frank wakug
Member
- May 26, 2012
- 6
- 0
Mwanamke na mwanaume yupi aki cheat kwenye ndoa ina madhara makubwa ktk familia.
Mwanamke na mwanaume yupi aki cheat kwenye ndoa ina madhara makubwa ktk familia.
apo bila bila 2,hamna wa afadhali
Bora acheat mwanamke, manake wanawake huwa tunajua kubehave, isitoshe familia haitutegemei sana,lol
Haya jiteteeni sasa wababa
Bora acheat mwanamke, manake wanawake huwa tunajua kubehave, isitoshe familia haitutegemei sana,lol
Haya jiteteeni sasa wababa
Kingine, mke akicheat more often anaongeza income kwenye household lkn kwa mume almost all the time anapunguza kipato cha kaya!
unamaanisha nani ukimwi wake unaua zaidi au?
Nguruwe na ngiri wote haramu.
Mwanamke na mwanaume yupi aki cheat kwenye ndoa ina madhara makubwa ktk familia.