Habari ya weekend wakuu,natumai mu wazima.
Ni matukio ya maisha yake ya mapenzi. Yanaenda namna hii. Tutahitaji mawazo yenu yenye hekima na busara ukishaisoma.
Ni shosti tumeshibana sana,ana boyfriend wa muda mrefu kidogo wako pamoja kwenye shida na raha, ingawa mahusiano kawaida sio straight line ila ya kwao maugomvi yanachukua 90 percent katika maisha yao ya kila siku. Shosti ana wivu na jamaa ana wivu.
Jamaa anadiriki kuingia kwenye simu ya shosti na kujibishana na wanaomtokea bi dada. Shosti nae kutwa kutafuta kesi kuhusu jamaa ili mradi shughuli. Kuachana kwa wiki mbili na kurudiana kwao ni kitu cha kawaida. Mara ya mwisho ni wiki iliyopita lakini after two days wakarudiana,jamaa aligoma kwenda kazini na kuanza kunywa pombe na kuvuta bangi kisa bi dada kamuacha.
Ni watu wazima wawili mwanaume yuko kwenye late thirties na bi dada early thirties. Wameahidiana kuoana mwaka huu ingawa hakujatolewa posa mahari wala pete hakuna. Mdada anatokewa na watu kedekede now more than ever nas wote wanaclaim kumpenda na wanataka awe mke. By the way sikusema kuwa wawili hawa wana mtoto mmoja.
Na hawa wanaomtokea wanadai kumpenda mtoto na kumtunza. Mdada ndo muda wake umefika anataka kuolewa ila amechanganyikiwa kwa kuwa hajui aendelee na jamaa yake waendelee maugomvi forever amen au achague anayemeet vigezo kati ya wanaojileta.ingawa anasema anampenda jamaa ila kachoshwa na malumbano ya kila siku yasiyo na kichwa wala mguu. Je ungekuwa wewe ungefanyaje?
Ni matukio ya maisha yake ya mapenzi. Yanaenda namna hii. Tutahitaji mawazo yenu yenye hekima na busara ukishaisoma.
Ni shosti tumeshibana sana,ana boyfriend wa muda mrefu kidogo wako pamoja kwenye shida na raha, ingawa mahusiano kawaida sio straight line ila ya kwao maugomvi yanachukua 90 percent katika maisha yao ya kila siku. Shosti ana wivu na jamaa ana wivu.
Jamaa anadiriki kuingia kwenye simu ya shosti na kujibishana na wanaomtokea bi dada. Shosti nae kutwa kutafuta kesi kuhusu jamaa ili mradi shughuli. Kuachana kwa wiki mbili na kurudiana kwao ni kitu cha kawaida. Mara ya mwisho ni wiki iliyopita lakini after two days wakarudiana,jamaa aligoma kwenda kazini na kuanza kunywa pombe na kuvuta bangi kisa bi dada kamuacha.
Ni watu wazima wawili mwanaume yuko kwenye late thirties na bi dada early thirties. Wameahidiana kuoana mwaka huu ingawa hakujatolewa posa mahari wala pete hakuna. Mdada anatokewa na watu kedekede now more than ever nas wote wanaclaim kumpenda na wanataka awe mke. By the way sikusema kuwa wawili hawa wana mtoto mmoja.
Na hawa wanaomtokea wanadai kumpenda mtoto na kumtunza. Mdada ndo muda wake umefika anataka kuolewa ila amechanganyikiwa kwa kuwa hajui aendelee na jamaa yake waendelee maugomvi forever amen au achague anayemeet vigezo kati ya wanaojileta.ingawa anasema anampenda jamaa ila kachoshwa na malumbano ya kila siku yasiyo na kichwa wala mguu. Je ungekuwa wewe ungefanyaje?