Majirani zangu (Mke na mumewe) huwa wanagombana mara kwa mara. Katika mzozo wao mara nyingi utamsikia mwanamke akimwambia mumewe maneno kadhaa ya kejeli na dharau. Utasikia tu: Nipige kama wee mwanaume kweli, kati ya wanaume na wee utajihesabia mwanaume,....na maneno kede wa kede ya aibu.
Mume naye utamsikia: Kwanza nanihii yako mbovu, sijui nini na nini......
Cha ajabu baada ya muda tunamwona bibiye tumbo limekua kuelekea mbele.
Basi watu tunabaki tumeduwaa.
Heshimianeni jamani.
Mume naye utamsikia: Kwanza nanihii yako mbovu, sijui nini na nini......
Cha ajabu baada ya muda tunamwona bibiye tumbo limekua kuelekea mbele.
Basi watu tunabaki tumeduwaa.
Heshimianeni jamani.