Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

On JF:

Everyone already knows that they probably won’t have a romantic long lasting relationship with a woman who is a stri**er, for example. But besides this more obvious type of women, there are a lot...
0 Reactions
24 Replies
3K Views
Kama huyo ndiyo mke wako na kwa bahati na wewe umekuwa mnene na unakitambi 1. mnaweza kuenjoy tendo la ngono? 2. Mtakuwa mnafanyaje? 3. Nahisi magogoni (Ikulu) unaweza usikuone
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Hivi ni kwa nini akina dada na mama ndo wanalalamika hasa kuhusu kusalitiwa, lakini wao hawajioni. Mi nshafanya uchunguzi utakuta boy akikutana na dem hata km hamjui anahapa kuwa atampata na kweli...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Take action to day!!
0 Reactions
5 Replies
5K Views
Sizungumzii kwamba ulikuwa unampenda zamani halafu baadaye mapenzi yakachuja. Sizungumzii kwamba ulikuwa unampenda mtu kiukweli kabisa na ukajitoa jumla jumla katika taasisi takatifu ya ndoa na...
3 Reactions
17 Replies
8K Views
Wapendwa, Salaam poleni na majukumu, tatizo langu ni kwamba nimeachana na mume wangu takribani miaka sita sasa, mtoto wangu wa kawnza ndio alimaliza darasa la saba mwaka huu, katika kuhangaika...
0 Reactions
174 Replies
13K Views
Aslm waungwana....Bwana Yesu asifiwe....Mamboz Habari za masiku tele....wapinzani hongereni kwa ushindi Igunga. Naomba kukaribia tena baada ya muda mrefu natumai wana Jf mpo wote na Mola...
1 Reactions
15 Replies
2K Views
Jamani ushauri wenu ni muhimu., Ni rafiki yangu ambaye tumemaliza naye chuo, katika kurupukushani za kutafuta kazi amegundua kuwa kuna boss mmoja ambaye alimhaidi dada yake kuwa atamtafutia...
0 Reactions
27 Replies
3K Views
Siku ya Ijumaa tarehe 7/10/2011 mke wangu alijifungua mtoto wa kiume na tulikubaliana kuwa yeye ndo amchagulie jina mtoto. Sasa leo usiku narudi home toka kwenye mishemishe zangu, mke wangu...
0 Reactions
56 Replies
5K Views
Wana JF naomba msinitafune, mambo ya kutumwa email nilikosea jamani naomba muwasiliane nae kwenye delmonte198@hotmail.com mkini PM msiwe na wasiwasi ujumbe nitaufikisha. samahani sana kama kuna...
0 Reactions
53 Replies
5K Views
Anakufa mtu unayemjua tangu akiwa mzima wa afya hadi alipougua na kufariki. Kabla hujajua amekufa kwa maradhi gani, unaanza kupita ukinong'ona kwamba, amekufa kwa Ukimwi. Inawezekana ni kweli...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Eti wakuu,ukimvalisha m2 pete ya uchumba ndo ina maansha nin,na je unaweza kumvka m2 pete thn ucmuoe??
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Kama kawaida najongea ktk hili jamvi ila mwenzenu nina matatizo sana yaani kila demu ninae mpata hatukai muda mrefu ananimwaga,kama kuhonga naonga,kukalua ndo usiseme,halafu ni hb kinoma sasa...
0 Reactions
33 Replies
3K Views
Habari Familia yangu ya MMU na wana JF woote... Hopefully you and your Loved ones woote ni wazima and have spent the Weekend to perfection.... Leo nimeona tuweke maswala ya Wapenzi pempeni na...
6 Reactions
71 Replies
6K Views
How i feel... Sometimes its really difficult to tell people around us how we feel i wish i can let someone inside my heart so they can see how much i'm hurting, not that...
1 Reactions
16 Replies
2K Views
...are you the victim of your own success? are you living your dream or are you living a nighmare? una usongo wa mawazo unaotokana na majukumu ya kazi, familia, ie---ndugu, jamaa na marafiki...
6 Reactions
63 Replies
7K Views
Roger alikuwa anamfundisha dada yng na pia alikuwa na uhusiano nae.Ila Roger alisifika kwa akili nyingi pale shule ya secondary Pugu high school walijuana na dada kwa kuwa alikuwa anasoma pale...
0 Reactions
29 Replies
3K Views
Ndugu yangu ananieleza haya: Anaishi nyumba ya kupanga, ana vyumba viwili na sebule. Mwanae wa kiume alikuwa akilala na mabinti (mmoja ni ndugu wa karibu) na binti wa kazi za ndani (house girl)...
0 Reactions
32 Replies
4K Views
Nimekaa na tatizo hili bila kumweleza hata rafiki yangu wa karibu,leo nimeamua niombe ushauri kwenu wana JF....natumaini mtanisaidia! Mke wangu ni mlevi kupindukia..na juzi aliletwa na rafiki yake...
0 Reactions
56 Replies
4K Views
This is the best and most civil way to have a fight between husband and wife instead of resorting to physical force... WIFE: I wrote your name on sand it got washed. I wrote your name in air, it...
0 Reactions
3 Replies
991 Views
Back
Top Bottom