Ni girl wangu wa cku nyngi sana{ie tangu primary},tulikua tukisaidiana mambo mengi tu,though smtym tulikua tunaznguana na baadae tunasameheana,last tym{ilikua mwaka jana mwezi wa 10} alnambia ana...
The If Love (ikiwa unamtimizia mahitaji yake hususan pesa hawezi kukuacha but if poverty comes in through the door, love fly out through the window)
Because Love (Kwa sababu unamridhisha hususan...
Pale inapofikia kuandika jina la mpenzio mwilini mwako tena kwa permanent ink, huwa unakuwa unafikiria nini?
Pale mwanzo unapoingia kwenye mahusiano akili yako yote haifikiri je ikitokea siku...
Jamani kulala ni amani na ni pumzisho la mwili na ukiwa umelala saa nyingine hutaki kitu kikuguse na hasa hii uendana na mazingira husika!Mara nyingi wanawake wana milalo tofauti na wanaume labda...
Kwanza nilishikwa na hacra juu yake, nikajiuliza ana matatizo gani huyu mdada? hakika niliamini kuwa either hana akili timamu au ni limbukeni wa mawazo. Yaani nikawaza miaka mi3 tangu mtengane...
Naandika kwa masikitiko. Imemtokea rafiki yangu kipenzi.
Alikua na mahusiano na kijana mmoja, wanatambulika hadi kwa wazazi. wakiwa kwenye prosess za kwenda kulipa mahari of which ilipangwa...
Mimi ni kijana mwenzenu naitwa junaid, ni kijana mwenye asili ya kiarabu na ninaishi Uk. natafuta mchumba mwenye sifa hizi, hizi sifa ni muhimu sana maana mwanamke wa ndoto yangu nataka awe hivi ...
Habari zenu wana JF. Nina rafiki yangu na ni jirani yangu wa karibu ambaye katika story mara nyingi alipenda kumsifia mumewe kuwa ni mwaminifu kupita kiasi hawezi kumcheat. Kumbe inaonekana jamaa...
Leo nimeudhuria msiba wa mwanafunzi mwenzangu,ambaye amefiwa na mama yake mdogo,...katika msiba huo mengi yalijitokeza lakini moja kubwa ni hili la kimada wa mume wa huyo marehemu,....kimada huyo...
Kina dada, kina kaka, ipi au zipi mnakubaliana nazo na zipi mnakataliana nazo? indicate tu mfano, 'namba 2', n.k
Source = Source: About Lustability
During the months of research which have gone...
Akina Zuhura tabia zao bana hazina tofauti sana na za akina Rose,wakati akina Rose hupenda kutembea na waume za watu,akina Zuhura wengi wana watoto wa nje ya ndoa!Aidha wamezaa kabla ya kuolewa au...
NOTE : KABLA HUJASOMA HAPA ANZA NA SEHEMU YA KWANZA KUNA THREAD ILIOITANGULIA HII. Bebiy alifika ktk mji aishipo Dadaake Riza.
Wakati wa mapokezi (namnukuu Riza)
Hee...
nimetokea kumpenda sana kijana mmoja hivi kiasi cha kutamani awe mume wangu! ana qualities zote ninazozitaka na ameshika dini pia. tatizo ni kwamba nimekuwa nikimpenda muda mrefu sana lakini...
Hivi majuzi tu nilitoke kukutana na msichana mmoja ktk eneo langu la kazi, ktk kushare some ideas nikagundua huyu mdada alitokea kunipenda/kunitamani.
1day tukiwa duka la jirani na offiisini huyu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.