DHANA YA KUELEZEA MAMBO KWENYE USAWA imewagharimu sana Wanawake hususan linapokuja suala la kuelezea masuala ya muundo wa kiroho kati yao na Wanaume. Wanadhani gharama ya ZINAA inavyomuathiri...
Ongezeko la thamani kati ya mwanamke na mwanaume ni kinyume chake kulingana na ongezeko la umri,Thamani ya mwanamke ina pungua kadri umri unavyozidi kuongezeka wakati thamani ya mwanaume...
Katika maisha kila mtu Huwa na motives na matarajio ili kufanya maisha yake yawe apealing(mazuri)
Ni sawa kabisa maana maisha bila kusudi au lengo hubaki tupu.
Ila wengi wetu huwa na matarajio...
Kwa ufupi hii ni taarifa tu, so ushauri wako hautabadili chochote wala kuongeza chochote, vipi lakin uzima upo??
Ni hivi, mi huwa siumizwi alafu anayeniumiza akabaki salama, nikiumizwa mi...
Harusi ni mwanzoni wa Septemba, wageni ni 250, lakini 80% bado hawajachanga. Hao 20% waliomaliza wachache ila wengi wamepunguza michango.
Nataka kufanya sherehe ndogo nzuri bila presha kwa bajeti...
Apo ndio wanaume wenzetu walikabizi maisha ya mapenz na ndoa na uongozi wa familia kwa wanake (leo 80% ya ndoa zinawaka moto,wapo waliokimbia wapo wanaoungua)
Kwanza kabisa, hii ishu imekuzwa, wanaume wengi nguvu za kiume tunazo, tatizo ni stress za maisha, ili kua stress free kabla ya kuchakata masuala Fanya hivi 👇👇
Chukua maji ya baridi unywe Lita...
Sasa kama Mtaalam wa Mbunye hapa katika hii Video Clip anasema Wanawake wote wakiwa wamekaa tu Vitini katika hali ya Kupumzika Mbunye zao huwa na Urefu wa Sentimita 4 hadi 5, ila Mbunye zikiwa...
Wakuu natumai mu wazima wa afya njema. Awali ya yote ningependa niwape pole wanaume wenzangu mnaopambana kwaajili ya familia zenu ila mchango wenu unaishia kulipwa
1.Kiburi na kunyimwa unyumba...
Wakuu
Moyo wangu unaumia sana, naona kama unavuja damu kutokana na maumivu ninayoyapitia karibu kila siku.
Mpenzi wangu anatumia muda mwingi sana ku-chat na ex wake, na kila nikimuuliza anasema...
Kuna kabila moja lipo kanda ya ziwa hilo kabila kubwa na maarufu sana watu wake kuwa washamba hili kabila inashangaza sana yaani wanawake au wasichana wake wanapenda sana kufanya mapenzi vichakani...
Kila mwanaume anapaswa kulinda tunu na ubingwa wa uwanaume wake aliyopewa na mungu kitendo chakutaka na kupenda wake za watu ni kuweka rehani tunzo na zawadi hiyo.
Sasaivi mtu akijua tu unatoka...
Tonnombe Mukoko aliyewahi kukipiga na Yanga atapeliwa nyumba na mkewe mrembo wa kibongo ajulikanae kwa jina la Trish. Tonnombe Mukoko alimuoa huyo dada pisi Kali kipindi anacheza Yanga na ndoa...
Mko poa walimwengu?
Nina mpenzi wangu ambae ni mke wa mtu
Jana jioni tulikua tunachat nae kwenye moja ya mtandao wa kijamii.ghafla nikaona kapotea hewani
Baada kama ya masaa mawili nikaona...
Kila nikutanapo na majina haya
1. kapeace
Nadhania kichwani kwamba ni mdada wa makamo ambaye ni mrefu si sana ila ana mguu fulani wa bia, ambaye natambua fika kwamba kaolewa na mumewe ndo...
Ninamaliza mwaka wa tatu Sasa wa kuweka Nia ya kumwacha Kila mara maana ni jeuri sana huyu mwanamke. Tatizo linakuja hapa kwenye huu udhaifu nilionao wa kupenda nyanshi lililonona ambalo huyu...
Hawa si wengine bali ni mitume na manabii wa uongo (sio wote, namaanisha mitume na manabii wa uongo)
Utawambuaje?
Hawatoi bali wanapokea
Hawafuati bali wanafuatwa
Hawachangi bali wanachangiwa...
Mchagua Jembe sio Mkulima na wahenga wakaongeza kuwa penye Miti mingi hapana wajenzi.
Wanaume halisi huwa hatuchagui wanawake kutokana na Genes zetu purely ni za Kiume hivyo basi kila kiumbe...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.