Siku hizi wanawake wengi wamekuwa artificial, i mean wanapendeza kwa bidhaa za kichina zinazobabilisha mwonekano wao, kuanzia vichwani (mawigi and such stuffs), vipozozi (cream,mapouda n.k) na miili yao ndo usiguse coz kuanzia matiti (chakula ya mtoto), mahipsi (bastola), makalio (wezere) yaani ni balaa tupu nasikia mpaka yale mambo yetu ya "virginity" wanadeal nayo.
In actual fact wanawake wa kiafrika yaani wabantu wana miili mikubwa na ya haja lakini nyakati hizi ni vigumu kumgundua mwanamke wa kibantu na mwanamke wa kiafrika mwenye uartificial wa kichina. Mbaya zaii hao wachina wenyewe maskini hawana hapa shobo na hayo maumbile kwa kuwa wameridhika na mungu alivyowapiga pasi.
Sasa wana jf hebu nipeni hints/principle ya kumgundue mbantu asilia na mbantu wa kuchovya kwa wenzetu kina "hu haa maaasta".
In actual fact wanawake wa kiafrika yaani wabantu wana miili mikubwa na ya haja lakini nyakati hizi ni vigumu kumgundua mwanamke wa kibantu na mwanamke wa kiafrika mwenye uartificial wa kichina. Mbaya zaii hao wachina wenyewe maskini hawana hapa shobo na hayo maumbile kwa kuwa wameridhika na mungu alivyowapiga pasi.
Sasa wana jf hebu nipeni hints/principle ya kumgundue mbantu asilia na mbantu wa kuchovya kwa wenzetu kina "hu haa maaasta".