Kana-Ka-Nsungu
JF-Expert Member
- Oct 4, 2007
- 2,257
- 351
Nimekua najiuliza siku zote kwanini relationship nyingi zinavunjika eti kwa kuwa mwanaume ame have sex na mwanamke mwingine? Ndugu zetu wa kike eti wanaamini kuwa uki sex na mwanamke mwingine ni kwamba huwapendi wao tena na hapa ndio ubishi wangu ulipo leo.
Wanaume, tofauti na wanawake, tuna uwezo wa kutofautisha sex na love. I can just have SEX with a woman and treat it as a mechanical process- just bang, bang, bang and off I go- without having to indulge my emotions at all, just for the sake of relieving myself. Nikirudi nyumbani kwa mke wangu- I make LOVE to her- I put my brain, heart and soul into it. Mwanaume anaweza kuwa kiwembe ile mbaya lakini at the end of the day anakuwa na mwanamke mmoja mbaye ndio roho yake.
Naamini wanaume wengi kama mimi, if given an option, tungependelea ku have sex with more than just one person wakati tukiwa kwenye ndoa zetu. Sijui ni tamaa au ni ulafi lakini kila ukitembea barabarani unakutana na majaribu and we are so weak.I think its biological!!! In contrast, wanawake wengi wanakasumba ya ku attach emotions zao kwenye tendo la sex, for majority hadi 'akupe' ujue kuna viji feelings na emotions involved. (I understand ni tofauti kwa wazungu na wale 'waafrika wazungu').
I know most of you will be like "What on eath is KS on about today?" Im in trouble this weekend bse my wife has found out that I slept with someone when she was away, na najitahidi kumuelezea kwamba it was just a one night stand,I cant even remember the girl's name, it absolutely meant nothing to me-(JUST SEX) and she (My wife) is still the one I would die for.Sijui nifanye nini ili nieleweke.
Wanaume, tofauti na wanawake, tuna uwezo wa kutofautisha sex na love. I can just have SEX with a woman and treat it as a mechanical process- just bang, bang, bang and off I go- without having to indulge my emotions at all, just for the sake of relieving myself. Nikirudi nyumbani kwa mke wangu- I make LOVE to her- I put my brain, heart and soul into it. Mwanaume anaweza kuwa kiwembe ile mbaya lakini at the end of the day anakuwa na mwanamke mmoja mbaye ndio roho yake.
Naamini wanaume wengi kama mimi, if given an option, tungependelea ku have sex with more than just one person wakati tukiwa kwenye ndoa zetu. Sijui ni tamaa au ni ulafi lakini kila ukitembea barabarani unakutana na majaribu and we are so weak.I think its biological!!! In contrast, wanawake wengi wanakasumba ya ku attach emotions zao kwenye tendo la sex, for majority hadi 'akupe' ujue kuna viji feelings na emotions involved. (I understand ni tofauti kwa wazungu na wale 'waafrika wazungu').
I know most of you will be like "What on eath is KS on about today?" Im in trouble this weekend bse my wife has found out that I slept with someone when she was away, na najitahidi kumuelezea kwamba it was just a one night stand,I cant even remember the girl's name, it absolutely meant nothing to me-(JUST SEX) and she (My wife) is still the one I would die for.Sijui nifanye nini ili nieleweke.