MECKIAD RUYINGO
Member
- Jun 10, 2011
- 20
- 0
mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 25, natarajia kumalieza elimu ya chuo kikuu mwaka huu mwezi wa saba. ninampenziambaye kwa kiasi fulan tunapendana, ambaye yeye kwa sasa anamika 25, kwa bahati nzuri tayari yuko kazin kwa miaka mitatu, ni mwalim wa shule ya msingi. ......tatizo langu mm ni nashindwa kuwa na maamuzuzi ya kumtamkia au kudhihilisha kuwa lazima nitamuoa au hapan ................ yeye anaumri sawa na mimi .................tayari yeye yuko kazin kwa mudaa wa miaka mitatu ...................mm bado ni nawategemea wazazi ....................tena ni mwanafunzi PENGINE NITAKUWA NIMEOA AU NIMEOLEWA