Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Threads
7.9K
Posts
231.3K
Threads
7.9K
Posts
231.3K
Hii inanikuta, yani ukishafika kwako ni kama unapigwa na kitu hivi akili inazinduka, Unaona hapa mbona naenda kuongeza bajeti zisizo na msingi tena, mood inakata mazima Inakuwa ukikutana nae...
17 Reactions
46 Replies
656 Views
Salaam jamiiforum. Mwanaume unataka raha? Mwanaume unadeka? Mwanaume unasound kike kabisa,na ukipewa zawadi unalia,yaani kuna mshipa wa hisia unaokuteka na kuuharibu uanaume wako? Hii si...
4 Reactions
17 Replies
136 Views
1.Mweupe ama light skin 2.Bikra 3.Mwenye shepu...
4 Reactions
29 Replies
229 Views
Je ni lazima msichana kutolewa mahari???
9 Reactions
92 Replies
548 Views
Wakuu, Msemo wa akufukuzaye hakuambii toka, wahenga hawakupindisha kabisha inatakiwa ujiongeze Ukali kwa jambo dogo Anajibu lakini haanzi mazungumzo Anasema yuko busiy mara nyingi kuliko kusema...
1 Reactions
6 Replies
124 Views
Wakuu,huo ndo ukweli wangu.
6 Reactions
46 Replies
574 Views
Onyo! Kaa mbali na vitoto vya 2000; visipokutegua nyonga vitakufilisi! Sitaki kuwapotezea muda, hebu msikilize mhusika mwenyewe alichotendewa na kinda wa 2000: MAONI YANGU Jamani hawa watoto wa...
8 Reactions
26 Replies
450 Views
1. Ufugaji wa kucha ndefu. 2. Upakaji wa rangi kucha, nazungumzia mguuni na mikononi 3. Upakaji wa wanja,shedo,hina na makanjanja mengine 4. Usukaji wa nywele kwa rasta za kununua. Na log...
5 Reactions
31 Replies
314 Views
Nani atakubali mimi niwe dada yake ?? Natamani mwanaume m,moja wa kumuita kaka yangu. Naweza kusimama popote na nikasema nina kaka yangu. Nitamtambulisha kwa wazazi wangu kuwa naye ni mtoto...
30 Reactions
241 Replies
2K Views
Inaweza ikakushangaza lakini huu ndio ukweli wenyewe. Katika jamii zetu za kiafrika wanawake walio wengi wanakuwa hawapo tayari kushiriki tendo pasipo ahadi ya kupewa pesa au zawadi fulani...
8 Reactions
17 Replies
2K Views
Wakuu kwema ? Hope mko salama kabisa Mimi Nina kisa changu ambacho kinanitesa saana tena sana kila nikikumbuka najitahidi kusahau baada ya mda Hali inarudi upyaa. Nilikua na mpenzi wangu alikua...
18 Reactions
126 Replies
1K Views
Bikra ni alama ya uaminifu na baraka kwa kizazi chako Habarini Wakuu, Naweza kuwa tofauti na wengi, naweza nisiungwe mkono na wengi hasa wale waliooa na walioolewa, lakini ninachojaribu kueleza...
57 Reactions
7K Replies
531K Views
  • Redirect
Mwanamke bikra hamna,mwenye heshima hamna,mwenye upendo hamna,sasa tunaoa nini maana nashangaa. Wengi wao wamechakatwa mpaka hawana ladha,saiv ndoa...
1 Reactions
Replies
Views
Experience yako ni ipi? Maana uswazi haiwaishiwi misemo Shemeji kula... Hainaga ushemeji.. Shemeji kinyama cha hamu.. Shemeji ni Dada akiwepo... Cha dada ni changu pia... Shemeji wa kiume je!?🤨
14 Reactions
128 Replies
2K Views
Hakuna kitu ngumu kama kuanza mahusiano mapya aisee
7 Reactions
65 Replies
904 Views
Naam, hawa viumbe acha tu, Waliosema ishini nao kwa akili hawakukurupuka, haikumaanisha kuwa hawana akili bali upeo wao ni mkubwa sana na usipokuwaa na akili za kudeal nao, rafiki yangu umeisha...
11 Reactions
143 Replies
1K Views
Aurelien Tchouameni kiungo wa Hala Madrid amemfumania mpenzi wake Suzette Carter akiwasiliana na mwanaume mwengine kukiwa kuna kila dalili ya kuwa wana mahusiano ya kipenzi licha kumpatia zaidi ya...
13 Reactions
125 Replies
1K Views
Ndugu zangu eid mubarak Bwana bwana basi muvumilie japo kidogo mmalize 6. Yan jana tu mfungo mmemaliza mshaanza kusumbua kama nini Eid mkaisherehekee gest? Tangu jana ni mtu wa 4 tena wote...
11 Reactions
67 Replies
647 Views
Kuna ka ukweli, Dar kutoa over 1.5 tunatoa wachache sana , Vichwa vya vijana wa Dar vipo vinawaza utajiri na mikeka hata hiyo hamu ya kutoa over 0.5 ni kisanga. Kiukweli mechi za mikoani kutoa...
4 Reactions
7 Replies
210 Views
Habari ndugu... Nakumbuka huko Nyuma niliwaletea mirejesho ya MKE wangu kama mnakumbuka.. Sasa MKE wangu baada ya kusikia namtafuta kweli alirudi baada ya kwenda kwa wazazi wangu na baadae...
6 Reactions
78 Replies
1K Views
Back
Top Bottom