Hii inanikuta, yani ukishafika kwako ni kama unapigwa na kitu hivi akili inazinduka,
Unaona hapa mbona naenda kuongeza bajeti zisizo na msingi tena, mood inakata mazima
Inakuwa ukikutana nae...
Wakuu,
Msemo wa akufukuzaye hakuambii toka, wahenga hawakupindisha kabisha inatakiwa ujiongeze
Ukali kwa jambo dogo
Anajibu lakini haanzi mazungumzo
Anasema yuko busiy mara nyingi kuliko kusema...
Onyo! Kaa mbali na vitoto vya 2000; visipokutegua nyonga vitakufilisi! Sitaki kuwapotezea muda, hebu msikilize mhusika mwenyewe alichotendewa na kinda wa 2000:
MAONI YANGU
Jamani hawa watoto wa...
1. Ufugaji wa kucha ndefu. 2.
Upakaji wa rangi kucha, nazungumzia mguuni na mikononi
3. Upakaji wa wanja,shedo,hina na makanjanja mengine
4. Usukaji wa nywele kwa rasta za kununua. Na log...
Nani atakubali mimi niwe dada yake ??
Natamani mwanaume m,moja wa kumuita kaka yangu.
Naweza kusimama popote na nikasema nina kaka yangu.
Nitamtambulisha kwa wazazi wangu kuwa naye ni mtoto...
Inaweza ikakushangaza lakini huu ndio ukweli wenyewe.
Katika jamii zetu za kiafrika wanawake walio wengi wanakuwa hawapo tayari kushiriki tendo pasipo ahadi ya kupewa pesa au zawadi fulani...
Wakuu kwema ? Hope mko salama kabisa
Mimi Nina kisa changu ambacho kinanitesa saana tena sana kila nikikumbuka najitahidi kusahau baada ya mda Hali inarudi upyaa.
Nilikua na mpenzi wangu alikua...
Bikra ni alama ya uaminifu na baraka kwa kizazi chako
Habarini Wakuu,
Naweza kuwa tofauti na wengi, naweza nisiungwe mkono na wengi hasa wale waliooa na walioolewa, lakini ninachojaribu kueleza...
Experience yako ni ipi?
Maana uswazi haiwaishiwi misemo
Shemeji kula...
Hainaga ushemeji..
Shemeji kinyama cha hamu..
Shemeji ni Dada akiwepo...
Cha dada ni changu pia...
Shemeji wa kiume je!?🤨
Naam, hawa viumbe acha tu, Waliosema ishini nao kwa akili hawakukurupuka, haikumaanisha kuwa hawana akili bali upeo wao ni mkubwa sana na usipokuwaa na akili za kudeal nao, rafiki yangu umeisha...
Aurelien Tchouameni kiungo wa Hala Madrid amemfumania mpenzi wake Suzette Carter akiwasiliana na mwanaume mwengine kukiwa kuna kila dalili ya kuwa wana mahusiano ya kipenzi licha kumpatia zaidi ya...
Ndugu zangu eid mubarak
Bwana bwana basi muvumilie japo kidogo mmalize 6. Yan jana tu mfungo mmemaliza mshaanza kusumbua kama nini Eid mkaisherehekee gest? Tangu jana ni mtu wa 4 tena wote...
Kuna ka ukweli, Dar kutoa over 1.5 tunatoa wachache sana ,
Vichwa vya vijana wa Dar vipo vinawaza utajiri na mikeka hata hiyo hamu ya kutoa over 0.5 ni kisanga.
Kiukweli mechi za mikoani kutoa...
Habari ndugu...
Nakumbuka huko Nyuma niliwaletea mirejesho ya MKE wangu kama mnakumbuka..
Sasa MKE wangu baada ya kusikia namtafuta kweli alirudi baada ya kwenda kwa wazazi wangu na baadae...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.