Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Threads
7.9K
Posts
231.3K
Threads
7.9K
Posts
231.3K
  • Redirect
Wapo wanaume wenzetu mamia kwa maelfu walishawahi kutapeliwa kwa kuaminishwa kuwa mchumba wake ni bikira. Hawa ni wanaume ambao wengi wao Mkuu wa makuhani Natafuta Ajira huwaita NICE GUY au mimi...
2 Reactions
Replies
Views
Wakati wa kufunga ndoa, baba mkwe alipendekeza kutupatia nyumba yake, Ilikuwa ni nyumba ya kisasa, ikiwa na baadhi ya samani tayari. Baada ya kutafakari kwa kina, niliamua kukataa pendekezo hilo...
19 Reactions
63 Replies
1K Views
Mimi ni Mwl na nina miaka minne kazini niliajliriwa 2022. Nina mke ambae nilimuoa mwaka 2020 na nimebahatika kuzaa nae watoto wawili mmoja wa kiume miaka 4 na mwingine wa kike tarehe moja April...
15 Reactions
112 Replies
2K Views
Hili jambo linaniumiza kichwa sana unakuta mtu anahamasisha tusioe ilihali yeye yumo kwenye ndoa. Mzee wa kaliua ukimsikiliza mambo yake huko Instagram, yeye na wrngine wana kandia ndoa sana...
9 Reactions
113 Replies
887 Views
Kila mwanaume ana sehemu hatari aliyowahi kupita, akasema; ‘Kama sikupata UKIMWI pale basi sitaupata.’ Ilikuwaje kwako?
7 Reactions
35 Replies
581 Views
Haiwezekani!
5 Reactions
11 Replies
227 Views
Let’s be real hii tabia ya mtu mmoja kubeba financial burden yote in the name of “love” is outdated! Kama ni partnership, why not act like one? Bills, rent, groceries 50/50 sio option, ni...
4 Reactions
6 Replies
88 Views
Bbbbb
11 Reactions
421 Replies
30K Views
Sasa ni uhuni tu unatamani maana kupendapenda kuna maumivu.Wanawake wengi hawana upendo, chenye wanataka n hela.
6 Reactions
30 Replies
387 Views
Bongo kuna tatizo gani? Kwanini mwanaume au mwanamke akionekana barabarani na mpenzi wake wakiwa pamoja huwa idadi kubwa ya watu inawashangaa sana? Kwani mapenzi Bongo ni dhambi, aibu au dhahabu...
6 Reactions
32 Replies
405 Views
Nakupa mbinu hii, unaweza kudhani hizo elfu tano tano unazotoa haziwezi kuimaliza account yako basi utakuwa unajidanganya, hizo hela unazotumia kuhonga hao wanawake hazirudi mfukoni mwako,umetoa...
8 Reactions
17 Replies
261 Views
Dunia haijali chochote kuhusu mwanaume mpaka unapokufa, ukiwa tajiri au kuna namna walimwengu wananufaika nawe. Jamii imeshakua programmed kuwaonea huruma wanawake lakini mwanaume anapoanguka...
50 Reactions
96 Replies
1K Views
Habarini, Kwenye mahusiano mengi sahivi, ya watu wangu wa karibu walionizunguka na mitandaoni pia naona mijadala mingi wadada wakiwa wanataka wanaume wenye hela nyingi ambao sio wabahili. Tuje...
11 Reactions
103 Replies
918 Views
Unapoteza mda mwingi kutafuta mapenzi, badala ya kutafuta pesa unajisumbua na vitu vya kishenzi. Kwani mwanamke anafaida gan katika...
8 Reactions
66 Replies
746 Views
Kwenye maisha ya mwanaume kuna wakati unafika hauna girlfriend, hauna mchepuko, una marafiki wachache sana au hauna marafiki kabisa. Maisha yako ni wewe tu mapambano yako ya kujitafuta. Hicho...
62 Reactions
132 Replies
3K Views
Mimi ni mwanafunzi wa chuo, binti mwenye sura ya kawaida lakini anayejua kuitumia. Natabasamu na kuongea kwa upole, lakini ndani yangu nimebeba maumivu makali sana. Na leo, nimeamua kusema ukweli...
13 Reactions
89 Replies
3K Views
Hivi mtu unamtongoza anakukubalia unajaribu kumsogeza kunako 6×6 akija anakataa kwakuwa hutaki kumbaka unampetipeti anakaza zaidi unamuacha kumsubiria siku nyingine Baada ya kumuacha anakutumia...
12 Reactions
129 Replies
951 Views
sijajua imekua trend au ndio ulofa wa zama hizi, mtoto wa kiume una toa wapi nguvu ya kulala na kukoroma ukweni? Sifa ya mwanaume ni kupambana uwe na himaya yako, hata kama umepanga still ni...
10 Reactions
51 Replies
389 Views
Wakuu, kipindi kilichopita, tangu nijiunge humu kwenye jukwaa hili maarufu tanzania, nimekuwa nikiandika nyuzi ambazo kiukweli ukiziangalia kwa jicho la u great thinker unagundua kuwa nyuzi hizo...
4 Reactions
8 Replies
131 Views
Back
Top Bottom