Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

On JF:

wakuu nina umri wa miaka 32 male, na mwenzangu ana miaka 27: mwenzangu ni mpare mi mnyakyusa. tulianza mahusiano mwaka 2006; kabla hatujaanza mikakati ya ndoa nikaenda masomoni mwaka 2008. ikawa...
0 Reactions
32 Replies
3K Views
Kwanini watu wanaamini kuwa kuna baadhi ya makabila ukioa au kuolewa nayo ni taabu tupu. Mfano watu wengi wanaamini ukiolewa na mkurya au ukioa mkurya kipigo kwao huwa ni chakufikia yaani ni kama...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
A contestant on the Brazilian version of ‘Big Brother’ has allegedly been raped on live TV. Police in Brazil have confirmed that they have started an investigation and carried out a search of the...
0 Reactions
3 Replies
929 Views
Nina rafiki yangu ameoa na anawatoto wawili. Tatizo mke wake anamdharau sana hamsikilizi kwa lolote lile. Wakati mmewake anawatunza yeye pamoja na ndugu zake. Ukiangalia kaka huyu hana ndugu...
0 Reactions
15 Replies
2K Views
Kwenye ndoa kuna matatizo mengi sana yanayotukuta eitha sisi wenyewe, marafiki zetu, ndugu zetu na watu mbalimbali. Tunayasikia matatizo hayo kila siku kwenye mazungumzo tunayoyafanya, kupitia...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Ni dhahiri wazazi wengi ambao ni wafanyakazi waishio mijini watoto wetu wanakuzwa na madada wa kazi ama chekechea. Hali hii ni tete sana, hasa katika makuzi na maadili - pia ni kumnyima mtoto...
1 Reactions
16 Replies
2K Views
Rafiki yangu aliyefunga ndoa mwaka 2006 amekuwa akijitahidi kupata mtoto bila mafanikio, Mke wake hubeba mimba kama kawaida na punde siku zinapokaribia kujifungua kiumbe hupoteza uhai! Amekwisha...
0 Reactions
22 Replies
4K Views
Miaka kadhaa nyuma, nilimpata binti mmoja wa kunifaa kwenye maisha nikaamua kufunga naye ndoa. Tukio hili lilitokea takriban miaka kumi na mbili iliyopita nyuma. Harusi yetu, haikuwa ndogo kwa...
0 Reactions
57 Replies
6K Views
Hi everybody; Naomba kum-vote Mh. Regia Mtema (RIP) kama mmojawapo wa wabunge waliokuwa wanaopendwa sana na jamii ya watanzania. Hii haimaanishi kuwa wabunge wetu wengine hatuwapendi, la hasha ila...
1 Reactions
12 Replies
2K Views
Ni takriban miezi miwili sasa mgogoro huu umekuwa ukifukuta chini kwa chini na sasa imefikia mahali humu ndani hapakaliki wala hapaliki, ilimradi tafrani kila kitu vululu vululu. Nimelinyamazia...
4 Reactions
92 Replies
7K Views
Hivi ni sahihi kweli ukamtapika mtu jana ukidai mapigo hayakujitosheleza au haniridhishi au sikuridhika naye.........halafu kesho ukadai umesikia hamu ya kulamba matapishi yako...
0 Reactions
37 Replies
3K Views
Yaan utakuta mwanaume kaangaika sana, kimaisha, wengine mpaka wanapata majeraha makubwa, au wananusurika na vifo wakiahangaikia maisha. mungu si athumani anawajalia hawa waangaikaji vijipesa...
0 Reactions
73 Replies
6K Views
jamani mm nina mchumba angu ambaye tuko karibu hatua za mwisho sasa alicho nifanya jana nashindwa huelewa niko njia panda.... ilikuwa ivi nilipiga sm usiku wa manane yaani saa 8 usiku bahati...
0 Reactions
52 Replies
4K Views
Wandungu habari zenu wote. jamani kuna tabia nimekuwa nayo na ninaona inaniharibia mahusiano, either niachwe au huyo niliyenae anione kero. ila wandugu niwaambieni, sio kupenda kwangu ni kwamba...
1 Reactions
21 Replies
2K Views
habari zenu wana jf natumaini wengi wenu hamjambo . jamani kuna msichana tuko naye course moja nampenda sana nataka awe mchumba wangu, leo tukiwa darasani niliamua kukaa naye karibu alivyoniona...
0 Reactions
36 Replies
5K Views
Wadau Habarini, Niwatakie heri ya mwaka mpya, imekuwa kitambo kidogo taingia nitangaze nia, nikapata mchumba humu JF ambae tulifunga ndoa tarehe 15.10.2011; ndoa yetu ni ya furaha na kila mmoja...
0 Reactions
43 Replies
4K Views
Hivi utajisikiaje/utachukua uamuzi gani utakapogundua kwamba rafikiyo/shogayo amemnunulia mpenzio zawadi ya nguo za ndani chupi, chupi,skintight & bra katika siku yake ya kuzaliwa, halafu...
0 Reactions
11 Replies
4K Views
Ili kuboresha mahusiano kati ya wanawake na wanaume, na wanawake kwa wanawake wenzao;tukumbushane mambo gani ambayo wanawake hawapendi. 1, 2, 3, ........
0 Reactions
147 Replies
28K Views
Kwanza naanza kwa kuwaomba mnisamehe kwa kuleta hii kitu huku sababu najua huku sio mahala pake,ila nimelazimika kuileta huku nikitumai itakuwa rahisi kuonekana na wengi sbb nina shida sana na...
1 Reactions
24 Replies
7K Views
Wakuu JF. Wanaume wenzangu tuziangalie hizi dalili 5 za mke aliyetoka kukusaliti.. 1. Akirudi nyumbani hutumia dakika moja toka kusalimia hadi kwenda bafuni kuoga. 2. Mara nyingi mavazi...
0 Reactions
64 Replies
13K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…