Niliamini alinipenda kwa dhati, but siamini kile anachoniambia sasa, "TUACHANE" ndo kauli yake ya mwisho.
Chanzo cha hili ni hv mara baada ya
Misimu ya sikukuu kuingia aliniomba hela ya shopping.
Kiukweli nilikuwa nimepigika sana coz mi ni mwanafunzi wa chuo na by that time boom halikueleweka lita toka lini.
Nilimweka wazi akanielewa.
Nilikuja kushangaa after 1week kabadilika ghafla na kusema mimi simjali kabisa so anaweza hata kuibiwa huko aliko.
Niliendelea kumwambia kuhusu hali yangu. 1/1/2012 nilimpigia simu kumtakia heri ya mwaka mpya, ndipo nikaambulia kauli isiyo na sababu "TUACHANE"
ni mwaka mmoja toka tuanze uhusiano.
Nilimpenda sana binti huyu and I've done alot 2her but siamini ninayoyasikia sasa.
Mbali na hayo, ametokea kunichukia sana now days na hataki kuona call or sms kutoka kwangu.
But I still luv her, je nifanye nini ili nistay away from her?
Chanzo cha hili ni hv mara baada ya
Misimu ya sikukuu kuingia aliniomba hela ya shopping.
Kiukweli nilikuwa nimepigika sana coz mi ni mwanafunzi wa chuo na by that time boom halikueleweka lita toka lini.
Nilimweka wazi akanielewa.
Nilikuja kushangaa after 1week kabadilika ghafla na kusema mimi simjali kabisa so anaweza hata kuibiwa huko aliko.
Niliendelea kumwambia kuhusu hali yangu. 1/1/2012 nilimpigia simu kumtakia heri ya mwaka mpya, ndipo nikaambulia kauli isiyo na sababu "TUACHANE"
ni mwaka mmoja toka tuanze uhusiano.
Nilimpenda sana binti huyu and I've done alot 2her but siamini ninayoyasikia sasa.
Mbali na hayo, ametokea kunichukia sana now days na hataki kuona call or sms kutoka kwangu.
But I still luv her, je nifanye nini ili nistay away from her?