Haya ni yaukweli?

makomimi

Member
Sep 28, 2011
35
5
Kwanini watu wanaamini kuwa kuna baadhi ya makabila ukioa au kuolewa nayo ni taabu tupu. Mfano watu wengi wanaamini ukiolewa na mkurya au ukioa mkurya kipigo kwao huwa ni chakufikia yaani ni kama ishara ya upendo kwahiyo bila kumpiga au kupiga bado upendo haujaonekana. Pia wapo watu wanaamini kuwa ukioa mwanamke mpare, mnyiramba, mhaya na mmasai daima utambue hautakuwa pekeyako lazima kutakuwa na wapembeni kama mia hivi na ukijua hutakiwi kushangaa maana ndo desturi yao.
 
Kwanini watu wanaamini kuwa kuna baadhi ya makabila ukioa au kuolewa nayo ni taabu tupu. Mfano watu wengi wanaamini ukiolewa na mkurya au ukioa mkurya kipigo kwao huwa ni chakufikia yaani ni kama ishara ya upendo kwahiyo bila kumpiga au kupiga bado upendo haujaonekana. Pia wapo watu wanaamini kuwa ukioa mwanamke mpare, mnyiramba, mhaya na mmasai daima utambue hautakuwa pekeyako lazima kutakuwa na wapembeni kama mia hivi na ukijua hutakiwi kushangaa maana ndo desturi yao.
tatizo watu tunalambishwa sumu ambayo hatuijui na tunakubali huo mtazamo umepitwa wakati ni muda muafaka wa kufanya mapinduzi ya kifikra,tabia ya mtu si ya jamii nzima au kundi zima hiyo ni ya kwake:A S embarassed:
 
Kwanini watu wanaamini kuwa kuna baadhi ya makabila ukioa au kuolewa nayo ni taabu tupu. Mfano watu wengi wanaamini ukiolewa na mkurya au ukioa mkurya kipigo kwao huwa ni chakufikia yaani ni kama ishara ya upendo kwahiyo bila kumpiga au kupiga bado upendo haujaonekana. Pia wapo watu wanaamini kuwa ukioa mwanamke mpare, mnyiramba, mhaya na mmasai daima utambue hautakuwa pekeyako lazima kutakuwa na wapembeni kama mia hivi na ukijua hutakiwi kushangaa maana ndo desturi yao.


Mmmmh yu might mean mabondia au washabiki wote wa ndondi ni wakurya......au wakurya ni mabondia wazuri koz wao kupigana ni cultural na ishara ya upendo???? then best friends wa kikurya wangepigana saaaanaaaaaa kila kukicha
 
Back
Top Bottom