Nilimtuma dada mtu amwambie mdogo wake kuwa ninampenda kwe mdogo wake amenipenda pia,ila yeye hana cmu kwa hiyo ili niwasiliane nae lazima nipige cmu kwa dadake,baada ya mdogo wake kunikubalia...
Naona kama hili jukwaa linahusiana na blog hii hapa chini:
Jitafutie Rafiki / Mchumba wa Kitanzania
Angalizo: Usianzishe uhusiano na mtu kwa ajili ya kumfanyia mzaha au kumpotezea muda, tumieni...
........Women are attracted to things like Fame, Money and Power because they are genetically and Socially programmed on an unconscious level to believe that these men are more Inteligent, more...
Kwa miaka kadhaa sasa tumekuwa na magazeri na majarida mbalimbali ya mambo ya maisha. Wapo waandishi wa magazeti yale ya zamani na hata kwenye mitandao. Najaribu kutaka kuwasoma baadhi ya...
Only after nimeondoka na kuacha nyumba yangu, napata habari ya mambo zaidi niyajuavyo kumbe watu walikuwa wananichora tu wanajua mambo mengi machafu na walikuwa hawaniambii, bado sielewi sababu ya...
Ni muda mrefu sasa umepita tangu nipotee jamvini, wakuu mambo yalibana sana then ubize wa maisha ulichangia. Niliwamiss sana ndugu zangu, nashukuru mungu kuona mambo yanakwenda vyema, kwa wale...
Katika Masha yngu nimetokea kuchukia Anasa tena sana. na kipindi hiki nimefikia umri ambao nilazima niowe...nimemaliza masomo kazi sina. nimehangaika sana..ila huu huangaika nipate chochote na...
Wanaume walio wengi wako hivi;
Wakiwa na mpenzi wanapenda wanyenyekewe wasibanwebanwe haya mapenzi ya sweetie baby honey hawapendi mojakwamoja kwa huona kama unamghasi anataka mapenzi hayo umpe...
Kwanini watu walilia mapenzi?wengine wanajikill kwa ajili ya mapenzi?wanaacha kazi kwa ajili ya mapenzi?wanaonga kila kitu walichonacho kwa ajili ya mapenzi?wanacha family zao wanaenda kuishi na...
Siku ya kwanza kukutana naye huyo dada, unakuta kavunja kabati kuanzia juu mpaka chini,kajiupala usoni, kucha kapaka rangi tofauti tofauti,kila saa anajiangalia kwenye kioo chenye vidude fulani...
...Kumradhi kwa kutoka nje ya mahusiano (ndoa!) kidogo ili kujadili mada hii.
Hebu tujuzane wajameni,...
It isn't rape if she didn't try to stop it. it is not Rape if you Enjoyed it...
Why do some men treat their wives with so much hatred and cruelty but treat the woman outside like a queen, I don't get it.
Guys don't take it personal here but am being frank with my question...
Hati ya talaka ni kweli ilikuweko katika jamii ya kiisraeli mwanamume aliweza kutoa hati ya talaka lakini sio kwa kila jambo hasa ni katika uzinzi ambao tutauongelea zaidi katika agano jipya Yesu...
jmn nilikuwa na mpenzi na nilikuwa nina mpenda cna kuliko chchte ila cha kushangaza ghafla alipotea ktk mazingira ya kutatanisha kwenye cmu hapatikani kweny facebook haonekani kweny badoo simuoni...
Napenda kujua historia ya mtu katika relations kabla ya ku-stick nae.
Lakini hii niliyo pewa ime nivunja moyo na sidhani kama hua namaanisha
pale ninaposema napenda ukweli,...the truth...
Habari zenu jf!mimi ni kijana wa miaka 29.natafuta rafiki wa kike wa kuwa karibu na mimi,mpaka 2funge ndoa.nafanya kazi..Mwenye sifa zifuatazo tuwasiliane kupitia jonathan@gmail.com
1.Mzuri...
Moyo wangu unagiza kuu
Ni mpweke sana sana...
Uko wape eh binti mwenye kujua mateso ya moyo mpweke?
Uko wape ehh binti ,wenye funguo ya kuutoa upweke wangu?
Njoo ee malaika,mrembo na ua...
​
malezi ni kati ya maswala nyeti yanayopaswa kupewa uzito unaostahili miongoni mwa wazazi, familia, jamii na Kanisa/msikiti kwa ujumla. Hii inatokana na uwepo wa mabadiliko makubwa katika...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.