Mimi baba, sipendi mambo ya Housegirl

Ng`wanakidiku

JF-Expert Member
Apr 18, 2009
1,195
232
Tangu nifunge ndoa na mke wangu, yeye amekuwa akisisitiza kuwa na house girl, kila anayekuja anakuwa na vituko vya jabu, na wa mwisho ambaye tumemfukuza jana alikuwa eti ana majini tukisali na kulitaja jina la yesu anasumbuka, eti akawa anaomba tusisali na tukienda church tumuache. Sasa mimi nimemueleza wife tutafute mtu wa kuja kwa kutwa ila yeye eti anasisitiza mpaka mtu wa kuishi naye, unajua namshangaa, na ndiyo utamaduni wa wanawake woote sijui, mambo eti housgirl, housegirl, wanawake mtakoma lini?
 
ebwana wee mie nakubaliana nawe...pata yue wa kuja na kusepa zake ila sasa mwana akikisha vile vyombo vyakidhungu vipo ndani...washing mashine, rice cooker deep frier vacum cleaner ili mama asipate ugumu sana.
 
hutaki hausigelo
afu usiku unataka pafomensi ile ile
afu wewe inaonekana ni mna faza, kazi za home is a taboo
unanishangaza.
Hausi gelo muhimu
 
Una experience ya mahausi gelo?
Wana watoto?
Usalama wa nyumba yenu ukoje?
Wote ni wafanyakazi?
Na kama wote ni wafanyakazi mnarudi saa ngapi home?
Ni watokaji?maana hii ni ligestyle haifi sikumoja

ebwana wee mie nakubaliana nawe...pata yue wa kuja na kusepa zake ila sasa mwana akikisha vile vyombo vyakidhungu vipo ndani...washing mashine, rice cooker deep frier vacum cleaner ili mama asipate ugumu sana.
 
Tangu nifunge ndoa na mke wangu, yeye amekuwa akisisitiza kuwa na house girl, kila anayekuja anakuwa na vituko vya jabu, na wa mwisho ambaye tumemfukuza jana alikuwa eti ana majini tukisali na kulitaja jina la yesu anasumbuka, eti akawa anaomba tusisali na tukienda church tumuache. Sasa mimi nimemueleza wife tutafute mtu wa kuja kwa kutwa ila yeye eti anasisitiza mpaka mtu wa kuishi naye, unajua namshangaa, na ndiyo utamaduni wa wanawake woote sijui, mambo eti housgirl, housegirl, wanawake mtakoma lini?

Mmh.huyo mkeo nae ana lake jambo...aidha mvivu sana au anataka company kama ni mama wa nyumbani!
Housegirl anatakiwa awepo nyumbani aki-act kama msaidizi tu..lakini wa mama wengine wanapenda kuwazoesha hadi majukumu yasiyowahusu mwishowe hata mume anapopata majaribu na kutembea nae wanakosa wakumlaumu.. Ila kama nyote ni wafanyazi wakuajiriwa itabidi uzingatie ombi lake. Na kama mna mtoto mdogo ndo kabisaaaa....
 
Tangu nifunge ndoa na mke wangu, yeye amekuwa akisisitiza kuwa na house girl, kila anayekuja anakuwa na vituko vya jabu, na wa mwisho ambaye tumemfukuza jana alikuwa eti ana majini tukisali na kulitaja jina la yesu anasumbuka, eti akawa anaomba tusisali na tukienda church tumuache. Sasa mimi nimemueleza wife tutafute mtu wa kuja kwa kutwa ila yeye eti anasisitiza mpaka mtu wa kuishi naye, unajua namshangaa, na ndiyo utamaduni wa wanawake woote sijui, mambo eti housgirl, housegirl, wanawake mtakoma lini?

Mimi kama mimi sifagilii kabisa haya mambo ya kuwa na 'housegirl' na huwa sieleweki na wengi humu kwa nini nina msimamo huo.

Kwanza sipendi kutumikisha wengine. Maadili yangu yananikataza kabisa. Naonaga hao wasaidizi wa ndani kama huwa hawatendewi kwa haki.

