Mume wangu anabaki na housegirl mpaka saa tano /sita NDIO ANAKUJA KITANDANI

BASIASI

JF-Expert Member
Sep 20, 2010
9,735
5,003
Ndugu zanguni pamoja na kwamba tunapenda aman kwenye ndoa bado nimeona kuna haja ya somo la ufahamu kuwepo kwenye maisha ya kila siku ya wanandoa...leo nilikuwa na kikao na ndugu fulani mmoja wao akilalamika mumewe amekuwa akiingia kitandani saa tano ama sita wakati yeye amekuwa akiingia saa tatu..baya akaenda mbali kwa kusema amekuwa akisubiri mpaka dada wa nyumban amalize kazi aingie kitandan mwake ndie na yeye unasikia amezima taa.......Ukiwa kama wewe kabla ya kuendelea unalimalizaje hili swala..NBHAKUNA SIKU ALIOMKUTA NA HGIRL WAKIBUSIANA AMA KUFANYA TENDO OVU...KWAKO MWANA MAPENZI WA JF
 
Aache kumpa house girl kazi za usiku, afanye kazi mchana kutwa na usiku pia? Ahakikishe akiingia kulala h'girl nae anaingia kulala manake huyo mumewe anamvizia h'g.
 
unayataka mwenyewe kumfanyisha housegirl wako mpaka usiku ikifika halafu na wewe ukae upige kidogo stori na mmeo
 
lol! ndoa imekua institution sensitive sana aisee. kuna haja ya kuweka burglar alarm kwa mume. kha!
Aache kumpa house girl kazi za usiku, afanye kazi mchana kutwa na usiku pia? Ahakikishe akiingia kulala h'girl nae anaingia kulala manake huyo mumewe anamvizia h'g.
 
lol! ndoa imekua institution sensitive sana aisee. kuna haja ya kuweka burglar alarm kwa mume. kha!
Hahaha! Umeonae, yaan mimi nnavyopenda kulala, huyo jamaa angekuwa ndio h'band wangu sahizi labda wana mtoto na h'gal, ntaachaje kulala nimlinde mtoto wa mwanamke mwenzangu ambae sijui hata kitovu kilitupwa wapi? Huyo jamaa ana lake jambo asee, anasubiri h'gal amalize kazi ili amkague au?
 
Mi naona mambo mengine wanawake katika ndoa ni kujitafutia tu matatizo. Inakuwaje kwamba kwa siku za hivi karibuni wasaidizi wa kazi za nyumbani maarufu kama housegirls wamekuwa ni tishio katika ndoa?? mbona miaka ya zamani mama zetu walikuwa wanaishi na hao hao housegirls vizuri tu na tena kunakuwa na mipaka? wao waliwezaje?? hii biashara mke unatoka kazini unaweka miguu juu kila kitu msichana afanye kuanzia asubuhi mpaka usiku mume anaona umekaa tu hujishughulishi kama mama mwenye nyumba inaharibu sana ndoa. mmezidi kujibweteka mlioko kwenye ndoa na msipobadilika ndo yale yale mume anaanza kumuonea huruma msichana kutokana na kazi nyingi na ndo ukaribu unapojijenga hapo. kama mke chukua nafasi yako. Mnanichosha kila siku kulalamika kuhusu housegirls. as far as am concerned once i get married inshallah i will be different from the rest of y'all complaining about these poor girls. :behindsofa:
 
niliapa beki tatu ndani ya nyumba yangu marufuku....nsijepata kesi bure

Sawa sawa Shosti.......kama hakuna sababu maalum pia ya kuwa nao bora usiwe nao. na kisingizio kikubwa kinakuwaga ni watoto.
 
Ndugu zanguni pamoja na kwamba tunapenda aman kwenye ndoa bado nimeona kuna haja ya somo la ufahamu kuwepo kwenye maisha ya kila siku ya wanandoa...leo nilikuwa na kikao na ndugu fulani mmoja wao akilalamika mumewe amekuwa akiingia kitandani saa tano ama sita wakati yeye amekuwa akiingia saa tatu..baya akaenda mbali kwa kusema amekuwa akisubiri mpaka dada wa nyumban amalize kazi aingie kitandan mwake ndie na yeye unasikia amezima taa.......Ukiwa kama wewe kabla ya kuendelea unalimalizaje hili swala..NBHAKUNA SIKU ALIOMKUTA NA HGIRL WAKIBUSIANA AMA KUFANYA TENDO OVU...KWAKO MWANA MAPENZI WA JF


huyo aliyekupa story ndo mwenye matatizo. mume ni wake au wa mwenzie? naamini mwenye kulalamika ni "mvivu" in all aspects. iwe kuangalia nyumba , na hata kulea mume.kama yeye anampenda mume wake na anaweza kuvumilia, kipi raisi kwake, kwenda chumbani kulala akisubiri mume huku anaumia, au kubaki sebuleni akisubiri na kushawishi mume ajisikie kwenda kulala?


kwa kuangalia nyumba pia ni mzembe kwani analalaje kabla hajajua Hg amemalizaje siku kwa kazi za ndani?.

huyu dada ningemwoa mimi, ningehamia kwa Hg kabisa, nafunga na mlango , hata aite polisi waje kufungua
 
Simple! Awe anabaki na mume wake mpaka wote waende kulala the same time. Yeye anakimbilia kwenda kulala saa 3 kwa nini, kwani ye mtoto wa shule? Watu wazima mkienda kulala saa 3 watoto walale saa ngapi?
Huyo mume anabaki mpaka sa sita ili iweje?
 
Umesahau moja, afu ni supplier wa familia

...lol,...mume si mlinzi wa familia? acheni ahakikishe usalama wa nyumba yake bana...
hata mimi nahakikisha usalama kwanza na wote wamekwenda kulala, ndio 'nahodha' naingia kulala!
 
Simple! Awe anabaki na mume wake mpaka wote waende kulala the same time. Yeye anakimbilia kwenda kulala saa 3 kwa nini, kwani ye mtoto wa shule? Watu wazima mkienda kulala saa 3 watoto walale saa ngapi?

saa 12....na hapo analala saa 3 mume hajapata "chakula ya usiku" sasa sijui inakuwaje???housegirl ndo solution iliyobaki:tongue:
 
MMnanichosha kila siku kulalamika kuhusu housegirls. as far as am concerned once i get married inshallah i will be different from the rest of y'all complaining about these poor girls. :behindsofa:

Hmmm....JS
 
Huyo ndio mwanaume wa kweli na anaejuwa wajibu wake,hivi baba mwenye nyumba atalalaje kabla ya wa2 wengne esp msaidizi wa kazi cku mkimwacha akiwasafishia nyumba na kutoweka mi wala sioni shda,sema kama hapendi aache kumpa huyo dada kazi za usiku,
 
saa 12....na hapo analala saa 3 mume hajapata "chakula ya usiku" sasa sijui inakuwaje???housegirl ndo solution iliyobaki:tongue:
Lol, sasa mume akiingia kulala na mkewe hiyo sa 3 na chakula ya usiku si ndio atapata mda huo?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom