Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

On JF:

Hivi majuzi tu nilitoke kukutana na msichana mmoja ktk eneo langu la kazi, ktk kushare some ideas nikagundua huyu mdada alitokea kunipenda/kunitamani. 1day tukiwa duka la jirani na offiisini huyu...
0 Reactions
21 Replies
7K Views
Wana JF ebu nisaidieni hili, ni kweli mapenzi yanaagalia umri?kwa kiwango gani?
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Alikuwa na kazi yake nzuri. Lakini nampenda sana kiasi kwamba nilikuwa namuonea huruma sasa nimemwachisha kazi ili asipate tabu. Halafu kuna suala la wivu. Huko alikokuwa anafanyia kazi kuna...
0 Reactions
132 Replies
8K Views
..when i am asked "<EM>would</EM> you help me please?" it gives me an opportunity to help, <BR>and i am more than willing to support her, but when I hear "<EM>could</EM> you help me please?" I...
0 Reactions
1 Replies
703 Views
Tangu nimeanza mahusiano sijawahi kabisa kupenda ila nasikia watu wanalalamika kuhusiana na mpenzi wengine wanafikia hatua ya kujiua kwasaabu ya mapenzi. Huwa najiuliza nikipi hasa kinamfanya mutu...
0 Reactions
10 Replies
1K Views
Habari jf . CJUI KAMA ILISHATOLEWA AU LAAHA,BUT ELIMU HAINA MWISHO. Napenda nizungumze na wale walio kwenye mahusiano,wapenzi. Ni vyema Wapenzi mkawa mnazungumza kwa undani kabla mjafanya...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Vigezo vinavyo/vilivyotumiwa na wanawake kupata wanaume kuanzia miaka ya 1960: 1960s----kutafutiwa/kufosiwa na wazazi 1970s----tabia njema 1980s----family status 1990s----u-handsome na mwili...
0 Reactions
8 Replies
1K Views
I love you neno hili bado limebeba maana ileile au ni kama groceries?
0 Reactions
19 Replies
4K Views
Ni mara nyingi tumekuwa tukisikia kuwa "mwanamke akipenda huwa kapenda kweli". Je, wanaume tusubiri kupendwa ili tuepuke kuumia au tuendelee kupenda na tukubaliane na hali halisi iliyopo (maumivu)?
0 Reactions
19 Replies
8K Views
Naomba msaada..ni mume wangu nina miaka saba nae some how hajatulia lakini kwa kuwa me ni mwanamke mpambanaji maisha yaendelea kiubishi..yupo mkoani kikazi toka jana usiku saa tatu kazima simu...
1 Reactions
70 Replies
7K Views
Hivi juzi Nilikuwa napita mahali mara nikawaona wazee wawili wamesimama kimtindo kwenye kona ya nyumba (babu around 70s na bibi 60s) nikashikwa na udadisi nikabana karibu yao na kusikiliza...
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Mi naamini 90% ni Kukosa uaminifu na kuwa na wapenzi zaidi ya mmoja. Wewe je! unadhani ni nini?
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Wana bodi! Ni hadithi ndefu sana, ila kwa ufupi wake ni kuwa mtumishi mwenzangu tunaefanya kazi ofisi moja na desk moja amemuweka kimada aliyekuwa mpenzi wangu kwa miaka 4 na...
0 Reactions
19 Replies
3K Views
Wanawake mimi nawaheshimu sana lakini katika mnanikasirisha sana. Wanaume wanaojihusisha na matendo ya kishoga mara nyingi marafiki zao ni wanawake hawa wanakao nao na hivyo kuwapelekea na wao...
0 Reactions
47 Replies
4K Views
from elly nziku to ladies nahitaji kumpata girl friend aliye serious tafadhali
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Habari Zenu wana MMU!!nimeona leo nizame pande hizi kwanza tujuzane maujanja ya Mahusiano cunajua tena mapenzi yana kimbiza dunia...au sio?..sema ndiyo basiii....!hata kujibu shida kah!haya bwana...
0 Reactions
86 Replies
13K Views
jirani yangu ana tabia ngumu sana mie huwa nina tabia moja kwa vile ni mfanyakazi ninapokuwa siendi kazini sina muda wakwenda nyumba za watu ila kama msiba au ugonjwa nashiriki vizura maana mara...
0 Reactions
16 Replies
2K Views
Eti wana JF wenzangu nifanyeje mana kuna msichana mmoja nataka niwe nae bt ye anataka 2we friends nikimwambia siwezi kuwa friend na ww hataki kunielewa. Je nifanyeje jamani?
1 Reactions
19 Replies
2K Views
Habari member wa jf.natumai kwa uwezo wake mola tuwazima.nimejitokeza leo baada ya kupotea kwa muda mrefu sana kwa majukumu yaliyopo ktk dunia hii.......nina rafiki wa karibu ambae alizaa mtoto...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
habari wanajf na hongereni kwa juhudi za kuelimishana, kama miezi mitatu iliyopita nilikuta post huku jamaa moja akilalamika kuwa mpenzi wake ni wa baridi yaani wakianza ule mchezo hahisi joto...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Back
Top Bottom