Jawai
JF-Expert Member
- Nov 20, 2011
- 526
- 394
Mimi ni mvulana mwenye umri wa miaka 25, nimemaliza chuo na ninafanya kazi na huwa sipendi kujikweza kwa watu, Nimetafuta sana mchumba ili kama tutaendana tufanye maisha pamoja lakini cha ajabu kila nikitupa ndoana sifanikiwi, kiasi ambacho huwa najiuliza hivi hawa wasichana huwa wanavutiwa na nini? Niombeni ushauri wanajf.