Majirani zangu (Mke na mumewe) huwa wanagombana mara kwa mara. Katika mzozo wao mara nyingi utamsikia mwanamke akimwambia mumewe maneno kadhaa ya kejeli na dharau. Utasikia tu: Nipige kama wee...
Washikaji, nashindwa kukung'uta thanks na like za uhakika kwa kuwa natumia mobile device.
Niko Kamsamba, porini huku nafanya kazi za braza Ngiswe, kutorosha mabinti wa watu.
Nawapendeni wote...
Zipo sababu nyingi zinazowafanya watu wawe na mahusiano ya nje ya mahusiano yao rasmi (kucheat). Tangu enzi na enzi mambo haya yamekuwa yakiwatokea wanaume na wanawake wa kila kabila, dini, lugha...
YOU CAN'T CHANGE WHAT YOU DON'T KNOW NEITHER AVOIDS WHAT YOU DON'T KNOW.
God father made and ordained family way back in the Garden of Eden and works with it and made it a backbone to the...
unaamini mapenzi ni hisia?kama ni ndio toa maelezo......,then na ni kip kinachosababisha kumpenda mtu?..............,toa maelezo plz maswali hayo yananiumiza kichwa nisaidien...................
jaman naomben ushauri, me nilkuwa na bf wangu 2lipendana sana akanitambulisha kwao ikabak ye kuja kwe2, sasa hapo pakaanza utata me nataka aje ajitambulishe ye anajivuta vuta ikafika point...
Kabla haujaoa angalia aina za wake ili usije ukawa kama jirani yangu mmoja hapa, jina nimeliifadhi, kwaka ni kama kwa MAYENJE! Pia nampa pole yule jamaa aliyemkimbia demu wake kwa kuwa na kipato...
Hebu fikiria kwamba umefukuzwa kazi au kufilisika kimali, halafu mkeo au mpenzi wako anafanya visa na mikasa ya kila aina ili aweze kuachana na wewe. Hatimaye anafanikiwa na uhusiano wenu au ndoa...
Utasikia mwingine anasema, siku Mungu atakapo nipa mume au mke, hii ni hatari sana! Biblia inasema kwenye kile kitabu cha Mhubiri.3:1 Kwa kila jambo kuna majira yake na wakati kwa kila kusudi...
1. Chukulia wewe ni baba enzi zako za ujanani ulizaa binti na baadae ukaoa mwanamke mwingine na mmezaa watoto wakubwa sasa..sasa huyu binti nae mnaishi nae hapo nyumbani..sasa basi unagundua ni...
Do not confuse love and desire. Love - the sun, desire - only flash. " Desire dazzles, and the sun gives life. Interested person willing to make sacrifices, but true love knows no casualties and...
Jamaaa mmoja ambaye hajaowa, siku moja kamtembelea mama yake hapa kijijini kwetu BUSEGA,
mama yake kwa kuwa alikuwa hajamuona kwa miaka mingi basi akawa kamkaribisha kwa furaha na bashasha...
Kila mwanamke ninayekuwa naye tukifika mahali nagundua kuwa hatanifaa kwa kuoa kutokana na tabia zao...wengi hawatulii. Nimejaribu kila aina kuanzia wasomi wa elimu ya juu, warembo, wenye...
Wengi wa wanandoa wapya siku hizi wanaingia kwenye hiyo taasisi baada ya kupeana mimba "kutest zali", kitu ambacho huko nyuma haikuwa hivyo.Na wengi walioana wakiwa 'bado" hawajaivunja ile...
Kuna kaka anatafuta mchumba wa kike jaman umri kuanzia 30-35 umri wake ni miaka 45 naiman kuubwa humu jf atapata. Hakuna utani hapa namba yake. 0753655444.
Jaman mwenzenu nina girlfriend 4,wote wananipenda,nana wapenda.imefika mahali natakiwa kuchagua mmoja tu,kwa ajili ya ndoa,wawili wapo dar,na mmoja yupo masomoni china,na mwingine tanga,wote...
Nina mpenzi wangu ambaye nimekuwa na mahusiano naye kwa muda wa miaka miwili na miezi kadhaa, tulipendana sana nakuheshimiana na kusaidiana katika hali na mali,
Kwa muda wa mwezi sasa alikuwa na...
habari zenu humu..
wiki kadhaa zilipitia kuna dada mmoja alikuwa anatafuta wanajamii wanao ishi arusha...sasa natafuta ile post sijaipata nilikuwa naomba msaada ili nipate username yake na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.