When a woman is fed up.......
Hii adhabu kali kweli iliwahi kumpata BURN (ACCESS DENIED)
https://www.jamiiforums.com/attachments/a/6705d1258532310-a-woman-is-fed-up.bmp
Labda kama sijapata serengeti. I Swear!
Serenfetiikishafika mahala pake hat ahuo uzio wa seng'enge utauona?? wengine huogelea nchi kavu baada ya kunywa
Labda kama sijapata serengeti. I Swear!
Omba yasikukute mpwa, nilijaribu kila mbinu hawa watu ni balaa wakikaza imekula kwako.
Ha ha ha ha, sio kwamba unalia ili akuonee huruma?
Mpwa ikilazimu ntatumia style ya jogoo. Nang'ata kisogoni mwenyewe anaachia. Kuliko kukosa ile kitu, bora lawama!
Burn ulitumia mbinu gani? yakitusibu tujue namana ya kujinasua vile inatiaga hasira sana kunyimwa.
Mpwa nilitumia diplomasia ya seifu na karume, unamualika sehemu dina kisha unamtoa auti(mimi nilimpeleka kwa jide) mkirudi unaanza kuomba vitu lazima atoe, ukitumia mbinu ya mpwa xpin unaweza kuishia mbele ya masati na kwa kuwa wewe si zombe lazima akuachie mvua kadhaa.
Mm niliwaambia tunako elekea kubaya wanawake itafika kipindi hawamuhitaji mwanaume tena.
Mm niliwaambia tunako elekea kubaya wanawake itafika kipindi hawamuhitaji mwanaume tena.
Hiyo in red watu wamesha play their part sana wanaishi wenyewe % kubwa tu.
Ndio maana mimi huwa siwapendi kabisa wasagaji, maana hawa ndio kichocheo cha hii movement..ni hatari pia kwa kizazi cha binadamu wanaweza kusababisha tukapotea kama dinasauras