Wapo wanaume wenzetu mamia kwa maelfu walishawahi kutapeliwa kwa kuaminishwa kuwa mchumba wake ni bikira.
Hawa ni wanaume ambao wengi wao Mkuu wa makuhani Natafuta Ajira huwaita NICE GUY au mimi...
Wakati wa kufunga ndoa, baba mkwe alipendekeza kutupatia nyumba yake, Ilikuwa ni nyumba ya kisasa, ikiwa na baadhi ya samani tayari.
Baada ya kutafakari kwa kina, niliamua kukataa pendekezo hilo...
Mimi ni Mwl na nina miaka minne kazini niliajliriwa 2022. Nina mke ambae nilimuoa mwaka 2020 na nimebahatika kuzaa nae watoto wawili mmoja wa kiume miaka 4 na mwingine wa kike tarehe moja April...
Hili jambo linaniumiza kichwa sana unakuta mtu anahamasisha tusioe ilihali yeye yumo kwenye ndoa.
Mzee wa kaliua ukimsikiliza mambo yake huko Instagram, yeye na wrngine wana kandia ndoa sana...
Let’s be real hii tabia ya mtu mmoja kubeba financial burden yote in the name of “love” is outdated!
Kama ni partnership, why not act like one? Bills, rent, groceries 50/50 sio option, ni...
Bongo kuna tatizo gani? Kwanini mwanaume au mwanamke akionekana barabarani na mpenzi wake wakiwa pamoja huwa idadi kubwa ya watu inawashangaa sana?
Kwani mapenzi Bongo ni dhambi, aibu au dhahabu...
Dunia haijali chochote kuhusu mwanaume mpaka unapokufa, ukiwa tajiri au kuna namna walimwengu wananufaika nawe.
Jamii imeshakua programmed kuwaonea huruma wanawake lakini mwanaume anapoanguka...
Habarini,
Kwenye mahusiano mengi sahivi, ya watu wangu wa karibu walionizunguka na mitandaoni pia naona mijadala mingi wadada wakiwa wanataka wanaume wenye hela nyingi ambao sio wabahili.
Tuje...
Kwenye maisha ya mwanaume kuna wakati unafika hauna girlfriend, hauna mchepuko, una marafiki wachache sana au hauna marafiki kabisa. Maisha yako ni wewe tu mapambano yako ya kujitafuta. Hicho...
Mimi ni mwanafunzi wa chuo, binti mwenye sura ya kawaida lakini anayejua kuitumia. Natabasamu na kuongea kwa upole, lakini ndani yangu nimebeba maumivu makali sana. Na leo, nimeamua kusema ukweli...
Hivi mtu unamtongoza anakukubalia unajaribu kumsogeza kunako 6×6 akija anakataa kwakuwa hutaki kumbaka unampetipeti anakaza zaidi unamuacha kumsubiria siku nyingine
Baada ya kumuacha anakutumia...
sijajua imekua trend au ndio ulofa wa zama hizi, mtoto wa kiume una toa wapi nguvu ya kulala na kukoroma ukweni?
Sifa ya mwanaume ni kupambana uwe na himaya yako, hata kama umepanga still ni...
Wakuu, kipindi kilichopita, tangu nijiunge humu kwenye jukwaa hili maarufu tanzania, nimekuwa nikiandika nyuzi ambazo kiukweli ukiziangalia kwa jicho la u great thinker unagundua kuwa nyuzi hizo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.