Kha! mpaka inakera.....sasa...................wanawaaaaaaake wanawake.......wanawakeeeeeeeee
Mie ni dume lakini kwakweli nakereka na utitiri wa hizi mada za kuhusu wanawake................kwanini...
Nilikuwa na girl friend tangu 2002 hadi 2006. Tulipendana sana ingawa hatukuwa na kipato chochote maana tulikuwa wanafunzi, tulipohitimu form six mwenzangu alianza kubadilika kitabia na...
Kumekuwa na kijitabia kichafu tena cha siku nyingi kwa baadhi ya wanaume,kijitabia hiki ni cha kuwapa mimba mabinti na kuwakataa bila sababu za msingi,kwa mfano mtu mwingine anaweza kusema eti ana...
WanaJf ninapata utata kua ni umri gani ambao kwa mwanaume anapaswa kuoa mana me nina27 na naona nimechelewa maisha ukitegemea kwanza ndo nipo first year,naona wenzangu nimechelewa maisha,cu...
Mwanamke kuitwa muhuni,au mwanaume kuitwa playboy,siyo sifa,unajiaribia heshima yako kwa wote wakuzungukao.Kila msichana kuitwa mpenz wako ni aibu,kila mvulana kuitwa mpenz wako pia ni aibu...
Kuna jamaa yangu alikua na girlfriend wake kipindi 2nasoma alimpenda sana lakin yule dada hakuwa mwaminifu akawa anatoka na jamaa mwingine mi nakajua ikabidi nimpe habari jamaa yangu baada ya...
Habari za mapumziko wakuu! kuna binti nampenda sana lakini anasema kwa sasa haitaji mwanaume yeyote kwani ndo kwanza hata maumivu ya moyo wake hayajapona kwahiyo namkumbusha machungu2 na hawaamini...
Habari zenu wana MMU!
Kuna binti rafiki yangu nimeonana nae jana anasema ana mimba ya miezi mitatu na jamaa yake hana mpango nae na kashakimbia bongo hii. Yeye anasema hawezi kurudia makosa...
Mkuu wa Wabeba na Wakimbiza Box, leo ningependa Uutaarifu umma wa wabeba Box sheria na procidure za kudili na mademu wa Kinugu,kwa upande wa wanaume wabeba box, na ma men wa kinugu kwa upande wa...
Habari ya weekend wakuu,natumai mu wazima.
Ni matukio ya maisha yake ya mapenzi. Yanaenda namna hii. Tutahitaji mawazo yenu yenye hekima na busara ukishaisoma.
Ni shosti tumeshibana sana,ana...
A man thinks he scores high wit a woman wen he does something very big 4 her,
...like buying her a new car or taking her on a vacation. he assumes he scores less when he does something small...
Hii tabia sijui itaachwa lini maana ni ukatili wa hali ya juu. Leo niko zangu ndani ya daladala mara akapanda mwanamke mwenye mtoto mdogo kwa sababu seat zilikuwa zimejaa akamwomba mwanamke...
Niliamini alinipenda kwa dhati, but siamini kile anachoniambia sasa, "TUACHANE" ndo kauli yake ya mwisho.
Chanzo cha hili ni hv mara baada ya
Misimu ya sikukuu kuingia aliniomba hela ya...
Kuna utata umetokea baada ya jamaaa zangu Kupendana wakati wanajua ni ndugu ,utata umetokea wanapong'ang'ania kuoana eti undugu wao upo mbali yaani inawezekana MTOTO WAKO AOE MJUKUU WA MJOMBA...
Huyu rafiki yangu,alikua na mmanzi wake wa enzi hzo,wamefka chuo,ka kawaida ya wadada,akampga chni msela,wel msela kabembeleza wee,bt response ikawa zero as mmanzi alimchana live kwamba ana msela...
Wakuu,
Hayawi hayawi yamekuwa,
Ijumaa ndo imewadia,
Na kwa kuwa wikiend hii imenikuta nikiwa huku ugenini,
basi leo natarajia kuwemo ndani ya Hotel de Continental,
Pale kwenye kanga moko...
Jamani akina dada naombeni msaada wenu kwa yeyote ambaye atajitokeza au kijitolea ili kuupoza moyo wangu ulioumia baada ya kutendwa na mpenzi wangu ambaye nilimpenda. Kwa jinsi alivyonifanyia kwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.