Salaam wakuu, kwanza naomba ifahamike kataa ndoa ni chama chenye kulinda haki na maslahi ya jinsia zote zinazo tambulika kisheria.
(me na ke).
Chama hiki kilianzishwa baada ya kushamiri kwa...
Ndoa ni mpango wa Mungu,ni mpango wenye manufaa makubwa sana kwa binadamu.
Hivi sasa kumezuka kampeni ya kupinga ndoa,kwa musingi ya dosari za kibinadamu baina wa wanawake na wanaume.Hakuna...
Mmebarikiwa kuongeza mwanafamilia mpya hivi karibuni, hongereni!
Mama na mwanafamilia mpya wamepumzishwa sakafu ya juu kabisa ya mahali hapo, wodi mahususi.
Sorry, hayo unayajua.
Usilolijua ni...
Uzi maalumu wa visa tulivyo wahi kufanyiwa na wake zetu wawapo wajawazito,ambavyo baada ya kujifungua havitokei.
Na wewe mama,ulipokuwa mjamzito, uliwahi kumfanyia kisa gani mumeo mpaka leo...
Kwa wazoefu,mimi ni baba kijacho,nafikiri elimu nitakayo ipata hapa si mimi tu itaninufaisha, bali pia wapo wababa/wamama ambao nao eidha wanatarajia kuwa baba/mama vijacho, tupeane elimu ya bure...
Mwanaume kabla ya kufikiria kuhusu ndoa jifunze kutoa kitu kwanza maana huku wenzako tunatubu. Wanawake kwanini tukipishana kauli kidogo tu mnanuna na chakula hampiki mnataka tukale wapi wakati...
KWA WANANDOA
Vipo Vitu Vingi Sana Vinavyowaunganisha Wanandoa, kama Kazi | Biashara | Watoto | Ndugu | Maisha ya Kiroho
Ila Binafsi, Najua Kinachowaunganisha Zaidi Wanandoa Maisha yao Yote ni...
Kama wewe si mmojawapo basi kwa vyovyote kuna mtu unamfahamu mwenye hili tatizo. Anaweza kuwa ndugu jamaa ama rafiki. Ni jambo baya na lenye kutatiza mno. Watoto wa mtaani wanasema KIMAVI.
Mind...
Nawasalimu katika jina la Bwana Yesu Christo.
Kuna maamuzi nataka kuyafanya, ila kabla ya kutoa uamuzi wa mwisho nikaona si mbaya nikiomba ushauri kwa wataalamu wa mambo ya mahusiano humu jf...
Ni habari ya zamani sana huko kijijini sitimbi lakini hadi leo nacheka sana nikikumbuka! Ilikuwa hivi, kuna binti mmoja kijiji cha jirani alikuwa hataki kunipa mchezo, nikachoka...
Mwanaume usiogope kula nyeto,nyeto inafaida kibao,wanasayansi wamefanya utafit kuwa nyeto inaondoa msongo wa mawazo na tena hujisumbui kutafuta mademu.maana unapata ashiki binafsi,na tena nyeto...
Unaweza kuhitimisha kwa kusema,
Inafedhehesha sana,
Inasikitisha sana,
Inasononesha sana kwakeli.
Uzuri wanakiri wenyewe kupiga nyeto kwa muda mrefu sana.
Ni aibu mno ndrugu zango..
Hivi sasa...
Ubora wa kitu chochote huwa ni kati kwa kati.Ukionyesha heshima kupitiliza kwa mtu yeyote unaweza kugeuzwa mtumwa kwa kulazimishwa kuhatarisha maisha yako kwa lengo la kumfurahisha mtu ambaye...
Hii ni kwa jinsi zote muwe makini sana nyumba isiyo na Amani ni gereza hatari sana
Unakuta kuna kila kitu lakini furaha ndio hamna na maisha bila amani hayana thamani.
Wakuu msiogope kudai zawadi zenu mnazopeana wakati wa uchumba/penzi likiwa moto kwa ahadi ya ndoa ikiwa mahusiano hayo yatavunjika.
Sheria ipo na inaifanya kazi.
Ukweli ulivyo
Sheria ya...
Unajua, maisha ya ndoa au mahusiano ni kama filamu ya action, lakini siku ukikutwa na "ushahidi" usio na maelezo, filamu inageuka kuwa ya mtihani mkubwa! Hebu fikiria, mkeo anafanya usafi...
Kama wasomi na "Great Thinkers, sisi ni mabingwa wa kufanya Due Diligence ((upembuzi yakinifu). Ukitaka kununua kiwanja cha milioni tano Chanika, utaenda Wizara ya Ardhi, utaleta mpima ardhi wako...
Huyu binti nimemtangazia nia ya kumfanya mchumba na mwisho awe mke wangu akakubali, baada ya kunikubalia akaanza kupiga vizinga vya hapa na pale
Nimeona Nikabie Juu maana hivi vizinga vinazidi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.