Pili, yote anayofanya huyo 'housegirl' nami naweza kufanya. Napika, nasafisha, nafua nguo, napiga pasi....you name it, I do it.
So why hire someone to do my house chores when I can do them myself they way I want to? I see no need to!

Tatu, unaweza kuta mtu hana hata familia, labda yupo yeye na mumewe tu lakini eti ana 'housegirl' nyumbani. Really? What for? I guess maybe having one is a status symbol or something.
 
Mimi kama mimi sifagilii kabisa haya mambo ya kuwa na 'housegirl' na huwa sieleweki na wengi humu kwa nini nina msimamo huo.

Kwanza sipendi kutumikisha wengine. Maadili yangu yananikataza kabisa. Naonaga hao wasaidizi wa ndani kama huwa hawatendewi kwa haki.

Pili, yote anayofanya huyo 'housegirl' nami naweza kufanya. Napika, nasafisha, nafua nguo, napiga pasi....you name it, I do it.
So why hire someone to do my house chores when I can do them myself they way I want to? I see no need to!

Tatu, unaweza kuta mtu hana hata familia, labda yupo yeye na mumewe tu lakini eti ana 'housegirl' nyumbani. Really? What for? I guess maybe having one is a status symbol or something.
Ukiwa na mfanya kazi za ndani hata kama huna pesa sana na wewe unakua boss.
 
Ukiwa na mfanya kazi za ndani hata kama huna pesa sana na wewe unakua boss.

And I hate bossing people around because I don't like being bossed around!

Have you seen how some of these maids get treated? It's shameful!
 
Kama hamna watoto mnaweza ishi bila.Yani hata huyo wa kuja anakua sio wa kila siku bali mara chache ndani ya wiki kuwasaidia kufanya usafi labda na kufua.Chakula na vyombo vyenu mnashughulikia wenyewe.
 
Kama hamna watoto mnaweza ishi bila.Yani hata huyo wa kuja anakua sio wa kila siku bali mara chache ndani ya wiki kuwasaidia kufanya usafi labda na kufua.Chakula na vyombo vyenu mnashughulikia wenyewe.

Lakini Lizzy, kama hamna watoto maid wa nini tena? Hamuwezi kufanya usafi wenu wenyewe?

Mimi naamini kabisa mnaweza. Ni kiasi cha kufanya time management nzuri tu na hakuna litakalowashinda.
 
And I hate bossing people around because I don't like being bossed around!

Have you seen how some of these maids get treated? It's shameful!
I know,it's bad. But then what can we do?Wenyewe wana shida ya pesa na wengine wanahitaji watu wakuwapelekesha.
 
I know,it's bad. But then what can we do?Wenyewe wana shida ya pesa na wengine wanahitaji watu wakuwapelekesha.

Yep..you are right. I guess I can just speak for me. I just don't see myself hiring one.

It's the 'can do spirit' in me. I believe I can do without one.
 
Lakini Lizzy, kama hamna watoto maid wa nini tena? Hamuwezi kufanya usafi wenu wenyewe?

Mimi naamini kabisa mnaweza. Ni kiasi cha kufanya time management nzuri tu na hakuna litakalowashinda.
Ndo maana angalau wafanye yule wa kuja na kuondoka.

Ila bongo bwana, ukute mke alizoea kufanyiwa kila kitu kwao alafu ghafla anaishi na mtu ambae hata kupeleka viatu vyake chumbani hawezi/hataki(mwenyewe unajua mwanaume kusaidia kazi nyumbani kunavyopingwa) alafu wote ni waajiriwa. Mke atafanya nini na nini aache?
 
mna watoto? Mkeo anafanya kazi? Anatoka saa ngapi? Unamsaidia mkeo kazi za nyumbani? Anapata muda wa kupumzika? Kama mke anakazi mkitoka kwenda job au outings usalama wa nyumba yenu ukoje?
 
hutaki hausigelo
afu usiku unataka pafomensi ile ile
afu wewe inaonekana ni mna faza, kazi za home is a taboo
unanishangaza.
Hausi gelo muhimu
Lakini na mwanamume si anapafomu? Tena nguvu inayotumia kwa bao 1 ni sawa na kutembea km 7! Fikiria atakapo piga bao 3 na zaidi....
 
