Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Threads
7.5K
Posts
209.9K
Threads
7.5K
Posts
209.9K

JF Prefixes:

1. KIWANGO CHAKE CHA UVUMILIVU KTK SHUGHULI ZA KIUCHUMI. angalia amefanya shughuli ngapi za kiuchumi mpaka sasa, ukikujua kama alishawahi kufanya biashara nyingi kila anayoifanya kabla hajaimaliza...
8 Reactions
23 Replies
910 Views
Kama mfuatiliaji wa mitandano sasahivi kuna trending ya kupeana awareness na miongozo kuhusu mahusiano hususani suala zima la kuwa SIMP. Hii miongozo mingi imekuwa ikiwahusu wanaume maana wanaume...
0 Reactions
0 Replies
69 Views
Kwanza mshukuru Mungu kwa kuwa mzima bila kasoro yoyote kama ulivyo, sasa twende kwenye mada. Kuna kijana mmoja tulikutana kwenye group moja la Dini, baada ya mimi kushusha nondo flani na makala...
16 Reactions
161 Replies
13K Views
"Baby ili tuendelee na mahusiano acha kuvuta bange"" baada ya kuniambia hivyo nikamjibu tu kwa kifupi, ujue mpenzi nikivuta nakuona mzuri kuliko kawaida sio kama nisipovuta halafu nikiacha mchezo...
4 Reactions
69 Replies
3K Views
Wakuu maisha yangu yamejaa mapito magumu sana ambayo kuwa sitarajii kabisa kukutana nayo kwenye maisha yangu. mwaka juzi mwezi wa kumi tarehe 9 nilitoka mbeya na kurudi dar na kesho yake...
14 Reactions
99 Replies
3K Views
Mimi ilikuwa hivi, Ilikuwa kama ajali tu. Mimi nilikuwa nasali nae kanisani mume wake engineer kuwepo nyumbani ngumu mtu wa kusafiri safiri kwa hiyo ili mke asiwe mpweke nilikuwa kama namsaidia...
50 Reactions
717 Replies
135K Views
Shalom, Katika maisha enenda kwa namna njema na ipasayo hasa katika mtazamo wa kibinadamu na katika Mungu, heshimu watu, salimia watu usivimbe na usijione una mpenzi mzuri na uko level za juu...
2 Reactions
12 Replies
216 Views
Sasa hivi vijana walio wengi hawataki wasichana rika lao na wanahitaji kulelewa tu. Mikoa inayoongoza ni Dar es Salaam, Dodoma, Arusha sio kwa kiwango kikubwa ila wapo, pamoja na Mwanza. Wazazi...
6 Reactions
25 Replies
693 Views
Kaka zangu..... Hebu kabla hatujalala tuambiane kakitu. Kuna wanawake Mungu amewapa tu akili nyingi. Yaani naturally tu ana akili sana, ana mawazo ya mbali sana, ana upeo mkubwa, amekomaa...
7 Reactions
15 Replies
322 Views
Mimi ni kati ya wale ndugu wasiopenda kutongoza, ni mtu wa kuweka mitego tu bidada anaelewa mwenyewe hapa anaombwa utamu. Mind you, huwezi mpata kila msichana kizembe namna hiyo. Hakika harakati...
41 Reactions
61 Replies
3K Views
Uwe unaamka umwangalie je kajifunika vizuri shuka mwenza wako. Ukiona hajajifuka mfunike vizuri sijasema ukimuona Sele au Aisha yuko wazi usimtamani ukaanza papaso ili... Ila cha saa kumi huwa...
20 Reactions
156 Replies
4K Views
Na kubwa kuzidi yote mara nyingi wanaume ndio huwa tunaamua game ichezwe vipi kuanzia location, staili, raundi ngapi na hata kwenye suala la kuvaa helmet (conddom), wanawake uwanjani huwa wana...
7 Reactions
28 Replies
2K Views
Ndugu zangu natumaini mmeamka salama na kwawale wenyechangamoto za kiafya basi Mwenyezi Mungu awafanyie wepesi sawasawa na imani zao. Amen Zoezi la kutongoza mwanamke ni zoezi ambalo linajumuisha...
5 Reactions
14 Replies
945 Views
"Money Penny buana, nadhani nimepata true love, Sikuwahi ku experience kitu cha namna hii, Juzi kwa mara ya kwanza nilikuwa kifuani kwa mpenzi wangu, tumelala after sex Nilipokuwa kifuani kwa...
10 Reactions
56 Replies
914 Views
Tumekua tukiona nyuzi mbali mbali za watu wakisaidiana na kupeana bei elekezi za utelezi na maeneo husika unapopata telezi hizo, sasa mnaonaje tukawa na uzi wa kuelezea maeneo sahihi ya kuchinjia...
23 Reactions
184 Replies
18K Views
Maisha yamejaa marafiki wasio na urafiki. Watu wengine hawakufa wakati mshale ukiwa kifuani mwao, walikufa walipoona ni nani aliyerusha mshale huo. Hapa kuna Dalili 12 za marafiki wasio na...
7 Reactions
21 Replies
521 Views
Igweeh! Nataka nikujibu Kwa ufupi Sana Rafiki yangu Mama Mzungu. Wanaume hawajiamini siku hizi Kwa sababu asilimia 90% walioa Wanawake wasio na Bikra. Ni Bora ujiamini Kwa soda ambayo...
10 Reactions
38 Replies
2K Views
Wakuu, Habarini? Mimi ni mdau zaidi wa kusoma Nyuzi hapa JF kuliko kuandika Nyuzi. Lakini leo nimeona na mimi warau nivunje Ukimya, nipate kushuhudia jinsi Forum hii imenifungulia mlango...
32 Reactions
73 Replies
2K Views
Aisee mimi nilikuwa nafukuzia manzi (bonge la pisi ana tako sura usiseme) ila alikua na mchizi wake akawa ananikazia japo kwa mbali kulikuwa na matumaini kidogo. Sasa manzi akashika mimba ya...
6 Reactions
40 Replies
2K Views
Hello, Kuna ile situation unajikuta tu tayari kishaumana na mtu ambae hukumhisia kuwa na tabia za kikubwa may be kutokana na cheo/wadhifa ama umri alionao [emoji4][emoji4] Yaani ambaye ulidhani...
56 Reactions
328 Replies
46K Views
Back
Top Bottom