Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Threads
7.9K
Posts
231.4K
Threads
7.9K
Posts
231.4K
Wapwa ni muda sasa toka mpwa Kaizer atoe thread ya get tugedha ya Mikumi sasa umefika muda muafaka wa kukutana wapwa na ku analyse cost za huko tutakako enda kama nilivyo pendekeza initial cost...
0 Reactions
37 Replies
4K Views
Niko na wadada/wamama walioolewa hapa ofisini. Wameanzisha thread ya mashambulizi hapa wanasema Wanaume wengi ni kero kwelikweli!. Eti hawaendi kuoga mpaka waambiwe, au kulazimishwa au...
0 Reactions
48 Replies
7K Views
JF napata experience na wife yaani simu ya mkononi mara nyingi iko chumbani, ndani ya begi, etc? huwezi kumpata on time hata kama issue ni very urgent lazima upige kama mara tatu na kuendelea...
0 Reactions
78 Replies
9K Views
Wadau nimekuwa nikipata utata nikiona walioolewa wanavyovaa pete. wengine inaanza engagement ring then wedding Ring, wengine Wedding Ring then engagement. Ni kipi kinatakiwa kianze? Au hakuna...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Mimi ni mwanamke niliyeolewa na nina mda wa miezi nane sasa katika ndoa. Huyu bwana tuliyeona kwa kweli niliunganishiwa na ndugu yangu ambaye alikuwa rafiki yake hapo zamani. So it means I dont...
0 Reactions
82 Replies
11K Views
hivi wana JF hii misemo yetu ya 'kimatumbi' m.f 'mficha uchi hazai' inamaana kweli hasa katika kizazi cha sasa? Mbona watu wengi (hasa -she-) wanatembea huku 'nyuchi' zao zikiwa 'bwerere'...
0 Reactions
32 Replies
12K Views
miaka ile ya 90' ukimdate binti cha anadai ana boyfriend ila kwa sasa (wakati huo) yuko masomoni nje ya nchi! siku hizi (2000's)hawa mabinti wa dot com wao wanadai wana maboyfriend ila...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Jamani kuna,,,, Watu wabaya dunia hii..,kuna watu wakiona ndoa za wenzao wanatumia kwa garama zao zote waone wenzao wamekorofishana ......jamani mbona hivyo walimwengu...sasa kwa wale wenye...
0 Reactions
20 Replies
4K Views
Wana ndugu embu tusaidiane kwa hili kuna watu wengi wanapoteza haki zao bila kujua kama mnavyojua kuna wanaume wengi wanaoa kwa malengo fulani labda mwenzio ana pesa zaidi yake sasa mwingine...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
...wala sishangai... yalishanikuta hayo. Kina mama mjichunge sana hao ma hause girls mnaowafunga ndani, wengine walitu/wanawa-abuse (vitoto vya kiume) na kutuachia psychological scars for life...
0 Reactions
21 Replies
5K Views
9 Things You Don't Know About Kissing 1. There are tons of nerve endings... In your lips (100 times more than in your fingertips!) that stimulate desire. That's why smooching before, during...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Friday night was a disaster. Never mind that I went out with Anne and Michelle, two perfectly civilized, professional women. There was drama at the bars we visited! Here are five types of people I...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Mmmmmhhhhh hili sijui yakheeeeeee yamekukuta haya???nakuja tena wanandugu kuna hili swala la artificial love unakuta mtu ana mahusiano na mwenzie zaid hata ya miaka miwili huku ana madhumuni...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Watu wengi tumeumbwa na hali ya kutoridhika na tunachopata swala hili limekuwa tatizo kubwa sana katika jamii na kufika hata watu waliokuwa wastaarabu kuitwa MAFISADI...huku kwenye mahusiano...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Kuna rafiki yangu ambaye ameoa hivi karibuni,mkewe kajifungua mtoto wa kike... Tatizo sasa ni kuwa yeye baba mtoto alitaka kumpa mtoto jina la mama yake ambalo ni mwajabu..... Mama mtoto hataki...
0 Reactions
71 Replies
23K Views
Kila mtu na kiatu chake Watu wengi hudhani kwamba mwanaume akiwa mrefu basi na uume wake huwa mrefu hiyo si kweli. Ingawa ni kweli kwamba kila mwanaume ana size tofauti ya uume kama wanaume...
0 Reactions
3 Replies
4K Views
When a woman is fed up....... Hii adhabu kali kweli iliwahi kumpata BURN (ACCESS DENIED)
0 Reactions
39 Replies
4K Views
Jamani tunda nitalipataje tunda.tunda nalipenda nitalipataje tunda...tunda kavu kavu ntalipataje tunda....ndugu zanguni wapo wengi wanashindwa kuelewa niini maana ya tunda...wapo wanaokula tunda...
0 Reactions
9 Replies
4K Views
Nyie wazazi,jamani embu badilikeni kidogo mbona hivi yaani damu zenu sikuzote zilikuwa wapi mpaka mmeanza kuparamia watoto wa wenzio...leo hii unamkuta mzee mtu mzima akiwa na katoto kadogo...
0 Reactions
6 Replies
3K Views
wakulu, hebu nisaidieni jamani, kuna pozi zingine nikimpa my wife anazikataa-mara anaumia, au haiskilizii poa. zingine anapenda kila siku wakati mm hata sizikubali! humu ndani tupo jinsia zote...
0 Reactions
72 Replies
12K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…