Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

On JF:

Mimi napenda mwanamke awe na sifa hizi:- Kwanza awe natural!hata akiongezea makeup siyo mbaya kwa mbali lakini siyo kujikoboa!!Mpaka moyo unauona na mishipa No way!!! Mweusi kido mweupe kidogo...
0 Reactions
39 Replies
3K Views
Habari za wakati huu wakuu!!kuna msichana mmoja nimekuwa nikichat nae facebook kwa muda mrefu sasa,imetokea hvi karibuni tumepeana namba za simu,katika kuongea kwenye simu,binti anadai amevutiwa...
0 Reactions
54 Replies
4K Views
inabidi kitanda kiwe na vyuma juu vya yy kuweza kumsaidia wakati wa kusimama.........wat a lovely smile he has
1 Reactions
38 Replies
10K Views
Ni umri upi au kati ya miaka mingapi hadi mingapi unamfaa mwanaume kuoa.
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Ni miaka mingi hatujaonana, leo maazimisho ya Kifo cha Mwalimu, nipo katika usafiri wa umma (daladala) nikiwa kituoni, watanzania wenzangu wakiteremka, natizama dirishani, namwona jamaa ninae...
0 Reactions
22 Replies
3K Views
e mail yangu ni mkalagale@ovi.com kwa anaye hitaji niandikie ya kwako
0 Reactions
17 Replies
5K Views
nawasalimu wana jf wote.nahitaji girlfriend ambaye badae tunaweza kuwa mke na mume.vigezo awe na elimu kuanzia kidato cha nne na kuendelea,awe anaishi arusha au moshi.sichagui dini wala...
0 Reactions
18 Replies
2K Views
Wadau wa JF, Kwa wale waliowahi kuangalia hii movie wake/waume mmejifunza nini? Nawasilisha.
0 Reactions
14 Replies
2K Views
Wanaume hawapendi Mwanamke Kulalamika Ile unarudi tu home kutoka kazini kila siku jioni kiumbe huyu ndo anakutazama hivi? Nahisi baada ya siku kadhaa utatamani urudi yeye tayari kalala! Binadamu...
1 Reactions
15 Replies
5K Views
Couple No.1: Mume: We mwanamke naona umechoka kuishi na mimi! Huniheshimu kabisa siku hizi Mke: Nakushangaa wewe mwanaume suruali, mume gani hunijali siku hizi! Couple No. 2: (Mume wa mtu na...
6 Reactions
23 Replies
2K Views
First time nafanya sex nilikuwa na 21 yrs lakini cha ajabu imekua karaha na sio raha tena maana kila ninapo sex na wasichana wamekuwa wakizimia na nimekamatwa na polisi mara 3 mara ya 3 ilikuwa...
0 Reactions
27 Replies
3K Views
1. Kuna familia baba, mama , na watoto wanalala chumba kimoja na hao watoto ni wakubwa miaka hata 10, sasa sijui huwa wanaenda guesthouse. 2. Wengine watoto wa kiume na wakike wanalala kitanda...
1 Reactions
21 Replies
3K Views
Wana jf hebu mnishauri kuna rafiki yangu wakike tunapenda sana kiasi kwamba moyo wangu umetua kwake cjamwambia lkn hana kipingamizi hata nikimwambi tatizo tunalingana umri je inaweza ikawa kikwazo?
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Wana JF. Maisha ni kitendawili usemi huu una maana kubwa sana, kwa nini? Hakuna binadamu ambaye anajua litakalotokea kesho. Lakini katika maisha yetu ya kila siku hata katika uhusiano ya...
0 Reactions
19 Replies
3K Views
Ivi mkeo au mchumba wako wa kike akikuuliza hili swali utajibu vipi. " ivi nikifa utaoa mke mwingine"?
0 Reactions
21 Replies
3K Views
Fanya yafuatayo atarudi ndani ya siku 2 1. Kwa aliye kimbiwa / achwa na mke: Nenda kariakoo nunua vyupi kama 15 vya rangi tofauti, zianike kwenye kamba nje. Kila siku chache na rangi tofauti. Mtu...
1 Reactions
16 Replies
2K Views
Habari wana JF??? Wewe ni baba umeoa mwanamke aitwaye Bahati (Jina ni Mfano tu) na umezaa nae mtoto aitwae Zawadi. Siku zote una gari yako na mkeo pia anayake ya kuendea ofisini kwake, siku ya...
0 Reactions
11 Replies
1K Views
Wewe ni mke/mume,mwenzi wako anarafiki wa jinsia tofauti wako karibu saaana,yatokea mko wote wa3,mara mwenzi wako anaomba simu ya rafikie wa jinsia tofauti na ku2mia ku2ma sms anakokujua.Je ni...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Kunaathari gani ya kuchelewa kuoa au kuolewa,umri kuanzia miaka35?
0 Reactions
6 Replies
2K Views
binamu yangu ana nyumba ambayo anaishi na kupangisha pia. mumewe ni mkali sana hivyo basi watoto wake wa kike uwa hawatoki ovyo na kila mtu pale mtaani ana wasifia kwa tania njema. sasa ana mtoto...
0 Reactions
11 Replies
3K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…