ninaweza nikaenda mlama kama...
Unaweza kuchukulia poa huu msemo
Labda ukaona umekaa secular sana
Ila mwanamke yoyote alie katika household ambayo kuna ukata mara nyingi ni mtu wa kuvuta vuta mdomo sana, alafu itokee bwana ake...
Mtandaoni wana-hubiri fedha ila ukija kwenye maisha ya kawaida mambo ni tofauti sana
👇👇👇
Ukienda uswahilini utashangaa watu wanamaisha magumu na bado wake zao hawawakimbii ukija mtandaoni...
Kichwa cha habari chajitosheleza..wanawake wengi wasio na sura za kuvutia kuendelea kuwaangalia usoni huwa huko nyuma wamejaaliwa kalio balaa..ila wale wenye sura endelevu wengi wao nyuma ni flat...
Wapo wanaosema kwamba mpenzi anapaswa kujua password ya simu ya mwenzake kwa sababu mahusiano yanajengwa juu ya uwazi na uaminifu. Kwa mtazamo wao, mtu asiye na jambo la kuficha hana sababu ya...
Labda niwape code tu ndugu zangu mnaoteswa na wanawake.
Issue inayo kufanya mpaka leo mwanamke akutumie na kuku dharau ni kwasababu wewe ni kapuku,period.
Toka nianze ku advance kifedha nimekuja...
Mgonile wadau,
Mdada anakuja kwako kukusalimia ,umeandaa vyazi nyama na mazagazaga kibao unajua Leo umempata mtu WA kupika chakula kizuri. Anakuambua agiza chakula yeye hawezi pika anatoa...
Mnisamehe sana wanaume wenzangu marijali
Kama utani ila nmeshindwa kutoa bikira🥺🥺
Inachekesha kama hajakutana😂😂💔🙌
Mtu kasafiri aje kunipatia
Vilio yeye
Nguvu yeye
Maumivu yeye
Mikono, mapaja na...
Hakuna mwanaume anayejali nyweli au kichwa cha mwanamke. Mwanamke hata awe na kichwa kizuri na nywele za peponi hisia za wanaume zinaanzia kwenye makalio, matiti na sura.
Dini imewafanya wanawake...
Kuna makabila wanawake husifika kupenda kumtawala mwanaume kwenye ndoa, hali hii huleta migogoro, kuvunjika kwa ndoa au mwanaume kukubali kuwa No 2
Ni ndoa sio uchumba, kwenye uchumba unaweza...
Binafsi huu mwaka nimeona takriban watu 7 nilosoma nao na age mates wame uta majiko..
Mimi ndo hata hilo wazo sina..
Ila nahitaji kuwa a dad to my kids, then why the heck sichukui hatua? Bado...
Ndio maana wengi utawakuta wakisifu wanawake wa zamani walikuwa wife material lakini ukiangalia kwa ndani wanawake hao walifunzwa au walilazimika kuwa submissive kwa wanaume wao.
Mwanaume hasa...
Kwa sasa ulipwaji wa mahari pale mtu anapooa ni kitu kisichofaa kabisa.
Sasa hivi ndoa ni ya mke na mume (wanakaa peke yao), Wala haiingiliwi na ndugh wammume.
Zamani mtu akioa anampeleka...
Hellow wana JF.
Ukioa/olewa na mtu ambaye mama yake au baba yake ni shangingi yani hawajui chochote kuhusu ndoa there is no way kwamba hiyo ndoa yenu inaweza kudumu.
Ndiyo maana ndoa nyingi...
Hello puntas, nina manzi fuluani kama miaka 2 sasa, kipindi chote sijawahi mpigia kama hajanicheki, atume sms au apige, abip ndio nimpigie, for almost 2 years, sasa ghafla analalamika mbona...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.