Kila ninapowaona, wengi wao wamejiweka kwa namna hiyo. Hivi ninyi kina dada na baadhi ya kina mama mnapo yaweka matiti yakionekana vifuani mwenu kwa nje kwa mfano wa mapapai mnamaanisha nini? Ni...
Hi there...!
nahitji binti mzuri wa kuzugia, tukiendana anaweza kupata bahati ya kuolewa nami. I cant speak of marriage right now coz I do believe that this wil be the output of what we gonna buld...
Sometimes we are so busy searching for things that are
outside of ourselves, that we don't realize that what we really need is already in our possession! We dream of this distant place where all...
Je! ni zawadi gani nzuri ya kumpa mwenzi wako?????????
Hili swali naona kama tunategana, maana ukweli watu siku hizi wanapenda fedha zaidi. Sawa unaweza kumpelekea ua, unaweza kununua nguo na...
Kuna jamaa yangu aliapa, kwa jinsi askari wa mashati meupe wanavyomsumbua kunako barabara, lazima atafute askari wa kike wa nyeupe amalizie hasira zake(kulipiza kisasi na si kutafuta favor)...
Ndugu zanguni pamoja na kwamba tunapenda aman kwenye ndoa bado nimeona kuna haja ya somo la ufahamu kuwepo kwenye maisha ya kila siku ya wanandoa...leo nilikuwa na kikao na ndugu fulani mmoja wao...
Why now so many people get to know the Internet?
First, it is easier. You can stay at a comfortable psychological distance from the partner. Tell any lies about himself. Hide any truth. Ask...
Kuna mtoto wa mama yetu mdogo wa kike ndoa yake inatakiwa kufungwa jumamosi hii toka jpili siku moja baada ya send off katoweka nyumban ijuzi katuma sms yupo sweden hataki kuolewa yupo na mzungu...
VIJANA WENGI tumepotea hapo,tuonapo basi tunataka kutimiza ile macho imeona,na hii ni hatari sana!Hebu tuwaulize na madada wanaovaa hivyo wana malengo gani?au ndo biashara yenyewe iko sokoni?Hata...
Kuna hasara zinazoweza kukupata ukiamua kulipa kisasi kwa mambo uliyofanyiwa ambayo hayakupendezi. Ikiwa ni masuala ya kikabila, usilipe kisasi. Ikiwa ni masuala ya kidini, usilipe kisasi. Ikiwa...
Majirani zangu (Mke na mumewe) huwa wanagombana mara kwa mara. Katika mzozo wao mara nyingi utamsikia mwanamke akimwambia mumewe maneno kadhaa ya kejeli na dharau. Utasikia tu: Nipige kama wee...
Washikaji, nashindwa kukung'uta thanks na like za uhakika kwa kuwa natumia mobile device.
Niko Kamsamba, porini huku nafanya kazi za braza Ngiswe, kutorosha mabinti wa watu.
Nawapendeni wote...
Zipo sababu nyingi zinazowafanya watu wawe na mahusiano ya nje ya mahusiano yao rasmi (kucheat). Tangu enzi na enzi mambo haya yamekuwa yakiwatokea wanaume na wanawake wa kila kabila, dini, lugha...
YOU CAN'T CHANGE WHAT YOU DON'T KNOW NEITHER AVOIDS WHAT YOU DON'T KNOW.
God father made and ordained family way back in the Garden of Eden and works with it and made it a backbone to the...
unaamini mapenzi ni hisia?kama ni ndio toa maelezo......,then na ni kip kinachosababisha kumpenda mtu?..............,toa maelezo plz maswali hayo yananiumiza kichwa nisaidien...................
jaman naomben ushauri, me nilkuwa na bf wangu 2lipendana sana akanitambulisha kwao ikabak ye kuja kwe2, sasa hapo pakaanza utata me nataka aje ajitambulishe ye anajivuta vuta ikafika point...