Zisingemkaa kungekua na tatizo?
Nwy unachoweza kufanya ni kuuliza nini kimemsukuma huyo rafiki yako mpaka amnunulie mtu wako zawadi aina hiyo. Ukishajua ndo utapata chakufanyia uamuzi.
Suala limefanyika kwa kificho wewe umesikia tetesi yaani aliyevujisha siri ni m2 wa3, aliyeambiwa na huyo m2 wako.
je unamwuliza mnunuzi au mnunuliwa?