Kila ninapowaona, wengi wao wamejiweka kwa namna hiyo. Hivi ninyi kina dada na baadhi ya kina mama mnapo yaweka matiti yakionekana vifuani mwenu kwa nje kwa mfano wa mapapai mnamaanisha nini? Ni vivutio au ni mitindo ambayo mnaiiga bila kujua?
Au mnafikiri mkiweka hivyo inakuwa rahisi kuwapata wanaume? Likini wengine wanawaume zao, kama kigezo ni kuwatega wanaume, na nyie mlioolewa au wenye waume mnawatega waume zenu au watu wa mtaani?
Au mnafikiri mkiweka hivyo inakuwa rahisi kuwapata wanaume? Likini wengine wanawaume zao, kama kigezo ni kuwatega wanaume, na nyie mlioolewa au wenye waume mnawatega waume zenu au watu wa mtaani?