Ni dhahiri wazazi wengi ambao ni wafanyakazi waishio mijini watoto wetu wanakuzwa na madada wa kazi ama chekechea. Hali hii ni tete sana, hasa katika makuzi na maadili - pia ni kumnyima mtoto kujifunza kutoka kwa wazazi wake!
Tunaenda kazini asubuhi tunarudi jioni! Haki tumechoka! Tunalea saa ngapi? Ulezi wetu upo katika maudhii gani? Madhara ya
ni nini? Je tunawapenda hao wasadizi wetu ili kujisikia huru kupeleka mapenzi hayo kwa watoto wetu?
Kizazi cha watoto wa mahouse girl!
Tujadili
Tunaenda kazini asubuhi tunarudi jioni! Haki tumechoka! Tunalea saa ngapi? Ulezi wetu upo katika maudhii gani? Madhara ya
ni nini? Je tunawapenda hao wasadizi wetu ili kujisikia huru kupeleka mapenzi hayo kwa watoto wetu?
Kizazi cha watoto wa mahouse girl!
Tujadili