Mvua Ya Kiangaz
JF-Expert Member
- May 24, 2011
- 308
- 144
Wadau Habarini,
Niwatakie heri ya mwaka mpya, imekuwa kitambo kidogo taingia nitangaze nia, nikapata mchumba humu JF ambae tulifunga ndoa tarehe 15.10.2011; ndoa yetu ni ya furaha na kila mmoja anaamini ndo mwisho wake wa reli kama ilivyo, tatizo la mwenzangu tangu tumetoka honeymoon amekuwa hataki nitumie hata dakika moja kutembelea jamvi unless tuwe pamoja, sijajua tatizo ni nini ingawa nahisi tayari katumbo kamevimba:
wadau, nimejaribu kumuuliza tatizo ni nini,wivu au tu ndo mambo ya kike hayo!??
Niwatakie heri ya mwaka mpya, imekuwa kitambo kidogo taingia nitangaze nia, nikapata mchumba humu JF ambae tulifunga ndoa tarehe 15.10.2011; ndoa yetu ni ya furaha na kila mmoja anaamini ndo mwisho wake wa reli kama ilivyo, tatizo la mwenzangu tangu tumetoka honeymoon amekuwa hataki nitumie hata dakika moja kutembelea jamvi unless tuwe pamoja, sijajua tatizo ni nini ingawa nahisi tayari katumbo kamevimba:
wadau, nimejaribu kumuuliza tatizo ni nini,wivu au tu ndo mambo ya kike hayo!??