Kuna jamaa yangu alikua na girlfriend wake kipindi 2nasoma alimpenda sana lakin yule dada hakuwa mwaminifu akawa anatoka na jamaa mwingine mi nakajua ikabidi nimpe habari jamaa yangu baada ya kumpa habari hiyo wakaenda wakazungumza mambo yao baadae ikaonekana mi ndo mbaya kama nataka kuwagombanisha wakaja wakanitukana sana (especially yule dada) kweli niliumia sana kumsaidia mtu halafu nikatukwana.Baada ya miaka 5 ambayo ndiyo sasa jamaa ameoa mwanamke mwingine mbaya zaidi huyu mdada cyo mwaminifu kwa jamaa yangu coz namuona anatoka na watu mbalimbali bila mumewe kujua.
So tatizo lililonifanya niombe ushauri ni kwamba nilisha apa sitakuja kumwambia lolote kuhusu mambo yake ya mapenz je nishikirie msimamo huu au nifanyeje?
Msaada jamani
So tatizo lililonifanya niombe ushauri ni kwamba nilisha apa sitakuja kumwambia lolote kuhusu mambo yake ya mapenz je nishikirie msimamo huu au nifanyeje?
Msaada jamani