1.Wapare hawa ni watu hawataki upende familia yako au uwe karibu nayo wanataka wewe uwe naye na familia yake tu .
Wapo tayari wateke akili yako ili usiwe na akili ya kusaidia familia yako. Ni yao...
Wakuu ni salama? Mimi nimejiajiri na nina kipato cha 300k kwa mwezi na ninatazamia miezi 6 ijayo nioe. Wakati huo nitakuwa na miaka 28.
Nyie wazoefu wa mji na maisha ushauri wenu. Kuna mambo gani...
Kesho napeleka mahari Kwa Binti bikra wa miaka 18 ambaye nlitafutiwa na dadayangu
Kesho naenda kukabiziwa mke bila ndoa Kisha tufanye utaratibu wa kufunga ndoa
Mahusiano ya siku hizi yamekuwa kama vita vya mashambulizi ya kushtukiza. Hofu kubwa kwa watu wengi haipo tena kwenye kuchepuka, bali ipo kwenye kujulikana kwamba unachepuka.
Mtu anaweza kuwa na...
Swali la kama mume ana haki ya kumpiga mke wake linazua mjadala mkubwa katika jamii.
Baadhi ya watu bado huamini kuwa mwanaume anaweza kumchapa mke wake kama njia ya kumwadhibu anapokosea au...
Yaani mwanamke mweupe akisifiwa tu yy mzuri.unaweza mla hata bure.
Ni tofauti sana na wanawake weusi.
Mara nyingi huchukuliwa kama sio warembo.
Na hasa hawa wadada wa KIRANGI ,ndo wanagawa...
Wanawake wa kwenye ndoa huenda wanaongoza kwa kuchepuka
Yaani kama wewe ni una mchepuko wa kiume jitahidi sana kutumia condoms.
Wanaume wanawake zenu wanachepuka. Kuweni makini na kwenye hayo...
Wazee mambo vip? Hivi kuna mtu bado anaweza kuingia twitter( X)sasa hivi ? Kama yupo naomba anipe maelekezo maana miezi ya nyumba tuseme mwezi uliopita nlikua naingia twitter (X) baada ya kuwasha...
JE, TANZANIA KUNA HUDUMA YA “COMPANION FOR HIRE”? 🇹🇿
Nimekutana na huduma moja inayopatikana Japan ambayo imenifanya nijiulize kama kitu kama hiki kipo Tanzania.
Japan kuna huduma zinazojulikana...
Mambo wanajamvi?
Imekuwa ikisikika kwamba zinaa inanafasi kubwa ya kupelekea balaa kwa wahusika.Yaani ati unaposhirikiana na mtu kimahusiano inapelekea maroho yaliyo upande wa pili kukuingia...
Wana MMU,
Kwa huku, sasa napenda mniite Babu P. maana nimo humu huu ni mwaka wa 20 ila jukwaa langu rasmi ni Jukwaa la Siasa, ila kadri unavyokuwa babu babu, busasara zinaongezeka, sipendi kuona...
Upwiru kwisha saiv yan buku 5 tuh unapanda darini bila kizuizi.nimetokea tabata saiv nimeshetana na ten tuh.saiv upwiru sina asante sana teknolojia masela sai tunafaid
Taasisi ya ndoa na mahusiano kwa ujumla ni taasis yenye changamoto nyingi san . wewe Ikiwa uko kwenye ndoa na mambo yanaenda vizuri , basi hiyo ni baraka kubwa sana na umshukuru sana baba...
Sio kila mahusino lazima yafikie ndoa
Napokea simu kutoka kwa rafiki yangu ,ananiuliza umemfanya nini shem? Nikauliza kwani kunanini akaniuliza uko wapi? Nikamwambia niko maeneo ya chuo ...
Ni muhimu sana kwa watu waliopo ktk ndoa kuwa na Family friend au waliopo kwenye mahusiano serious kuwa na marafiki wa karibu .
Mwanamke uliyepo ktk mahusiano jitahidi umtambulishe rafiki wako...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.