Umeyataka mwenyewe kutembea na vibinti vya shule..................................!kuwa na msichana anae kuomba omba pesa au sijui umuongezee salio kwenye simu yake!!utadhan wee ndio mzazi wake bana..badilikeni wote wenye hako katabia,kama mtu anajisikia kukupa,atakupa mwenyewe bila we kumkera kwa kumuomba ovyo.
kuwa na msichana anae kuomba omba pesa au sijui umuongezee salio kwenye simu yake!!utadhan wee ndio mzazi wake bana..badilikeni wote wenye hako katabia,kama mtu anajisikia kukupa,atakupa mwenyewe bila we kumkera kwa kumuomba ovyo.
Tatizo na sisi wanaume wakati wa kuanzisha mahusiano tnakuwa na machejo mengi,mara uazime gari,mara umemtoa out hotel kubwa,mara kabla haujabipiwa umepiga.Kumbe ilikuwa ni zuga tu umempata sasa kwa nini hautaki kuendelea ku-provide man?
kuwa na msichana anae kuomba omba pesa au sijui umuongezee salio kwenye simu yake!!utadhan wee ndio mzazi wake bana..badilikeni wote wenye hako katabia,kama mtu anajisikia kukupa,atakupa mwenyewe bila we kumkera kwa kumuomba ovyo.
kuwa na msichana anae kuomba omba pesa au sijui umuongezee salio kwenye simu yake!!utadhan wee ndio mzazi wake bana..badilikeni wote wenye hako katabia,kama mtu anajisikia kukupa,atakupa mwenyewe bila we kumkera kwa kumuomba ovyo.
umepiga ikulu mkuu!We si umemwambia mwenzio mida hii hii kama hana hela anahangaika na wasichana wa nini? Practice what you preach
Tena nna wacwac huyo mdada kasevu no yako kwa jina la 'vocha'