Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

On JF:

Kuna kaka anatafuta mchumba wa kike jaman umri kuanzia 30-35 umri wake ni miaka 45 naiman kuubwa humu jf atapata. Hakuna utani hapa namba yake. 0753655444.
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Jaman mwenzenu nina girlfriend 4,wote wananipenda,nana wapenda.imefika mahali natakiwa kuchagua mmoja tu,kwa ajili ya ndoa,wawili wapo dar,na mmoja yupo masomoni china,na mwingine tanga,wote...
0 Reactions
16 Replies
2K Views
Nina mpenzi wangu ambaye nimekuwa na mahusiano naye kwa muda wa miaka miwili na miezi kadhaa, tulipendana sana nakuheshimiana na kusaidiana katika hali na mali, Kwa muda wa mwezi sasa alikuwa na...
0 Reactions
54 Replies
5K Views
habari zenu humu.. wiki kadhaa zilipitia kuna dada mmoja alikuwa anatafuta wanajamii wanao ishi arusha...sasa natafuta ile post sijaipata nilikuwa naomba msaada ili nipate username yake na...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Nategemea kufunga ndoa hivi karibuni ila nashidwa kuelewa ni shela gani zuri la kisasa linafaa kwa harusi?na pia lipi ni bora zaidi kukodi,kushonesha au kununua dukani?
1 Reactions
11 Replies
4K Views
Hivi kwa nn watu wengi wanatumia muda mwingi kuchangiana kwenye maharusi kuliko mambo ya maana?
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Hodi humu ndani mie sio mwenyeji sana, ni mgeni kiasi Nimekuja na shida yangu tafadhali naomba msaada wenu Mie ni dada wa makamo, niko nje ya nchi kwa masomo.Tangu nifike hapa nimekuwa mtu wa...
0 Reactions
99 Replies
8K Views
kama upo serious naomba unitafute kwa 0759294263 pliiiiiiiiiiz hakikisha waweza nilea na raha zoooooote za dunia utazipata!!
0 Reactions
20 Replies
3K Views
Habari zenu wakuu! Baada ya kuzitafakari changamoto zinazoendana na mademu wakali, nimeamua nijivue gamba. Mademu wote wazuri niliopata kuwa nao au kuwafatilia wote ni pasua kichwa>kuteseka...
1 Reactions
24 Replies
4K Views
Kwa bahati mbaya sana katika jamii yetu ya sasa tofauti na zamani vijana wengi huingia ktk ndoa huku tayari walishakuwa na mahusiano na vijana wengine kimapenzi hapo kabla.Je ni ustaraabu kuruhusu...
0 Reactions
19 Replies
5K Views
Asalam alleikhum waungwana ! Jamani naileta kwenu hii ,Jamaa mmoja mtumishi wa umma hapa Kigoma ameishi na mkewe kwa mapenzi mazito kwa muda wa miaka 20 wamebahatika kupata 4 children sasa ishu...
3 Reactions
27 Replies
4K Views
Tamthilia ya kichina imetafsiriwa kwa kiswahili cha ki-kenya! imekaaje mlioangalia.!
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Wadau,naomba mniambia sifa za msichana anae faa kuwa mke!!
0 Reactions
39 Replies
15K Views
Naomba kuuliza binti au mwanamke huwa unavutiwa na nini kwa mara ya kwanza pale unapomuona kijana au mwanume kwa mara ya kwanza na kusema moyoni mwako natamani angekuwa mpenzi wangu au mume wangu?
0 Reactions
20 Replies
8K Views
Habari zenu watanzania wenzangu!!ebana nina rafiki yangu wa kike{wa kawaida},ambae tumezoeana sana,jana kkt mazungumzo yetu akaniuliza hvi,hvi wanaume huwa tunapenda vitumbua vya aina gani,maana...
1 Reactions
58 Replies
5K Views
Nimejiuliza swali hili baada ya kuchoka kusikia vimbwanga vya ma-HG,kauli yenyewe ni kuwa;UKIMUELIMISHA MWANAMKE UMEELIMISHA JAMII NZIMA,kwanza ni elimu ipi?Pili,sasa ni yupi kati ya hao wawili?HG...
0 Reactions
33 Replies
3K Views
Hakuna ubishi kwamba maisha ukiyapangilia ni mazuri sana,yatakupa amani na kwa ujumla utatamani uendelee kuishi milele,lakini usipkuwa makini utaishia kujuta.Uamuzi wako ndiyo unaotengeneza...
0 Reactions
27 Replies
4K Views
Ni nini maana halisi ya kusamehe?? Je ukimsamehe mtu unalazimika kuwa karibu yake tena?? Kurudiana kimapenzi kama ndivyo mlivyokua mwanzo?? Kuongea mara kwa mara kama ndivyo mlivyokua mwanzo...
9 Reactions
99 Replies
20K Views
Pengine hili somo litawapa msaada wale mnaozaa nje mnawaandaje watoto wenu wasije pata shida mnapoaga dunia kwa kweli...hili nimeona kwenye gazeti la jana kesi ya kupinga urithi kwa mtoto wa nje...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Kutokana na taarifa za awali za msanii huyu kwamba aliachana na mumewe na sababu alizokuwa ameziweka hadharani kwamba alikuwa hampendi, kuna mwingine anampenda zaidi etc etc etc. Lakini baada ya...
1 Reactions
59 Replies
7K Views
Back
Top Bottom