Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Threads
7.9K
Posts
231.3K
Threads
7.9K
Posts
231.3K
Salaam wakuu, kwanza naomba ifahamike kataa ndoa ni chama chenye kulinda haki na maslahi ya jinsia zote zinazo tambulika kisheria. (me na ke). Chama hiki kilianzishwa baada ya kushamiri kwa...
16 Reactions
416 Replies
2K Views
Ndoa ni mpango wa Mungu,ni mpango wenye manufaa makubwa sana kwa binadamu. Hivi sasa kumezuka kampeni ya kupinga ndoa,kwa musingi ya dosari za kibinadamu baina wa wanawake na wanaume.Hakuna...
17 Reactions
197 Replies
1K Views
Mmebarikiwa kuongeza mwanafamilia mpya hivi karibuni, hongereni! Mama na mwanafamilia mpya wamepumzishwa sakafu ya juu kabisa ya mahali hapo, wodi mahususi. Sorry, hayo unayajua. Usilolijua ni...
4 Reactions
31 Replies
243 Views
Uzi maalumu wa visa tulivyo wahi kufanyiwa na wake zetu wawapo wajawazito,ambavyo baada ya kujifungua havitokei. Na wewe mama,ulipokuwa mjamzito, uliwahi kumfanyia kisa gani mumeo mpaka leo...
8 Reactions
68 Replies
873 Views
Kwa wazoefu,mimi ni baba kijacho,nafikiri elimu nitakayo ipata hapa si mimi tu itaninufaisha, bali pia wapo wababa/wamama ambao nao eidha wanatarajia kuwa baba/mama vijacho, tupeane elimu ya bure...
6 Reactions
41 Replies
253 Views
Mwanaume kabla ya kufikiria kuhusu ndoa jifunze kutoa kitu kwanza maana huku wenzako tunatubu. Wanawake kwanini tukipishana kauli kidogo tu mnanuna na chakula hampiki mnataka tukale wapi wakati...
8 Reactions
32 Replies
948 Views
KWA WANANDOA Vipo Vitu Vingi Sana Vinavyowaunganisha Wanandoa, kama Kazi | Biashara | Watoto | Ndugu | Maisha ya Kiroho Ila Binafsi, Najua Kinachowaunganisha Zaidi Wanandoa Maisha yao Yote ni...
5 Reactions
22 Replies
639 Views
Kama wewe si mmojawapo basi kwa vyovyote kuna mtu unamfahamu mwenye hili tatizo. Anaweza kuwa ndugu jamaa ama rafiki. Ni jambo baya na lenye kutatiza mno. Watoto wa mtaani wanasema KIMAVI. Mind...
106 Reactions
261 Replies
74K Views
Nawasalimu katika jina la Bwana Yesu Christo. Kuna maamuzi nataka kuyafanya, ila kabla ya kutoa uamuzi wa mwisho nikaona si mbaya nikiomba ushauri kwa wataalamu wa mambo ya mahusiano humu jf...
10 Reactions
113 Replies
2K Views
Ni habari ya zamani sana huko kijijini sitimbi lakini hadi leo nacheka sana nikikumbuka! Ilikuwa hivi, kuna binti mmoja kijiji cha jirani alikuwa hataki kunipa mchezo, nikachoka...
84 Reactions
381 Replies
63K Views
  • Redirect
Mwanaume usiogope kula nyeto,nyeto inafaida kibao,wanasayansi wamefanya utafit kuwa nyeto inaondoa msongo wa mawazo na tena hujisumbui kutafuta mademu.maana unapata ashiki binafsi,na tena nyeto...
1 Reactions
Replies
Views
Unaweza kuhitimisha kwa kusema, Inafedhehesha sana, Inasikitisha sana, Inasononesha sana kwakeli. Uzuri wanakiri wenyewe kupiga nyeto kwa muda mrefu sana. Ni aibu mno ndrugu zango.. Hivi sasa...
8 Reactions
85 Replies
4K Views
Ubora wa kitu chochote huwa ni kati kwa kati.Ukionyesha heshima kupitiliza kwa mtu yeyote unaweza kugeuzwa mtumwa kwa kulazimishwa kuhatarisha maisha yako kwa lengo la kumfurahisha mtu ambaye...
8 Reactions
12 Replies
969 Views
Mwanza ? Arusha ? Mbeya ? Iringa ? Dodoma ? Hali ipoje hayo majiji,
8 Reactions
41 Replies
559 Views
Hii ni kwa jinsi zote muwe makini sana nyumba isiyo na Amani ni gereza hatari sana Unakuta kuna kila kitu lakini furaha ndio hamna na maisha bila amani hayana thamani.
15 Reactions
74 Replies
588 Views
Wakuu msiogope kudai zawadi zenu mnazopeana wakati wa uchumba/penzi likiwa moto kwa ahadi ya ndoa ikiwa mahusiano hayo yatavunjika. Sheria ipo na inaifanya kazi. Ukweli ulivyo Sheria ya...
4 Reactions
28 Replies
274 Views
Unajua, maisha ya ndoa au mahusiano ni kama filamu ya action, lakini siku ukikutwa na "ushahidi" usio na maelezo, filamu inageuka kuwa ya mtihani mkubwa! Hebu fikiria, mkeo anafanya usafi...
24 Reactions
88 Replies
1K Views
Kama wasomi na "Great Thinkers, sisi ni mabingwa wa kufanya Due Diligence ((upembuzi yakinifu). Ukitaka kununua kiwanja cha milioni tano Chanika, utaenda Wizara ya Ardhi, utaleta mpima ardhi wako...
7 Reactions
14 Replies
252 Views
Huyu binti nimemtangazia nia ya kumfanya mchumba na mwisho awe mke wangu akakubali, baada ya kunikubalia akaanza kupiga vizinga vya hapa na pale Nimeona Nikabie Juu maana hivi vizinga vinazidi...
12 Reactions
32 Replies
513 Views
Back
Top Bottom