TASLIMU
Senior Member
- May 6, 2011
- 144
- 21
Jamani mi ni kijana ninamiaka 30(umri)nimebahatika kupata mchumba wa kikinga,nategemea kumuoa mwakani,katikati ya mwaka,sasa naomba mniambie tamaduni zao kuhusu mahari,huwa wanahitaji nin(mnyama nk)na tamaduni zingine,ili nijipange kabisa,ila huyo bint ni mkinga(wazazi wake wamelowea mbeya) mim mwanaume ni YAHO,