Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

On JF:

1.Wapare hawa ni watu hawataki upende familia yako au uwe karibu nayo wanataka wewe uwe naye na familia yake tu . Wapo tayari wateke akili yako ili usiwe na akili ya kusaidia familia yako. Ni yao...
33 Reactions
253 Replies
2K Views
Wakuu ni salama? Mimi nimejiajiri na nina kipato cha 300k kwa mwezi na ninatazamia miezi 6 ijayo nioe. Wakati huo nitakuwa na miaka 28. Nyie wazoefu wa mji na maisha ushauri wenu. Kuna mambo gani...
12 Reactions
52 Replies
599 Views
Kesho napeleka mahari Kwa Binti bikra wa miaka 18 ambaye nlitafutiwa na dadayangu Kesho naenda kukabiziwa mke bila ndoa Kisha tufanye utaratibu wa kufunga ndoa
7 Reactions
36 Replies
349 Views
Mahusiano ya siku hizi yamekuwa kama vita vya mashambulizi ya kushtukiza. Hofu kubwa kwa watu wengi haipo tena kwenye kuchepuka, bali ipo kwenye kujulikana kwamba unachepuka. Mtu anaweza kuwa na...
4 Reactions
10 Replies
121 Views
Swali la kama mume ana haki ya kumpiga mke wake linazua mjadala mkubwa katika jamii. Baadhi ya watu bado huamini kuwa mwanaume anaweza kumchapa mke wake kama njia ya kumwadhibu anapokosea au...
2 Reactions
15 Replies
72 Views
Yaani mwanamke mweupe akisifiwa tu yy mzuri.unaweza mla hata bure. Ni tofauti sana na wanawake weusi. Mara nyingi huchukuliwa kama sio warembo. Na hasa hawa wadada wa KIRANGI ,ndo wanagawa...
7 Reactions
124 Replies
1K Views
Wanawake wa kwenye ndoa huenda wanaongoza kwa kuchepuka Yaani kama wewe ni una mchepuko wa kiume jitahidi sana kutumia condoms. Wanaume wanawake zenu wanachepuka. Kuweni makini na kwenye hayo...
8 Reactions
81 Replies
994 Views
It will cost you more to be in relationship with a broke woman than to pay for sex. Wadogo zangu na vijana wenzangu leo sina mengi ya kuandika.
38 Reactions
202 Replies
2K Views
Wazee mambo vip? Hivi kuna mtu bado anaweza kuingia twitter( X)sasa hivi ? Kama yupo naomba anipe maelekezo maana miezi ya nyumba tuseme mwezi uliopita nlikua naingia twitter (X) baada ya kuwasha...
1 Reactions
11 Replies
122 Views
JE, TANZANIA KUNA HUDUMA YA “COMPANION FOR HIRE”? 🇹🇿 Nimekutana na huduma moja inayopatikana Japan ambayo imenifanya nijiulize kama kitu kama hiki kipo Tanzania. Japan kuna huduma zinazojulikana...
6 Reactions
76 Replies
344 Views
Mambo wanajamvi? Imekuwa ikisikika kwamba zinaa inanafasi kubwa ya kupelekea balaa kwa wahusika.Yaani ati unaposhirikiana na mtu kimahusiano inapelekea maroho yaliyo upande wa pili kukuingia...
4 Reactions
40 Replies
322 Views
Wana MMU, Kwa huku, sasa napenda mniite Babu P. maana nimo humu huu ni mwaka wa 20 ila jukwaa langu rasmi ni Jukwaa la Siasa, ila kadri unavyokuwa babu babu, busasara zinaongezeka, sipendi kuona...
10 Reactions
30 Replies
269 Views
Leo nmekutana na mtoto mashine maeneo ya johannesburg.mtoto ana maunyama tupu kwa kwel nimechizika nae
2 Reactions
3 Replies
84 Views
Wakuu hii sofa ina kazi gani?
3 Reactions
24 Replies
338 Views
Upwiru kwisha saiv yan buku 5 tuh unapanda darini bila kizuizi.nimetokea tabata saiv nimeshetana na ten tuh.saiv upwiru sina asante sana teknolojia masela sai tunafaid
0 Reactions
3 Replies
56 Views
Taasisi ya ndoa na mahusiano kwa ujumla ni taasis yenye changamoto nyingi san . wewe Ikiwa uko kwenye ndoa na mambo yanaenda vizuri , basi hiyo ni baraka kubwa sana na umshukuru sana baba...
3 Reactions
21 Replies
236 Views
jamaa kakuta mkewe akipigia msela simu huku akimwelezee anavyomzimia.jamaa kapandwa na hamaki kavunja simu ya mkewe. bila kupoteza mda jamaa kamchoma mkewe...
4 Reactions
7 Replies
167 Views
Sio kila mahusino lazima yafikie ndoa Napokea simu kutoka kwa rafiki yangu ,ananiuliza umemfanya nini shem? Nikauliza kwani kunanini akaniuliza uko wapi? Nikamwambia niko maeneo ya chuo ...
2 Reactions
12 Replies
93 Views
Ni muhimu sana kwa watu waliopo ktk ndoa kuwa na Family friend au waliopo kwenye mahusiano serious kuwa na marafiki wa karibu . Mwanamke uliyepo ktk mahusiano jitahidi umtambulishe rafiki wako...
3 Reactions
17 Replies
189 Views
Back
Top Bottom