NN, hutaki hausi gelo sababu ya lifestyle ya huko

chakula cha supamarket almost kimetayarishwa vizuri wewe ni kwenda kumalizia tu
hapa siku nakula kuku nina kazi ya kumkimbiza, nimchinje, nimnyonyoe na kumpika

huko mna maharage ya kopo, mie nina masaa 3 ya kusubiri maharage yaive kwenye mkaa

huko mna dishwasher hapa nika kazi ya kusugua sufuria kwa mchanga wa bahari

mna washing mashine, nina kazi ya kufua, na kuanika nisubiri zikauke

maji na umeme 24/7 hapa maji yakitoka hatulali tunajaza hadi vijiko.
Siku nyingine zote ni ya kuchota kisimani au bomba la kijiji
umeme ungekuwepo ningechemsha maharage ya wiki nzima lakini siwezi andaa vitu na kutegemea kutunza kwenye friji sababu umeme sio wa uhakika
hata hivyo familia ngapi zinauwezo wa kumiliki friji?

Huko unasafisha nyumba labda mara moja kwa wiki, hakuna vumbi lakini huku kudeki ndani kila siku is a must, kufuta madirisha na vitu vyote ndani vinginevyo utakuwa kama unakaa chini kwa vumbi

haya una watoto wadogo, huko mnapeleka day care centre, kwanza day care ni chache, ni gharama kubwa mtanzania wa kawaida hawezi kuaford hata kama inawezekana kuaford bado hazina usalama kwa watoto wadogo sana

bado uende kazini na trafiki jam kama uko dar, sure you need someont to help you somewhere

lifestyle ni tofauti na mazingira ni tofauti.

Mimi kama mimi sifagilii kabisa haya mambo ya kuwa na 'housegirl' na huwa sieleweki na wengi humu kwa nini nina msimamo huo.

Kwanza sipendi kutumikisha wengine. Maadili yangu yananikataza kabisa. Naonaga hao wasaidizi wa ndani kama huwa hawatendewi kwa haki.

Pili, yote anayofanya huyo 'housegirl' nami naweza kufanya. Napika, nasafisha, nafua nguo, napiga pasi....you name it, I do it.
So why hire someone to do my house chores when I can do them myself they way I want to? I see no need to!

Tatu, unaweza kuta mtu hana hata familia, labda yupo yeye na mumewe tu lakini eti ana 'housegirl' nyumbani. Really? What for? I guess maybe having one is a status symbol or something.
 
Mimi kama mimi sifagilii kabisa haya mambo ya kuwa na 'housegirl' na huwa sieleweki na wengi humu kwa nini nina msimamo huo.

Kwanza sipendi kutumikisha wengine. Maadili yangu yananikataza kabisa. Naonaga hao wasaidizi wa ndani kama huwa hawatendewi kwa haki.

Pili, yote anayofanya huyo 'housegirl' nami naweza kufanya. Napika, nasafisha, nafua nguo, napiga pasi....you name it, I do it.
So why hire someone to do my house chores when I can do them myself they way I want to? I see no need to!

Tatu, unaweza kuta mtu hana hata familia, labda yupo yeye na mumewe tu lakini eti ana 'housegirl' nyumbani. Really? What for? I guess maybe having one is a status symbol or something.
Umenena vizuri. Nadhani wakati mwingine ni uzembe. Tena utakuta wanawake wanashindana eti nina msichana wa kazi, yaani unamtumikisha mtoto wa watu kwa elfu30! Ni aibu kwa wasomi.
 
mna watoto? Mkeo anafanya kazi? Anatoka saa ngapi? Unamsaidia mkeo kazi za nyumbani? Anapata muda wa kupumzika? Kama mke anakazi mkitoka kwenda job au outings usalama wa nyumba yenu ukoje?
Mimi ni mhasibu mama ni mchumi! muda wa kurudi home ni saa 4:30pm kwa wote. Huwa nipo tayari kumasaidia ila sema anapokuwepo housegirl nashindwa kumsaidia. ila napenda kumsaidia
 
Back
Top Bottom